< Proverbes 9 >

1 La Sagesse s’est bâti une maison, elle en a sculpté les sept colonnes.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 Elle a tué des animaux pour son festin, mélangé son vin et dressé sa table.
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 Elle a mis en campagne ses servantes; elle lance ses invitations du haut des éminences de la cité:
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 "Quiconque a l’esprit faible vienne de ce côté!" A celui qui est dépourvu d’intelligence, elle adresse la parole:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 "Venez, mangez de mon pain et buvez du vin que j’ai mélangé.
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Laissez-là la sottise et vous vivrez; dirigez vos pas dans la voie de la raison!"
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Morigéner le moqueur, c’est s’attirer des avanies, réprimander le méchant, c’est se marquer d’une tare.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Ne morigène pas le railleur, car il te haïrait; fais des remontrances au sage, et il t’en aimera davantage.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Donne une leçon au sage, et il deviendra plus sage; instruis l’homme de bien, et il enrichira son savoir.
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 Le commencement de la sagesse, c’est la crainte du Seigneur, et la connaissance du Très-Saint, c’est là la saine raison.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Certes, c’est grâce à moi que se multiplieront tes jours et que te seront dispensées de longues années de vie.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Si tu deviens sage, c’est pour ton bien; si tu deviens un persifleur, toi seul en porteras la peine.
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 Commère, la folie est bruyante, légère, inconsciente.
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 Elle s’assied à l’entrée de sa maison, trône sur les hauteurs de la cité,
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 pour appeler les passants, qui vont droit leur chemin:
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 "Quiconque a l’esprit faible vienne de ce côté!" A celui qui est dépourvu d’Intelligence elle adresse la parole:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 "Suave est l’eau volée, délicieux le pain dérobé!"
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 Il ne sait pas, lui, que là est le séjour des ombres, que les convives de cette femme sont déjà dans les profondeurs du Cheol! (Sheol h7585)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbes 9 >