< Nombres 28 >

1 L’Éternel parla à Moïse en ces termes:
BWANA akanena na Musa akamwambia,
2 "Ordonne ceci aux enfants d’Israël et dis-leur: Mes offrandes, ce pain qui se consume pour moi en délectable odeur, vous aurez soin de me les présenter en leur temps.
“Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
3 Dis-leur encore: Ceci est le sacrifice que vous aurez à offrir à l’Éternel: des agneaux âgés d’un an, sans défaut, deux par jour, holocauste perpétuel.
Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
4 Un de ces agneaux, tu l’offriras le matin; le second, tu l’offriras vers le soir.
Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
5 Plus, comme oblation, un dixième d’êpha de fleur de farine, pétrie avec un quart de hîn d’huile d’olives concassées.
Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
6 Holocauste perpétuel, déjà offert sur le mont Sinaï comme odeur agréable, destiné à être brûlé devant l’Éternel.
Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
7 Sa libation sera un quart de hîn pour ce premier agneau; c’est dans le lieu saint qu’on fera cette libation de vin pur, en l’honneur de l’Éternel.
Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
8 Pour le second agneau, tu l’offriras vers le soir; tu procéderas comme pour l’oblation et la libation du matin, combustion d’odeur agréable à l’Éternel.
Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
9 Et au jour du sabbat, deux agneaux d’un an sans défaut: plus, pour oblation, deux dixièmes de fleur de farine pétrie à l’huile et sa libation.
Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
10 Holocauste du sabbat, offert chaque sabbat, indépendamment de l’holocauste perpétuel et de sa libation.
Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
11 Et lors de vos néoménies, vous offrirez pour holocauste à l’Éternel deux jeunes taureaux, un bélier, sept agneaux d’un an sans défaut.
Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
12 Plus, trois dixièmes de fleur de farine pétrie à l’huile, comme oblation pour chaque taureau; deux dixièmes de fleur de farine pétrie à l’huile, comme oblation pour le bélier unique,
Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
13 et un dixième de fleur de farine pétrie à l’huile comme oblation pour chaque agneau: holocauste d’odeur délectable, à consumer pour l’Éternel.
Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
14 Quant à leurs libations, il y aura un demi-hîn de vin par taureau, un tiers de hîn pour le bélier, et un quart de hîn par agneau. Tel sera l’holocauste périodique des néoménies, pour toutes les néoménies de l’année.
Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
15 De plus, un bouc pour expiatoire, en l’honneur de l’Éternel, à offrir indépendamment de l’holocauste perpétuel et de sa libation.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
16 Au premier mois, le quatorzième jour de ce mois, la pâque sera offerte à l’Éternel.
Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
17 Et le quinzième jour du même mois, c’est fête: durant sept jours on mangera des azymes.
Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
18 Au premier jour, convocation sainte: vous ne ferez aucune œuvre servile.
Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
19 Et vous offrirez en sacrifice, comme holocauste à l’Éternel, deux jeunes taureaux, un bélier, et sept agneaux âgés d’un an, que vous choisirez sans défaut.
Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
20 Pour leur oblation, de la fleur de farine pétrie à l’huile; vous en offrirez trois dixièmes par taureau, deux dixièmes pour le bélier.
Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
21 Et tu en offriras un dixième respectivement pour chacun des sept agneaux.
Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
22 De plus, un bouc expiatoire, pour obtenir votre pardon.
na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 C’Est indépendamment de l’holocauste du matin, dû comme holocauste perpétuel, que vous ferez ces offrandes.
Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
24 Vous ferez les pareilles journellement pendant sept jours, comme aliment de combustion qui sera en odeur agréable à l’Éternel; cela aura lieu en sus de l’holocauste perpétuel et de sa libation.
Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
25 Et le septième jour, il y aura pour vous convocation sainte: vous ne ferez aucune œuvre servile.
Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
26 Au jour des prémices, quand vous présenterez à l’Éternel l’offrande nouvelle, à la fin de vos semaines, il y aura pour vous convocation sainte: vous ne ferez aucune œuvre servile.
Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
27 Vous offrirez, comme holocauste d’odeur agréable à l’Éternel, deux jeunes taureaux, un bélier, sept agneaux âgés d’un an.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
28 Pour leur oblation, de la fleur de farine pétrie à l’huile; trois dixièmes pour chaque taureau, deux dixièmes pour le bélier unique,
Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
29 un dixième respectivement pour chacun des sept agneaux.
Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
30 Un bouc, pour faire expiation sur vous.
na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Vous les offrirez en sus de l’holocauste perpétuel et de son oblation; vous les choisirez sans défaut, et y joindrez leurs libations.
Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”

< Nombres 28 >