< Jérémie 13 >

1 Ainsi me parla l’Eternel: "Va, achète-toi une ceinture de lin et attache-la sur tes reins, mais ne la trempe pas dans l’eau."
Bwana aliniambia hivi, “Nenda ukape nguo ya kitani na kuiweka karibu na kiuno chako, lakini usiiweke kwenye maji kwanza.”
2 J’Achetai la ceinture, suivant la parole de l’Eternel, et l’attachai sur mes reins.
Kwa hiyo nilinunua vazi kama vile Bwana alivyoagiza, na nikafunga karibu na kiuno changu.
3 De nouveau la parole de l’Eternel me fut adressée en ces termes:
Ndipo neno la Bwana likanijia mara ya pili, kusema,
4 "Prends la ceinture que tu as achetée, et qui couvre tes reins, mets-toi en route pour gagner l’Euphrate, et là tu l’enfouiras dans le creux d’un rocher."
“Twaa vazi lako ulilolinunua lililo karibu na kiuno chako, uinuke, ukasafiri mpaka Frati. Ukaifiche huko katika mwamba wa jabali.
5 J’Allai donc l’enfouir près de l’Euphrate, comme l’Eternel me l’avait ordonné.
Basi nikaenda na kuificha katika Frati kama vile Bwana alivyoniamuru.
6 Après de longs jours, l’Eternel me dit: "Rends-toi près de l’Euphrate et retire de là la ceinture que je t’avais prescrit d’y enfouir."
Baada ya siku nyingi, Bwana akaniambia, “Simama, urudi Frati. Ukaichukue nguo ambayo nilikuambia ufiche.”
7 Je me rendis près de l’Euphrate, je creusai et retirai la ceinture de 'l’endroit où je l’avais enfouie. Or voici, la ceinture était détériorée et ne pouvait plus servir à rien.
Kwa hiyo nikarudi Frati na kuchimba na kuchukua nguo mahali pale nilipoificha. Lakini tazama! Nguo hiyo ilikuwa imeharibika; haikuwa nzuri kabisa.
8 Alors la parole de l’Eternel me fut adressée en ces termes:
Ndipo neno la Bwana likanijia tena, kusema,
9 "Ainsi parle l’Eternel: C’Est à cet état que je réduirai l’orgueil de Juda et l’orgueil de Jérusalem, qui sont si grands.
“Bwana asema hivi, Nitakiangamiza kiburi cha Yuda na Yerusalemu.
10 Ce peuple pervers, qui refuse d’écouter mes paroles, suit les penchants de son coeur, s’attache à d’autres dieux, les adore et s’agenouille devant eux, il deviendra comme cette ceinture qui ne sert plus à rien.
Watu hawa waovu wanaokataa kusikia neno langu, ambao huenda katika ugumu wa mioyo yao, ambao hufuata miungu mingine ili kuabudu na kuinama-watakuwa kama hii nguo isiyofaa kwa lolote.
11 En effet, de même qu’on porte sa ceinture nouée aux reins, ainsi je m’étais attaché toute la maison d’Israël et toute la maison de Juda, dit l’Eternel, destinées qu’elles étaient à devenir mon peuple, mon titre de gloire, mon honneur et ma parure: mais elles n’ont pas obéi.
Kwa maana kama vile vazi lililofungwa kwenye viuno vya mtu, ndivyo nimefainya nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda zimefungwa kwangu- hili ndilo tamko la Bwana-wawe watu wangu, ili kunifanya jina, sifa, na heshima. Lakini hawakunisikiliza.
12 Tu leur adresseras donc ces paroles: "Voici ce que dit l’Eternel, Dieu d’Israël: Chaque outre est faite pour être remplie de vin." Ils te répondront: "Mais ne savons-nous pas parfaitement que chaque outre est faite pour être remplie de vin?"
Basi uwaambie neno hili, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi Kila chupa itajazwa divai.' Watakuambia, 'Je, hatujui kwamba kila chupa itajazwa divai?'
13 Et tu leur répliqueras: "Voici ce que dit l’Eternel: Tous les habitants de ce pays, ainsi que les rois, issus de David, qui siègent sur son trône, et les prêtres et les prophètes, et tous les habitants de Jérusalem, je vais les remplir d’ivresse.
Basi uwaambie,' Bwana asema hivi: Tazama, nitawajaza kila mkaaji wa nchi hii ulevi, na wafalme wanaokaa kiti cha Daudi, na makuhani, na manabii, na wenyeji wote wa Yerusalemu.
14 Puis je les briserai les uns contre les autres, les pères et les fils ensemble, dit l’Eternel; ni pitié, ni compassion, ni miséricorde, ne m’empêcheront de les détruire."
Ndipo nitawagonganisha kila mtu na mwenzake baba na watoto wao pamoja; hili ndilo tamko la Bwana-sitawahurumia au kuwa na huruma, wala sitawarehemu kutoka kwenye uharibifu.
15 Ecoutez, soyez tout oreilles, n’y mettez aucun orgueil, puisque c’est l’Eternel qui parle.
Sikilizeni na makini. Msiwe na kiburi, kwa kuwa Bwana amesema.
16 Rendez hommage à l’Eternel, votre Dieu, avant que la nuit arrive, avant que vos pieds trébuchent contre des montagnes ténébreuses, alors que vous aspirerez à la clarté et qu’il l’aura transformée en ombres mortelles, convertie en obscurité profonde.
Mtukuze Bwana, Mungu wako, kabla ya hajaleta giza, na kabla ya kuifanya miguu yako kuwa na mashaka juu ya milima wakati wa jioni. Kwa maana unatarajia mwanga, lakini ataugeuza kuwa mahali pa giza, na kuwa giza nene.
17 Mais si vous n’écoutez pas ceci, mon âme, en secret, pleurera sur cette arrogance, et mes yeux seront inondés, se répandront en larmes, puisque le troupeau de l’Eternel aura été capturé.
Kwa hiyo ikiwa husikilizi, nitaomboleza peke yangu kwa sababu ya kiburi chako. Hakika macho yangu yatalia na kutoa machozi, kwa sababu kundi la Bwana limechukuliwa mateka.
18 Dis au roi et à la reine: "Asseyez-vous très bas, car votre couronne est tombée, votre magnifique diadème!
“Mwambieni mfalme na mama wa malkia, 'Jinyenyekezeni, na kukaa chini, kwa maana taji juu ya kichwa chako, kiburi chako na utukufu wako, umeanguka.'
19 Les villes du Midi ont été fermées, et personne ne les rouvre; tout Juda a été emmené en exil, son exil est complet.
Miji ya Negebu itafungwa, bila mtu wa kufungua. Yuda watachukuliwa mateka, wote uhamishoni.
20 Levez les yeux et voyez-les qui arrivent du Nord: où est le troupeau qui te fut confié, tes magnifiques brebis?
Inua macho yako na angalia wale wanaokuja kutoka kaskazini. Je, ni kundi gani alilokupa, kundi ambalo lilikuwa zuri sana kwako?
21 Que diras-tu quand Dieu te donnera comme maîtrestoi-même des as dressés pour celaet placera à ta tête ceux qui sont tes amis? Certes, tu seras assaillie de douleurs comme une femme qui enfante.
Je, unasema nini wakati Mungu anawaweka wale ambao uliwafundisha kuwa marafiki? Je, huu si mwanzo wa maumivu ya utungu ambayo yatakuchukua kama mwanamke aliye katika kuzaa?
22 Et si tu t’interroges en toi-même: "Pourquoi ces choses m’arrivent-elles?" C’Est à cause de la grandeur de tes forfaits que les bords de ta robe ont été relevés et tes talons frappés avec violence.
Kisha unaweza kusema moyoni mwako, 'Kwa nini mambo haya yanatokea kwangu?' Itakuwa kwa uovu wa maovu yako ambapo marinda yako yamefunuliwa na umeumizwa.
23 Le nègre peut-il changer sa peau, la panthère ses rayures? Vous seriez tout autant capables de faire le bien, vous qui êtes habitués à faire le mal!
Je, watu wa Kushi hubadilisha rangi yao ya ngozi, au chui hubadilisha madoa yake? Ikiwa ndivyo, basi wewe mwenyewe, ingawa unazoea uovu, utaweza kufanya mema.
24 Je les disperserai donc comme le chaume emporté au vent du désert.
Kwa hiyo nitawaangamiza kama makapi ambayo yanaangamia katika upepo wa jangwa.
25 Voilà ton lot, la part qui t’est assignée par moi, dit l’Eternel, puisque tu m’as oublié et as mis ta confiance dans le mensonge.
Hii ndiyo niliyokupa, sehemu ambayo nimekuagiza kwako-hili ndilo tamko la Bwana - kwa sababu umenisahau na kuamini katika udanganyifu.
26 Aussi rabattrai-je, moi, les pans de ton vêtement sur ton visage, et visible sera ta honte.
Kwa hiyo mimi mwenyewe nitaondoa nguo zako, na sehemu zako za siri zitaonekana.
27 Tes adultères, tes exclamations lascives, l’infamie de tes débauches sur les collines, dans les champs, je les ai observées, tes abominations. Malheur à toi, Jérusalem! Tu ne saurais te purifier: combien de temps en sera-t-il encore ainsi?
Uzinzi na ubembe wako, aibu ya tabia yako ya uasherati kwenye milima na katika mashamba! Nitayafanya yaonekane, mambo haya ya machukizo! Ole wako, Yerusalemu! Hutaki kuwa safi. Je! Hili litaendelea kwa muda gani?”

< Jérémie 13 >