< Josué 4 >

1 Comme la nation entière achevait de passer le Jourdain, l’Eternel parla à Josué en ces termes
Watu wote walipokwisha kuvuka Yordani, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 "Choisissez douze hommes parmi le peuple, un homme par tribu,
“Chagueni wenyewe watu waume kumi na wawili, mmoja katika kila kabila.
3 et donnez-leur l’ordre d’enlever d’ici, du milieu du Jourdain, à l’endroit même où se sont posés les pieds des prêtres, douze pierres, que vous emporterez pour les déposer dans le gîte où vous passerez la nuit."
Wape agizo hilo: 'Chukueni mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani mahali wanaposimama makuhani katika nchi kavu, na wayalete na kuyaweka chini katika sehemu ambapo mtalala usiku wa leo.
4 De son côté, Josué manda les douze hommes qu’il avait fait désigner parmi les enfants d’Israël, un homme par tribu,
Kisha Yoshua akawaita wanaume kumi na wawili ambao aliwachagua kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja kutoka kila kabila.
5 et il leur dit: "Passez devant l’arche de l’Eternel, votre Dieu, entrez dans le Jourdain, et ramassez-y chacun une pierre qu’il chargera sur son épaule, nombre égal à celui des tribus d’Israël,
Yoshua akawaambia, “Nendeni mbele za sanduku la Yahweh Mungu wenu katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani mwake, kulingana na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli.
6 afin que ce soit un monument au milieu de vous; et lorsqu’un jour vos enfants demanderont: "Que signifient pour vous ces pierres?"
Hii itakuwa ni ishara miongoni mwenu kwa ajili yenu wakati watoto wenu watakapowauliza katika siku zijazo, 'Nini maana ya mawe haya kwenu?'
7 Vous leur direz: "C’Est que les eaux du Jourdain se sont séparées devant l’arche d’alliance du Seigneur, qu’à son entrée dans le Jourdain le fleuve divisa ses eaux. Et ces pierres doivent en rappeler à jamais le souvenir aux enfants d’Israël."
Ndipo mtakapowaambia, 'Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh. Lililpopitishwa katika Yordani, maji ya Yordani yalisimamishwa. Hivyo, mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.'”
8 Les enfants d’Israël se conformèrent à l’ordre de Josué. Ils prirent au milieu du Jourdain, comme l’Eternel l’avait dit à Josué, douze pierres, selon le nombre des tribus d’Israël, les transportèrent au gîte et les y déposèrent.
Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
9 De son côté, Josué érigea douze pierres dans le Jourdain même, à l’endroit où s’était posé le pied des prêtres portant l’arche d’alliance; et elles y sont restées jusqu’à ce jour.
Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani, katika sehemu ambapo ilisimama miguu ya makuhani waliolichukua sanduku la agano. Na kumbukumbu hiyo ipo hadi leo.
10 Or, les prêtres portant l’arche étaient restés au milieu du Jourdain, jusqu’à ce que fût accompli tout ce que l’Eternel avait fait dire au peuple par Josué, et selon ce que Moïse avait recommandé à Josué; le peuple passa rapidement.
Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
11 Et lorsqu’il fut entièrement passé, l’arche du Seigneur s’avança avec les prêtres et se remit à la tête du peuple.
Wakati watu wote walipokwisha kuvuka, sanduku la Yahweh pamoja na makuhani walivuka mbele za watu.
12 Les tribus de Ruben et de Gad, et la demi-tribu de Manassé, marchèrent en armes à l’avant-garde des enfants d’Israël, comme Moïse le leur avait dit.
Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi mbele ya watu wa Israeli, kama ambavyo Musa alivyowaambia.
13 Au nombre d’environ quarante mille guerriers, ils s’acheminèrent, prêts au combat, sous les yeux de l’Eternel, vers les plaines de Jéricho.
Yapata watu watu elfu arobaini walioandaliwa kwa vita walipita mbele za Yahweh, kwa ajili ya vita katika uwanda wa Yeriko.
14 Ce jour-là, l’Eternel grandit Josué aux yeux de tout Israël, qui le révéra comme il avait révéré Moïse, tant qu’il vécut.
Katika siku hiyo Yahweh alimfanya Yoshua kuwa mkuu katika macho ya watu wote wa Israeli. Walimheshimu - kama walivyomheshimu Musa - siku zake zote.
15 L’Eternel dit à Josué:
Kisha Yahweh akamwambia Yoshua,
16 "Ordonne aux prêtres, porteurs de l’arche du Statut, qu’ils remontent du Jourdain."
“Waamuru makuhani wanaolibeba sanduku la ushuhuda watoke katika Yordani.”
17 Et Josué ordonna aux prêtres de sortir du Jourdain.
Hivyo Yoshua akawaamuru makuhani, '' pandeni mtoke Yordani.”
18 Or, lorsque les prêtres, porteurs de l’arche d’alliance de l’Eternel, eurent quitté le fleuve, à peine la plante de leurs pieds avait touché le sol que les eaux du Jourdain reprirent leur niveau et recommencèrent à couler, comme précédemment, à pleins bords.
Wakati makuhani wenye kulibeba sanduku la agano la Yahweh walitoka katikati ya Yordani, na nyayo za miguu yao ilikuwa imeinuliwa katika nchi kavu, kisha maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake kama ilivyokuwa siku nne zilizopita.
19 Ce fut le dix du premier mois que le peuple sortit du Jourdain; il établit son camp à Ghilgal, à l’orient de Jéricho.
Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, watu walikwea kutoka Yordani. Wakakaa huko Gilgali, mashariki mwa Yeriko.
20 Et ces douze pierres qu’ils avaient prises dans le Jourdain, c’est à Ghilgal que Josué les érigea,
Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani, Yoshuua aliyasimamisha hapo Gilgali.
21 disant aux enfants d’Israël: "Quand vos enfants, un jour, demanderont à leurs pères: "Que signifient ces pierres?"
Aliwaambia watu wa Israeli, “wakati watoto wenu watakapowauliza baba zao katika wakai ujao, 'Mawe haya ni ya nini?'
22 Vous l’expliquerez à vos enfants en ces termes: "Le Jourdain que voici, Israël l’a traversé à pied sec;
Waambieni watoto wenu, 'Hapa ndipo Waisraeli walivuka Yordani katika nchi kavu.
23 parce que l’Eternel, votre Dieu, dessécha pour vous les eaux du Jourdain jusqu’à ce que vous fussiez passés, comme il avait fait pour la mer Rouge, qu’il dessécha en notre faveur jusqu’à ce que nous l’eussions traversée:
Yahweh Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mpaka hapo Yahweh Mungu wako aliyoyafanya katika bahari ya mianzi, ambayo aliikausha kwa ajili yetu ili tupite juu yakes,
24 afin que tous les peuples de la terre reconnaissent combien est puissante la main du Seigneur, afin que vous-mêmes révériez constamment l’Eternel, votre Dieu!"
ili kwamba watu wote wa nchi wajue kwamba mkono wa Yahweh ni nguvu, na kwamba mtamweshimu Yahweh Mungu wenu milele.''

< Josué 4 >