< 1 Chroniques 25 >

1 Et le roi David et les chefs de l'armée réglèrent les fonctions des fils d'Asaph, d'Hêman et d'Idithun, chantres, s'accompagnant de harpes, de lyres et de cymbales, et qui furent employés tour à tour, selon leur nombre.
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 Fils d'Asaph, attachés à la personne du roi: Sacchur, Joseph, Natharias et Enahel.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 Fils d'Idithun: Godolias, Suri, Iséas, Asabias et Matthathias; six, en comptant leur père Idithun, s'accompagnant de la harpe, et louant le Seigneur en lui rendant grâces.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 Fils d'Hêman: Bucias, Matthanias, Oziel, Subahel, Jerimoth, Ananias, Anan, Eliatha, Godollathi, Hornetthiézer, Jesbasaca, Mallithi, Otheri et Méasoth.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Tous fils d'Hêman, premier chantre du roi pour louer Dieu et exalter sa puissance. Ainsi, Dieu avait donné à Hêman quatorze fils, outre trois filles.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Tous ses fils chantaient avec lui dans le tabernacle de Dieu, en s'accompagnant de harpes, de lyres et de cymbales; ils servaient en la demeure de Dieu, attachés à la personne du roi, ainsi qu'Asaph, Idithun et Hêman.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 Et leur nombre, joint à celui de leurs frères, instruits à chanter le Seigneur, montait à deux cent quatre-vingt-huit, tout compris.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 Et ils réglèrent aussi, par le sort, leur service journalier, après qu'ils furent classés, selon leur plus ou moins de science et de talent.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Et le sort désigna, en premier lieu: Godolias, fils de Joseph, fils d'Asaph, et ses fils et ses frères; le second fut l'émail, et ses fils et ses frères, au nombre de douze.
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 Le troisième Sacchur, et ses fils et ses frères: douze.
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 Le quatrième Jesri, et ses fils et ses frères: douze.
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 Le cinquième Nathan, et ses fils et ses frères: douze.
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 Le sixième Bucias, et ses fils et ses frères: douze.
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 Le septième Izeriel, et ses fils et ses frères: douze.
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 Le huitième Josias, ses fils et ses frères: douze.
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 Le neuvième Matthanias, ses fils et ses frères: douze.
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 Le dixième Sémeï, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 Le onzième Asriel, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 Le douzième Asabia, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 Le treizième Subahel, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 Le quatorzième Matthathias, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 Le quinzième Jerimoth, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 Le seizième Anania, ses fils et ses frères: douze.
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 Le dix-septième Jesbasaca, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 Le dix-huitième Ananias, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 Le dix-neuvième Mallithi, ses fils et ses frères: douze.
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 Le vingtième Eliatha, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 Le vingt-unième Otheri, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 Le vingt-deuxième Godolathi, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 Le vingt-troisième Muzoth, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 Le vingt-quatrième Rometthiézer, ses fils et ses frères: douze.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Chroniques 25 >