< Psaumes 141 >
1 Psaume de David. Eternel, je t’invoque, hâte-toi de me porter secours, prête l’oreille à ma voix, lorsque je t’invoque.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
2 Que ma prière soit considérée à tes yeux comme de l’encens, mes mains tendues comme l’offrande du soir.
Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
3 Exerce, ô Eternel, ta surveillance sur ma bouche, garde avec soin la porte de mes lèvres.
Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
4 Ne laisse mon cœur tendre à rien de mauvais, se livrer à des actes criminels, de concert avec des gens pratiquant l’iniquité. Puissé-je ne jamais goûter à leurs plats fins!
Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
5 Que le juste m’assène des coups, c’est une preuve d’amour; qu’il me châtie, c’est comme de l’huile sur la tête, à laquelle ma tête ne se soustrait point; mais certes de façon constante ma prière s’élèvera contre leurs méchancetés.
Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
6 Que leurs magistrats glissent sur les arêtes du rocher, on entendra alors combien douces sont mes paroles.
watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
7 De même que le laboureur creuse et entrouvre le sol, ainsi nos ossements gisent épars au bord de la tombe. (Sheol )
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
8 Certes, vers toi, ô Dieu, mon Maître, se tournent mes yeux, en toi je mets mon attente: ne laisse pas s’écouler ma vie.
Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9 Protège-moi contre le piège qu’ils m’ont dressé, contre les embûches des artisans d’iniquité.
Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10 Que les impies tombent dans leurs propres filets, tandis que moi je passe outre, demeurant sain et sauf!
Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.