< Job 28 >
1 Certes, il existe des mines pour l’argent et des gîtes pour 'l’or que l’on affine.
Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
2 Le fer est extrait du sol, et la roche, fondue, donne du cuivre.
Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
3 Le mineur a posé des limites à l’obscurité; jusqu’aux extrêmes profondeurs il va chercher le minerai caché dans les ténèbres et l’ombre de la mort.
Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
4 Il perce des tranchées à l’écart des habitations; ignoré du pied des passants, il est suspendu et ballotté loin des hommes.
Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
5 La terre d’où sort le pain, ses entrailles sont bouleversées comme par le feu.
Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
6 Ses pierres sont des nids de saphirs, et là s’offre au regard la poudre d’or.
Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
7 On y arrive par un chemin que l’oiseau de proie ne connaît pas, que l’œil du vautour ne distingue point.
Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
8 Les fauves altiers ne l’ont pas foulé, le lion ne l’a pas franchi.
Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
9 Le mineur porte la main sur le granit, et il remue les montagnes jusqu’à leur racine.
Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
10 Il perce des galeries à travers les roches, et son œil contemple les plus rares richesses.
Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
11 Il aveugle les voies d’eau pour empêcher Ies infiltrations et amène au jour ce qui était caché.
Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
12 Mais la Sagesse, où la trouver? Où est le siège de la Raison?
Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
13 Le mortel n’en connaît pas le prix, elle est introuvable au pays des vivants.
Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
14 L’Abîme dit: "Elle n’est pas dans mon sein!" Et la mer dit: "Elle n’est pas chez moi!"
Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
15 On ne peut l’acquérir pour de l’or de choix, on ne l’achète pas au poids de l’argent.
Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
16 L’Or d’Ophir ne correspond pas à sa valeur, ni l’onyx précieux, ni le saphir.
Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
17 Ni or ni verre ne peuvent rivaliser avec elle; aucun vase d’or fin ne paie son prix.
Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
18 Ni corail ni cristal n’entrent en compte; la possession de la sagesse vaut mieux que les perles.
Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
19 La topaze d’Ethiopie ne l’égale point; on ne peut la mettre en balance avec l’or pur.
Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
20 Oui, la Sagesse d’où vient-elle? Où est le siège de la Raison?
Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
21 Elle se dérobe aux yeux de tout vivant, elle est inconnue à l’oiseau du ciel.
Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
22 L’Abîme et la mort disent: "De nos oreilles nous avons entendu parler d’elle."
Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
23 C’Est Dieu qui en sait le chemin, c’est lui qui en connaît le siège.
Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
24 Car ses regards portent jusqu’aux confins de la terre; tout ce qui est sous les cieux, il le voit.
Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
25 Lorsqu’il donna au vent son équilibre et détermina la mesure des eaux,
Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
26 lorsqu’il traça sa loi à la pluie et sa voie à l’éclair sonore,
Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
27 c’est alors qu’il l’a vue et appréciée à sa valeur, c’est alors qu’il en a marqué la place et pénétré le fond,
Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
28 et il a dit à l’homme: "Ah! La crainte du Seigneur, voilà la Sagesse; éviter le mal, voilà la Raison."
Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”