< Psaumes 85 >

1 Au chef des chantres. Par les fils de Koré. Psaume. Tu as rendu, ô Seigneur, ton affection à ton pays, réparé les ruines de Jacob.
Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 Tu as pardonné les fautes de ton peuple, couvert d’un voile toutes leurs défaillances. (Sélah)
Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
3 Tu as réfréné toute ton indignation, renoncé à ton ardente colère.
Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 Restaure-nous, Dieu de notre salut, mets fin à ton irritation à notre égard.
Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Seras-tu à jamais courroucé contre nous? Feras-tu, d’âge en âge, durer ton ressentiment?
Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 Ne veux-tu pas nous rendre à la vie, pour que ton peuple se réjouisse en toi?
Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
7 Montre-nous, Seigneur, ton amour; et ton secours, accorde-le nous.
Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
8 Ah! je veux entendre ce que dit Dieu, l’Eternel, car c’est le salut qu’il va annoncer à son peuple et à ses fidèles; mais qu’ils ne retombent plus dans leurs folies!
Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
9 Oui, proche est son secours de ses pieux adorateurs, si bien que la gloire élira domicile dans notre pays.
Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
10 L’Amour et la fidélité se donnent la main, la justice et la paix s’embrassent.
Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
11 La fidélité va germer du sein de la terre, et la justice briller du haut des cieux.
Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
12 Oui, le Seigneur octroie le bonheur, et notre pays prodigue ses moissons.
Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
13 La justice marche au-devant de lui, et trace la route devant ses pas.
Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Psaumes 85 >