< Josué 21 >

1 Les chefs de familles des Lévites se présentèrent devant le pontife Eléazar, Josué, fils de Noun, et les chefs de familles des tribus d’Israël,
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 à Silo, dans le pays de Canaan, et leur parlèrent ainsi: "L’Eternel a ordonné, par l’organe de Moïse, qu’on nous donnât des villes pour y habiter, ainsi que leurs banlieues pour notre bétail."
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 Et les enfants d’Israël, se conformant à l’ordre du Seigneur, donnèrent aux Lévites, sur leurs parts de possession, les villes suivantes avec leurs ban-lieues.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 On tira au sort pour les familles des Kehathites; et d’abord, les Lévites, descendants du pontife Aaron, obtinrent, par la voie du sort, dans les tribus de Juda, de Siméon et de Benjamin, treize villes.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 Le surplus des enfants de Kehath reçut au sort, dans les familles de la tribu d’Ephraïm, dans la tribu de Dan et dans la demi-tribu de Manassé, dix villes.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 Les enfants de Gerson reçurent au sort, dans les familles de la tribu d’Issachar, dans celles d’Aser et de Nephtali, et dans la demi-tribu de Manassé en Basan, treize villes.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Les enfants de Merari, selon leurs familles, eurent de la tribu de Ruben, de celles de Gad et de Zabulon, douze villes.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 Les enfants d’Israël donnèrent ces villes avec leurs banlieues aux Lévites par la voie du sort, comme l’Eternel l’avait prescrit par l’organe de Moïse.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 De la tribu de Juda et de celle de Siméon, l’on donna les villes suivantes, ainsi désignées nominativement,
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 pour appartenir aux descendants d’Aaron, d’entre les familles Kehathites, de la tribu de Lévi, à qui échut le premier lot.
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 On leur donna donc la Cité d’Arba (père d’Anok), appelée aussi Hébron, dans la montagne de Juda, avec la banlieue d’alentour.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 Les champs et les bourgades dépendant de la ville, on les avait donnés comme propriété à Caleb, fils de Yefounné.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 Mais aux descendants du pontife Aaron l’on donna la ville même de Hébron avec sa banlieue comme ville de refuge pour le meurtrier; plus, Libna avec sa banlieue,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 Yattir avec sa banlieue, Echtemoa avec la sienne,
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 Holôn avec sa banlieue, Debir avec la sienne,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 Ayin avec sa banlieue, Youtta avec sa banlieue et Beth-Chémech avec la sienne: neuf villes, remises par les deux tribus en question.
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 Et de la tribu de Benjamin: Gabaon et sa banlieue, Ghéba et la sienne,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 Anatot et sa banlieue, Almôn et la sienne: quatre villes.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 Total des villes données aux prêtres descendants d’Aaron: treize villes, avec leurs banlieues.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 Quant aux familles lévitiques descendant de Kehath, formant le surplus des Kehathites, elles eurent au sort les villes suivantes de la tribu d’Ephraïm:
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 on leur donna la ville de refuge destinée au meurtrier, Sichem avec sa banlieue, dans la montagne d’Ephraïm; Ghézer, avec sa banlieue;
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 Kibçaïm avec la sienne, Béthorôn avec la sienne: quatre villes.
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 Puis, de la tribu de Dan: Elteké et sa banlieue, Ghibetôn et sa banlieue.
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 Ayyalôn et la sienne, Gath-Rimmôn et la sienne: quatre villes.
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 Et de la demi-tribu de Manassé: Taanakh et sa banlieue, Gath-Rimmôn avec la sienne: deux villes.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 En tout, dix villes avec leurs banlieues, pour le surplus des familles des Kehathites.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 Les familles lévitiques descendant de Gerson reçurent: de la demi-tribu de Manassé, la ville de refuge Golân, dans le Basan, avec sa banlieue, et Beéchtera avec la sienne: deux villes.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 De la tribu d’lssachar: Kichyôn avec sa banlieue, Daberath avec la sienne,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 Yarmout avec sa banlieue, En-Gannim avec la sienne: quatre villes.
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 De la tribu d’Aser: Micheal et sa banlieue, Abdôn et la sienne,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 Helkath et sa banlieue, Rehob et la sienne: quatre villes.
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 Et de la tribu de Nephtali: la ville de refuge Kédech, en Galilée, avec sa banlieue; Hamot-Dor avec sa banlieue, Kartân avec la sienne: trois villes.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Total des villes des Gersonites, selon leurs familles: treize villes, avec leurs banlieues.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 Enfin, les familles descendant de Merari, formant le surplus des Lévites, reçurent de la tribu de Zabulon: Yokneam et sa banlieue, Karta et sa banlieue;
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 Dimna et sa banlieue, Nahalal avec la sienne: quatre villes.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 Et de la tribu de Gad: la ville de refuge Ramoth, en Galaad, avec sa banlieue, Mahanaïm, avec la sienne;
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 Hesbon, avec sa banlieue; Yazer, avec la sienne: en tout quatre villes.
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Telles sont les villes échues aux familles des Merarites, formant le surplus des familles lévitiques; leur lot comportait donc douze villes.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 Toutes les villes appartenant aux Lévites parmi les possessions des Israélites se montaient ainsi à quarante-huit villes, indépendamment de leurs banlieues.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Chacune de ces villes comprenait la banlieue qui lui sert de zone: règle uniforme pour toutes les villes en question.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 Ainsi l’Eternel donna aux Israélites tout le pays qu’il avait promis par serment à leurs ancêtres; ils en prirent possession et s’y établirent.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 II les fit jouir d’une sécurité entière, comme il l’avait juré à leurs ancêtres; de tous leurs ennemis, pas un n’avait tenu devant eux: tous, Dieu les avait mis en leur pouvoir.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Aucune ne fit défaut de toutes les faveurs que l’Eternel avait promises à la maison d’Israël: toutes s’accomplirent.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.

< Josué 21 >