< Néhémie 10 >

1 Parmi les signataires figuraient: Néhémie, le gouverneur, fils de Hakhalia, et Sédécias;
Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
2 Seraia, Azaria, Jérémie;
Seraya, Azaria, Yeremia,
3 Pachhour, Amarla, Malkla;
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4 Hattouch, Chebania, Mallouc;
Hamshi, Shekania, Maluki,
5 Harim, Merémot, Obadia;
Harimu, Meremothi, Obadia,
6 Daniel, Ghinnetôn, Baruch;
Danieli, Ginethoni, Baruki,
7 Mechoullam, Abia, Miyamin;
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8 Maazia, Bilgaï, Chemaïa; voilà pour les prêtres.
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
9 Pour les Lévites: Yêchoua, fils d’Azania, Binnoui, des fils de Hênadad, Kadmiêl;
Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
10 leurs frères; Chebania, Hodia, Kelita, Pelaia, Hanân;
na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11 Mikha, Rehob, Hachabia;
Mika, Rehobu, Hashabia,
12 Zaccour, Chèrèbia, Chebania;
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13 Hodia, Bâni, Beninou.
Hodiya, Bani na Beninu.
14 Les chefs du peuple: Paroch, Pahat-Moab, Elam, Zattou, Bâni;
Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15 Bounni, Azgad, Bêbai;
Buni, Azgadi, Bebai,
16 Adonia, Bigvaï, Adîn;
Adoniya, Bigwai, Adini,
17 Atér, Hizkia, Azzour;
Ateri, Hezekia, Azuri,
18 Hodia, Hachoum, Bêçaï;
Hodia, Hashumu, Besai,
19 Harif, Anatot, Nêbai;
Harifu, Anathothi, Nobai,
20 Magpiach, Mechoullam, Hêzir;
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21 Mechêzabel, Çadok, Yaddoua;
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22 Pelatia, Hanân, Anaïa;
Pelatia, Hanani, AnaYA,
23 Hochêa, Hanania, Hachoub;
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24 Halohech, Pilha, Chobek;
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25 Rehoum, Hachabna, Maassèya;
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26 Ahiya, Hanân, Anân;
Ahia, Hanani, Anani,
27 Mallouc, Harim et Baana.
Maluki, Harimu na Baana.
28 Et le reste du peuple, les prêtres, les Lévites, les portiers, les chanteurs, les serviteurs du temple, tous ceux qui s’étaient séparés des populations des pays pour se rallier à la loi de Dieu, leurs femmes, leurs fils, leurs filles et tous ceux qui étaient capables de comprendre,
Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
29 se joignirent à leurs frères, les personnages notables, et s’engagèrent par un serment solennel à suivre la loi de Dieu, qui avait été donnée par l’organe de Moïse, serviteur de Dieu, à observer et à pratiquer tous les commandements de l’Eternel, notre Seigneur, ses statuts et ses ordonnances;
walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
30 à ne pas marier nos filles avec les populations païennes du pays et à ne pas faire épouser leurs filles par nos fils;
Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
31 et, au cas où les populations du pays viendraient débiter des marchandises et des denrées quelconques le jour du sabbat, à ne rien leur acheter ni ce jour ni les autres jours consacrés; à laisser, la septième année, chômer la terre et périmer toute créance.
Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
32 De plus, nous nous soumîmes à l’obligation de nous imposer, chaque année, un tiers de sicle pour le service du temple de notre Dieu,
Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
33 pour le pain de proposition, l’oblation perpétuelle et l’holocauste perpétuel les sacrifices des sabbats, des néoménies et autres solennités, les offrandes sacrées, les expiatoires destinés à faire propitiation en faveur d’Israël; et tous les travaux de la maison de notre Dieu.
kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
34 Nous désignâmes aussi, par la voie du sort, les prêtres, les Lévites et les gens du peuple chargés d’apporter l’offrande du bois au temple de notre Dieu, dans cette maison de nos ancêtres, année par année, à des époques déterminées, afin d’entretenir le feu sur l’autel de l’Eternel, notre Dieu, comme cela est prescrit dans la Thora.
Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
35 Nous promîmes aussi d’apporter les prémices de notre sol et les prémices de tous les fruits des arbres, année par année, dans le temple de l’Eternel;
Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
36 d’observer pour les premiers-nés de nos fils et de nos animaux ce qui est écrit dans la Thora; d’amener les premiers-nés de notre gros et de notre menu bétail au temple de notre Dieu, pour les prêtres qui font le service dans le temple de notre Dieu;
Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
37 d’apporter pour les prêtres, dans les salles de la maison de notre Dieu, la première part de nos pâtes et nos prélèvements des fruits de tous les arbres, du moût et de l’huile, ainsi que la dîme de notre sol pour les Lévites. Et ce sont ces mêmes Lévites qui devront recueillir la dîme dans toutes nos villes agricoles.
Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
38 II fut convenu qu’un prêtre, descendant d’Aaron, assisterait les Lévites, quand ceux-ci prélèveraient la dîme, et que les Lévites transporteraient la dîme de la dîme dans le temple de notre Dieu, dans les salles de la maison du trésor.
Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
39 Car c’est dans ces salles que les enfants d’Israël et les fils de Lévi devaient apporter le tribut du blé, du moût et de l’huile; là aussi devaient se trouver les ustensiles du sanctuaire et les prêtres de service, les portiers et les chanteurs. De la sorte, nous ne délaisserons pas la maison de notre Dieu.
Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.

< Néhémie 10 >