< 1 Chroniques 24 >

1 Et les fils d'Aaron étaient: Nadab, Abiud, Eléazar et Ithamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Or, Nadab et Abiud moururent sous les yeux de leur père, et ils n'avaient point de fils; Eléazar et Ithamar, fils d'Aaron, eurent donc le sacerdoce.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Et David distingua les fils d'Eléazar, de qui descendait Sadoc, des fils d'Ithamar, de qui était issu Achimélech, selon leur recensement, et leurs services, et leurs familles paternelles.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Et il se trouva, parmi ces hommes forts, plus de chefs des fils d'Eléazar que des fils d'Ithamar, et David mit les premiers à la tête de seize familles, les seconds à la tête de huit familles seulement.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Et il leur distribua leurs services par le sort; car, parmi les uns comme parmi les autres, il y avait des chefs des choses saintes, et des chefs du Seigneur.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Et le scribe Samaïas, fils de Nathanakl de la tribu de Lévi, écrivit la liste en présence du roi et des chefs, aidé de Sadoc le prêtre, et d'Abimélech, fils d'Abiathar, et des chefs des familles paternelles des prêtres et des lévites, inscrivant tour à tour un nom provenant d'Eléazar, un nom provenant d'Ithamar.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Le sort désigna en premier lieu Joarim; le second fut Jedia,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 Le troisième Harib, le quatrième Séorim,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 Le cinquième Melchias, le sixième Meïamin,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 Le septième Cos, le huitième Abias,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 Le neuvième Jésua, le dixième Sechénias,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 Le onzième Eliabi, le douzième Jacim,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 Le treizième Opha, le quatorzième Jezbaal,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 Le quinzième Belga, le seizième Hemmer,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 Le dix-septième Hézin, le dix-huitième Aphésé,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 Le dix-neuvième Phetaïe, le vingtième Ezecel,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 Le vingt et unième Achim, le vingt-deuxième Gamul,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 Le vingt-troisième Abdallé, le vingt-quatrième Maasé.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Tel fut leur recensement, selon leurs services, pour pénétrer dans le tabernacle du Seigneur, d'après le règlement d'Aaron, leur père, tel que le Seigneur l'avait prescrit.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Voici le reste des fils de Lévi: Fils d'Amram: Sobael. Fils de Sobael: Jedia.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Le chef des fils de Raabia:
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Salomoth, fils de Isaar; Jath, des fils de Salomoth.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Les fils d'Ecdiu: Amadias le second, Jaziel le troisième, Jecmoam le quatrième.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Des fils d'Oziel: Micha. Des fils de Micha: Samer.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Le frère de Micha: Isia. Fils de Micha: Zacharie.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Les descendants des fils de Mérari: Mooli et Musi. Les fils d'Ozia.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Fils de Mérari: Joram, et Sacchur, et Abaï.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Mooli avait eu encore Eléazar et Ithamar; mais Eléazar était mort sans laisser de fils.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Jeraméel, issu des fils de Cis,
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Et Mooli, Eder et Jerimoth, issus de Musi. Tels étaient les fils des lévites par familles paternelles.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Et ils tirèrent au sort, comme leurs frères les fils d'Aaron, en présence du roi, de Sadoc, d'Achimélech, et des chefs de familles des prêtres et des lévites; aussi bien les plus anciens chefs de familles que leurs frères les plus jeunes.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 1 Chroniques 24 >