< Psaumes 113 >
1 Alléluia! Louez, serviteurs de l’Eternel, louez le nom de l’Eternel!
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2 Que le nom du Seigneur soit béni dès maintenant et à tout jamais!
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3 Du soleil levant jusqu’à son couchant, que le nom de l’Eternel soit célébré!
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
4 L’Eternel est élevé au-dessus de tous les peuples, sa gloire dépasse les cieux.
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5 Qui, comme l’Eternel, notre Dieu, réside dans les hauteurs,
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6 abaisse ses regards sur le ciel et sur la terre?
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7 Il redresse l’humble couché dans la poussière, fait remonter le pauvre du sein de l’abjection,
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 pour le placer à côté des grands, à côté des grands de son peuple.
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Il fait trôner dans la maison la femme stérile, devenue une mère heureuse de nombreux fils. Alléluia!
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.