< 1 Chroniques 2 >

1 Voici les noms des fils d'Israël: Ruben, Siméon, Lévi, Juda, Issachar, Zabulon,
Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,
2 Dan, Joseph, Benjamin, Nephthali, Gad, Aser.
Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
3 Fils de Juda: Her, Onan, Sela; tous trois naquirent de la fille de Savas (Sué), la Chananéenne; et Her, le premier-né de Juda, fit le mal devant le Seigneur, qui le tua.
Wana wa Yuda walikuwa: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua.
4 Et Thamar, bru de Juda, enfanta Pharès et Zara; en tout: cinq fils de Juda.
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
5 Fils de Pharès: Esron et Jemuhel.
Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.
6 Fils de Zara: Zambri, Etham, Aimuan, Calchal et Darad; en tout: cinq.
Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
7 Fils de Charmi: Achar, le perturbateur d'Israël, qui désobéit au sujet de l'anathème.
Mwana wa Karmi alikuwa: Akari, ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.
8 Fils d'Etham: Azarias.
Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
9 Fils d'Esron, qui lui furent enfantés: Jeraméel, Aram et Caleb.
Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
10 Aram engendra Aminadab; Aminadab engendra Nahasson, chef de la maison de Juda.
Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.
11 Nahasson engendra Salmon; Salmon engendra Booz;
Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,
12 Booz engendra Obed; Obed engendra Jessé;
Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
13 Jessé engendra son premier-né Eliab, le second Aminadab, le troisième Samaa,
Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,
14 Nathanael le quatrième, Zabdé le cinquième,
wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
15 Azam le sixième, et David le septième.
wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
16 Et leurs sœurs furent: Sarvia et Abigaïl. Les fils de Sarvia furent: Abessa, Joab et Asaël; trois.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
17 Abagaïl enfanta Amessab, et le père d'Amessab fut Jolhor l'Ismaélite.
Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
18 Caleb, fils d'Esron, prit pour femmes Gazuba et Jerioth; voici ses fils: Jasar, Subab et Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
19 Et Gazuba mourut, et Caleb prit pour femme Ephratha, et elle lui enfanta Hur.
Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
20 Hur engendra Urias; Urias engendra Beseléel.
Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
21 Après cela, Esron eut commerce avec la fille de Machir, père de Galaad, et il la prit pour femme; il avait alors soixante-cinq ans, et elle lui enfanta Seruch.
Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.
22 Seruch engendra Jaïr; il possédait vingt-trois villes en Galaad.
Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.
23 Il prit de plus Gessur et Aram, villes de Jaïr, parmi les siennes, et la terre de Canath avec ses villes: soixante villes; toutes appartenaient aux fils de Machir, père de Galaad.
(Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
24 Après la mort d'Esron, Caleb épousa Ephratha; or, Abia, femme d'Esron, lui avait enfanté Ascho, père de Thécoé.
Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
25 Les fils de Jeraméel, premier-né d'Esron, furent: Ram, premier-né; puis, Banaa, Aram et Asan, son frère.
Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.
26 Et Jeraméel avait une autre femme qui se nommait Atara; celle-ci fut la mère d'Ozom.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
27 Les fils de Ram, premier-né de Jeraméel, furent: Mass, Jamin et Acor.
Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa: Maasi, Yamini na Ekeri.
28 Les fils d'Ozom furent: Samaï et Jadaé, et les fils de Samaï: Nadab et Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri.
29 La femme d'Abisur se nommait Abihaïl, et elle lui enfanta Achobor et Moêl.
Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
30 Fils de Nadab: Salad et Aphaïn; Salad mourut sans enfants.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
31 Fils d'Aphaïn: Iséuniel; fils d'Isémiel: Sosan; fils de Sosan: Dadaï.
Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai.
32 Fils de Dadaï: Achisamas, Jéther, Jonatham; Jéther mourut sans enfants.
Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.
33 Fils de Jonathan: Phaleth et Ozam; voilà les fils de Jonathan.
Wana wa Yonathani walikuwa: Pelethi na Zaza. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
34 Sosan n'eut pas de fils, mais des filles; or, il avait un serviteur égyptien qui se nommait Johel.
Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
35 Et Sosan donna sa fille, pour femme, à son serviteur Johel; elle lui enfanta Ethi.
Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
36 Et Ethi engendra Nathan, et Nathan engendra Zabed.
Atai akamzaa Nathani, Nathani akamzaa Zabadi,
37 Zabed engendra Aphamel, et Aphamel engendra Obed.
Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi,
38 Obed engendra Jéhu, et Jéhu engendra Azarias.
Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria,
39 Azarias engendra Hellès, et Hellès engendra Eléaza.
Azaria akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa,
40 Eléaza engendra Sosomaï, et Sosomaï engendra Salum.
Eleasa akamzaa Sismai, Sismai akamzaa Shalumu,
41 Salum engendra Jéhémie; Jéhémie engendra Elisama, et Elisama engendra Ismaël.
Shalumu akamzaa Yekamia, naye Yekamia akamzaa Elishama.
42 Fils de Caleb, frère de Jeraméel Marisa, premier-né; c'est le père de Siph; Marisa eut encore des fils, il fut le père d'Hébron.
Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.
43 Fils d'Hébron: Coré, Thaphus, Rhicom et Samaa.
Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.
44 Samaa engendra Rahem, père de Jéclan, et Jéclan engendra Samaï.
Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.
45 Mahon fut son fils, et Mahon fut le père de Bethsur.
Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
46 Gaïpha, concubine de Caleb, enfanta Aram, et Mosa et Gézué.
Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
47 Fils d'Adaï: Rahem, Joatham, Sagar, Phalec, Gaïpha et Sagaé.
Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
48 Mocha, concubine de Caleb, enfanta Saber et Tharam.
Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.
49 Sagaé engendra le père de Madmena, et Sahu, père de Mahabena, et le père de Gébal; la fille de Caleb s'appelait Ascha.
Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.
50 Voilà les fils de Caleb. Voici les fils d'Hur, premier-né d'Ephratha: Sobal, père de Cariathiarim,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,
51 Salomon, père de Bétha, Lammon, père de Béthalaem, et Arim, père de Bethgedor.
Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
52 Fils de Sobal, père de Cariathiarim: Araa, Aïsi, Ammanith
Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,
53 Et Umasphaé; villes de Jdir: Ethalim, Miphitim, Hésamathim et Hémasaraïm, d'où sont sortis les Sarathéens et les fils d'Esthaam.
pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
54 Fils de Salomon: Béthalaem le Netophatite, Ataroth de la maison de Joab, la moitié de Manathi, et Esari.
Wazao wa Salma walikuwa: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,
55 Familles de lettrés, demeurant en Jabis: Thargathiim, et Samathiim et Sohathim. Ce sont les Cinéens, issus d'Emath, père de la maison de Rhéchab.
pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.

< 1 Chroniques 2 >