< Job 31 >

1 J’Avais fait un pacte avec mes yeux: comment aurais-je porté mes regards sur une jeune fille?
“Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani.
2 Quel lot eussé-je attendu de Dieu là-haut, quel sort du Tout-Puissant dans les régions suprêmes?
Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu, urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?
3 Le malheur n’est-il pas réservé au malfaiteur, l’infortune aux artisans d’iniquités?
Je, si uharibifu kwa watu waovu, maangamizi kwa wale watendao mabaya?
4 N’Observe-t-il pas mes voies? Ne compte-t-il point mes pas?
Je, yeye hazioni njia zangu na kuihesabu kila hatua yangu?
5 Est-ce que je me comportais avec fausseté, mes pieds couraient-ils au mal?
“Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
6 Qu’il me pèse donc dans de justes balances, et Dieu reconnaîtra mon intégrité.
Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
7 Si mes pas ont dévié du bon chemin, si mon cœur s’est laissé entraîner par mes yeux, si quelque taché souille mes mains,
kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
8 eh bien! Qu’un autre mange ce que je sème, que mes rejetons soient déracinés!
basi wengine na wale nilichokipanda, nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.
9 Si mon cœur a été séduit par une femme, si j’ai fait le guet à la porte de mon prochain,
“Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,
10 que ma propre femme tourne la meule pour un autre! Que des étrangers aient commerce avec elle!
basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine, nao wanaume wengine walale naye.
11 Car t’eût été une infamie, un crime puni par les juges,
Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
12 un feu dévorant jusqu’à la perdition, ruinant jusqu’à la racine toute ma récolte.
Ni moto uwakao kwa Uharibifu; ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.
13 Ai-je fait fi du droit de mon esclave et de ma servante, dans leurs contestations avec moi?
“Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
14 Et qu’aurais-je fait si Dieu fût intervenu, qu’aurais-je répondu s’il m’eût demandé des comptes?
nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
15 Celui qui m’a formé dans les entrailles maternelles ne l’a-t-il pas formé aussi? N’Est-ce pas le même auteur qui nous a organisés dans la matrice?
Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu, si ndiye aliwaumba? Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote ndani ya mama zetu?
16 Ai-je refusé la demande des pauvres, fait languir les yeux de la veuve?
“Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,
17 Ai-je mangé, moi seul, mon pain, sans que l’orphelin en eût sa part?
kama nimekula chakula changu mwenyewe, bila kuwashirikisha yatima;
18 Au contraire, dès ma jeunesse, il a grandi avec moi comme avec un père; dès le sein de ma mère, je fus le guide de la veuve.
lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya, nami tangu kuzaliwa kwangu nimewaongoza wajane:
19 Ai-je jamais vu un déshérité privé de vêtements, un indigent n’ayant pas de quoi se couvrir,
kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo, au mtu mhitaji asiye na mavazi
20 sans que ses reins eussent occasion de me bénir, sans qu’il fût réchauffé parla toison de mes brebis?
ambaye wala moyo wake haukunibariki kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya ya kondoo zangu,
21 Ai-je brandi la main contre l’orphelin, en me voyant des appuis à la Porte?
na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima, nikijua kuwa nina ushawishi mahakamani,
22 Plutôt mon épaule aurait été arrachée à l’omoplate, et mon bras se fût détaché de l’humérus.
basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu, nao na uvunjike kutoka kiungio chake.
23 Car je redoute le châtiment infligé par Dieu, je ne saurais résister à sa grandeur.
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
24 Ai-je mis ma confiance dans l’or, ai-je dit au métal fin: "Tu es mon espoir?"
“Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu, au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’
25 Me suis-je réjoui de posséder de grandes richesses, d’avoir mis la main sur d’immenses trésors?
kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu, ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,
26 Est-ce qu’en voyant briller le soleil, la lune cheminer avec majesté,
kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
27 mon cœur a été secrètement séduit, et ai-je présenté ma main aux baisers de ma bouche?
hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
28 Cela aussi eût été un crime capital, car j’eusse renié le Dieu fort d’en haut.
basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.
29 Ai-je triomphé de la ruine de mes ennemis, exulté de joie lorsque le malheur l’atteignait?
“Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu, au kutazama kwa furaha taabu iliyomjia,
30 Jamais je n’ai induit mon palais en faute, en demandant sa mort par des imprécations.
lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi kwa kuomba laana dhidi ya maisha yake;
31 Est-ce que les hôtes de ma maison n’ont pas dit: "Ah! Est-il quelqu’un qui ne soit nourri à satiété de ses aliments?"
kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’
32 Jamais l’étranger n’a passe la nuit dans la rue, j’ouvrais ma porte au voyageur.
Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani, kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi kwa msafiri;
33 Ai-je dissimulé mes fautes comme les gens vulgaires, renfermé mes méfaits dans le secret de ma conscience?
kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
34 Ai-je eu peur de la grande foule, redouté le mépris des familles au point de rester coi, sans franchir le seuil de ma porte?
kwa sababu ya kuogopa umati wa watu, na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa, nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:
35 Ah! Que n’ai-je quelqu’un qui m’écoute! Voici ma signature: que le Tout-Puissant me réponde! Que mon adversaire rédige son mémoire!
(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
36 Je le porterais sur mon épaule, je m’en parerais comme d’une couronne.
Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
37 Je lui détaillerais le nombre de mes pas, je l’aborderais comme un prince.
Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
38 Est-ce que mes terres crient vengeance contre moi, et leurs sillons se répandent-ils ensemble en larmes?
“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
39 Est-ce que j’en ai dévoré le produit, sans le payer de mon argent? Ai-je arraché des plaintes aux légitimes propriétaires?
kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
40 Si oui, que les ronces y poussent au lieu de froment, et au lieu d’orge l’ivraie! Ici se terminent les paroles de Job.
basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.

< Job 31 >