< 1 Chroniques 25 >
1 Et le roi David et les chefs de l'armée réglèrent les fonctions des fils d'Asaph, d'Hêman et d'Idithun, chantres, s'accompagnant de harpes, de lyres et de cymbales, et qui furent employés tour à tour, selon leur nombre.
Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
2 Fils d'Asaph, attachés à la personne du roi: Sacchur, Joseph, Natharias et Enahel.
Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
3 Fils d'Idithun: Godolias, Suri, Iséas, Asabias et Matthathias; six, en comptant leur père Idithun, s'accompagnant de la harpe, et louant le Seigneur en lui rendant grâces.
Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
4 Fils d'Hêman: Bucias, Matthanias, Oziel, Subahel, Jerimoth, Ananias, Anan, Eliatha, Godollathi, Hornetthiézer, Jesbasaca, Mallithi, Otheri et Méasoth.
Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
5 Tous fils d'Hêman, premier chantre du roi pour louer Dieu et exalter sa puissance. Ainsi, Dieu avait donné à Hêman quatorze fils, outre trois filles.
Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
6 Tous ses fils chantaient avec lui dans le tabernacle de Dieu, en s'accompagnant de harpes, de lyres et de cymbales; ils servaient en la demeure de Dieu, attachés à la personne du roi, ainsi qu'Asaph, Idithun et Hêman.
Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
7 Et leur nombre, joint à celui de leurs frères, instruits à chanter le Seigneur, montait à deux cent quatre-vingt-huit, tout compris.
Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
8 Et ils réglèrent aussi, par le sort, leur service journalier, après qu'ils furent classés, selon leur plus ou moins de science et de talent.
Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
9 Et le sort désigna, en premier lieu: Godolias, fils de Joseph, fils d'Asaph, et ses fils et ses frères; le second fut l'émail, et ses fils et ses frères, au nombre de douze.
Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
10 Le troisième Sacchur, et ses fils et ses frères: douze.
ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
11 Le quatrième Jesri, et ses fils et ses frères: douze.
ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
12 Le cinquième Nathan, et ses fils et ses frères: douze.
ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
13 Le sixième Bucias, et ses fils et ses frères: douze.
ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
14 Le septième Izeriel, et ses fils et ses frères: douze.
ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
15 Le huitième Josias, ses fils et ses frères: douze.
ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
16 Le neuvième Matthanias, ses fils et ses frères: douze.
ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
17 Le dixième Sémeï, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
18 Le onzième Asriel, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
19 Le douzième Asabia, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
20 Le treizième Subahel, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
21 Le quatorzième Matthathias, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
22 Le quinzième Jerimoth, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
23 Le seizième Anania, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
24 Le dix-septième Jesbasaca, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
25 Le dix-huitième Ananias, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
26 Le dix-neuvième Mallithi, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
27 Le vingtième Eliatha, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
28 Le vingt-unième Otheri, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
29 Le vingt-deuxième Godolathi, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
30 Le vingt-troisième Muzoth, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
31 Le vingt-quatrième Rometthiézer, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.