< Psaumes 74 >

1 Maskîl d’Assaph. Pourquoi, ô Dieu, nous délaisses-tu obstinément, ta colère est-elle embrasée contre le troupeau de ton pacage?
Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
2 Souviens-toi de ta communauté, que tu acquis jadis, de ta tribu, ta propriété, que tu délivras, de ce mont Sion où tu fixas ta résidence!
Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
3 Dirige tes pas vers ces ruines irréparables: l’ennemi a tout dévasté dans le sanctuaire.
Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
4 Tes adversaires ont poussé des rugissements dans l’enceinte de ton lieu de rendez-vous; là, ils ont imposé leurs emblèmes comme emblèmes.
Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
5 Ils y ont paru comme des gens qui brandissent la hache en plein fourré;
Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
6 et puis, à coups de marteaux et de cognées, ils en ont abattu toutes les sculptures à la fois.
Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
7 Ils ont livré aux flammes ton sanctuaire, jeté à bas et profané la résidence de ton nom.
Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
8 Ils ont dit en leur cœur: "Nous allons les dompter tous!" Ils ont brûlé tous les centres consacrés à Dieu dans le pays.
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
9 Nous ne voyons plus nos emblèmes à nous; plus de prophètes! plus personne avec nous, qui sache combien de temps cela durera!
Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10 Jusqu’à quand, ô Dieu, l’adversaire blasphémera-t-il, l’ennemi insultera-t-il sans relâche à ton nom?
Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11 Pourquoi tiens-tu ta main à l’écart? Retire ta droite de ton sein! réduis -les à néant!
Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12 Dieu est pourtant mon Roi depuis les temps antiques; il a accompli des œuvres de salut sur la terre.
Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 C’Est toi qui, par ta force, as fendu la mer, brisé la tête des monstres marins à la surface des eaux;
Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 c’est toi qui as fracassé la tête du Léviathan, pour le donner comme pâture aux fauves du désert;
Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 c’est toi qui as fait jaillir sources et torrents, mis à sec des fleuves puissants;
Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 à toi appartient le jour, à toi aussi la nuit, c’est toi qui as créé l’astre lumineux, le soleil.
Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 C’Est toi qui as fixé toutes les limites de la terre, été et hiver sont ta création.
Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18 N’Aie garde de l’oublier: l’ennemi blasphème, ô Eternel, un peuple méprisable insulte à ton nom.
Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19 Ne livre pas aux bêtes la vie de ta tourterelle, n’oublie pas à jamais l’existence de tes pauvres.
Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20 Tiens compte de l’alliance; car toutes les retraites cachées du pays sont devenues des repaires de violence.
Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21 Que l’opprimé ne soit pas acculé à la honte, que le pauvre et le nécessiteux puissent célébrer ton nom!
Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22 Lève-toi, ô Dieu, défends ta cause, rappelle-toi les insultes qui, sans cesse, te viennent de gens indignes.
Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23 N’Oublie pas les clameurs de tes adversaires, le tumulte toujours croissant de tes agresseurs.
Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.

< Psaumes 74 >