< Psaumes 96 >

1 Chantez à l’Eternel un cantique nouveau, chantez à l’Eternel, toute la terre!
Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
2 Chantez à l’Eternel, bénissez son nom, publiez de jour en jour l’annonce de son secours.
Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 Proclamez parmi les peuples sa gloire, parmi toutes les nations, ses merveilles.
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
4 Car grand est l’Eternel et infiniment digne de louanges. Il est redoutable plus que toutes les divinités.
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5 Car tous les dieux des nations sont de vaines idoles; mais l’Eternel est l’auteur des cieux.
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6 Majesté et splendeur forment son avant-garde, force et magnificence emplissent son sanctuaire.
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
7 Célébrez l’Eternel, groupes de nations, célébrez sa gloire et sa puissance.
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 Rendez hommage au nom glorieux de l’Eternel, apportez des offrandes et venez en ses parvis.
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9 Prosternez-vous devant l’Eternel en un saint apparat, que toute la terre tremble devant lui!
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10 Dites parmi les peuples: "L’Eternel est roi!" Grâce à lui, l’univers est stable et ne vacille point; il juge les nations avec droiture.
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
11 Que les cieux se réjouissent, que la terre soit dans l’allégresse, que la mer gronde avec ce qu’elle contient!
Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
12 Que les champs éclatent en transports avec tout ce qui les couvre! Qu’en même temps tous les arbres de la forêt résonnent joyeusement,
mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
13 à l’approche de l’Eternel! Car il vient, il vient pour juger la terre; il va juger le monde avec équité et les nations avec son intégrité.
itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.

< Psaumes 96 >