< Psaumes 44 >

1 Au chef des chantres. Par les fils de Coré. Maskîl. O Dieu! De nos oreilles nous l’avons entendue, nos pères nous l’ont racontée, l’œuvre que tu as accomplie de leurs jours, aux temps antiques.
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Toi, de ta main, tu as dépossédé des nations, et tu les as implantés, eux; tu as ruiné des peuplades, et eux, tu les as multipliés.
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Certes, ce n’est pas leur épée qui les a faits maîtres du pays, ni leur bras qui leur a donné la victoire: c’est ta droite, ton bras, la lumière de ta face; car tu les avais pris en affection.
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 C’Est toi qui es mon roi, ô Dieu! Décrète les triomphes de Jacob.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Grâce à toi nous enfonçons nos ennemis, avec l’aide de ton nom, nous écrasons nos agresseurs.
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 Car je ne mets pas ma confiance en mon arc; ce n’est pas mon épée qui m’assure la victoire;
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 mais c’est toi qui nous fait triompher de nos ennemis, qui couvres de confusion ceux qui nous haïssent.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 En Dieu nous nous glorifions sans cesse, et à jamais nous célébrons ton nom. (Sélah)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Pourtant tu nous as rejetés et humiliés, et tu n’accompagnes plus nos armées.
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Tu nous fais reculer devant l’ennemi: ceux qui nous haïssent pillent à leur aise.
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 Tu nous livres comme des troupeaux dont on se nourrit, et nous éparpilles parmi les nations.
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 Tu vends ton peuple à vil prix; tu n’estimes pas bien haut sa valeur.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Tu fais de nous un objet d’opprobre pour nos voisins, la risée et la moquerie de notre entourage.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Tu nous rends la fable des nations; nous excitons des hochements de tête parmi les peuples.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 Tout le temps, mon déshonneur est là, sous mes yeux, et mon visage se couvre de honte
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 à la voix de l’insulteur et du détracteur, à la vue de l’ennemi, avide de vengeance.
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 Tout cela nous est advenu, sans que nous t’ayons oublié, sans que nous ayons trahi ton alliance.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Notre cœur n’a pas rétrogradé, ni nos pas n’ont dévié de ton chemin,
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 pour que tu dusses nous reléguer dans la région des monstres et nous recouvrir des ombres de la mort.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Si nous avions oublié le nom de notre Dieu, étendu les mains vers un dieu étranger,
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 est-ce que Dieu ne l’aurait pas constaté, puisqu’il connaît les secrets du cœur?
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 Mais pour toi nous subissons chaque jour la mort; on nous considère comme des brebis destinées à la boucherie.
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 Réveille-toi donc! Pourquoi demeures-tu endormi, Seigneur? Sors de ton sommeil, ne nous délaisse pas à jamais.
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Pourquoi dérobes-tu ta face, oublies-tu notre misère et notre oppression?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Car notre âme est abaissée jusque dans la poussière, notre corps est couché de son long sur le sol.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Lève-toi pour nous venir en aide, délivre-nous par un effet de ta bonté!
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

< Psaumes 44 >