< Psaumes 87 >

1 Par les fils de Koré. Psaume. Cantique. Il a fondé sa résidence sur les montagnes saintes.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 L’Eternel aime les portes de Sion, mieux que toutes les demeures de Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 On parle magnifiquement de toi, ô ville de Dieu! (Sélah)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Je rappelle l’orgueilleuse Egypte et Babel à ceux qui me connaissent. Voici le pays des Philistins, Tyr ainsi que Cousch. "Un tel y est né!"
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 Mais de Sion on dit: "Celui-ci et celui-là y sont nés!" C’Est le Très-Haut qui l’a affermie.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 L’Eternel, en inscrivant les nations, proclame: "Un tel y est né!" (Sélah)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Chanteurs et joueurs d’instruments de s’écrier: "Toutes mes sources de joie sont en toi!"
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”

< Psaumes 87 >