< Jérémie 11 >
1 La parole adressée à Jérémie par l’Eternel était ainsi conçue:
Hili ndilo neno lililojia Yeremia kutoka kwa Bwana, akasema,
2 "Ecoutez les termes de cette alliance, et vous les redirez aux gens de Juda et aux habitants de Jérusalem.
“Sikiliza maneno ya agano hili, uwaambie kila mtu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
3 Tu leur diras: Ainsi parle l’Eternel, Dieu d’Israël: Maudit soit l’homme qui n’écoutera pas les termes de cette alliance,
Uwaambie, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: na alaaniwe yeyote asiyesikiliza maneno ya agano hili.
4 que j’ai dictée à vos ancêtres à l’époque où je les ai fait sortir du pays d’Egypte, de ce creuset de fer, en disant: Ecoutez ma voix, conformez-vous à tous les ordres que je vous prescris, alors vous serez mon peuple et je serai votre Dieu;
Hili ndilo agano nililowaamuru baba zenu walishike siku nilipowatoa kutoka katika nchi ya Misri, kutoka tanuru ya chuma. Nikawaambia, “Sikilizeni sauti yangu na mfanye mambo yote kama nilivyowaamuru, kwa kuwa mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.”
5 de manière à accomplir le serment que j’ai fait à vos ancêtres de leur donner un pays où coulent le lait et le miel, comme cela s’est réalisé aujourd’hui!" Je répondis par ces mots: "Amen, ô Eternel!"
Nisikilizeni ili nipate kukitimiza kiapo nilichoapa kwa baba zenu, kiapo kwamba nitawapa nchi iliyojaa maziwa na asali kama ilivyo leo.'” Kisha mimi Yeremia nikajibu na kusema, “Ndio, Bwana!”
6 Et l’Eternel me dit: "Publie toutes ces paroles dans les villes de Juda et dans les rues de Jérusalem, savoir: Ecoutez les termes de cette alliance, et mettez-les à exécution;
Bwana akaniambia, “Hubiri habari hizi yote katika miji ya Yuda, na katika njia za Yerusalemu. Sema, “Sikilizeni maneno ya agano hili na mkayafanye.
7 car j’ai dûment averti vos ancêtres dès le jour où je les ai fait monter du pays d’Egypte jusqu’à ce jour, je les ai avertis chaque matin en disant: Ecoutez ma voix!
Kwa maana nimewaagiza wazee wenu tangu siku ile niliyowaleta kutoka nchi ya Misri hadi wakati huu wa sasa, nimewaonya mara kwa mara na kusema, “Sikilizeni sauti yangu.'”
8 Mais ils n’ont pas écouté, ils n’ont pas prêté l’oreille, ils ont suivi chacun les penchants de leur coeur pervers; aussi leur ai-je appliqué toutes les clauses du contrat que je leur avais ordonné de respecter et qu’ils n’ont pas respectées."
Lakini hawakusikiliza au wala kutega masikio yao. Kila mtu amekuwa akitembea katika ukaidi wa moyo wake mbaya. Kwa hiyo nilileta laana zote katika agano hili nililoamuru kuja juu yao. Lakini watu bado hawakuitii.”
9 Et l’Eternel me dit: "Il s’est formé un complot parmi les gens de Juda et les habitants de Jérusalem.
Kisha Bwana akaniambia, “Njama imeonekana kati ya watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
10 Ils sont retournés aux fautes de leurs premiers aïeux, qui avaient refusé d’obéir à mes paroles; eux aussi s’attachent à des dieux étrangers pour les servir: la maison d’Israël et la maison de Juda ont rompu l’alliance que j’avais contractée avec leurs ancêtres."
Wameugeukia uovu wa mababu zao wa mwanzo, ambao walikataa kusikiliza neno langu, ambao badala yake walifuata miungu mingine ili kuabudu. Waisraeli na nyumba ya Yuda walivunja agano langu nililoweka na baba zao.
11 C’Est pourquoi ainsi parle l’Eternel: "Voici, je fais fondre sur eux des calamités dont ils ne pourront s’échapper; alors ils crieront vers moi et je ne les écouterai point.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, 'Tazameni, nitawaletea majanga juu yao, majanga ambayo hawataweza kuyaepuka. Ndipo wataniita, lakini sitawasikiliza.
12 Les villes de Juda et les habitants de Jérusalem pourront aller implorer les dieux auxquels ils brûlent de l’encens; mais ceux-ci seront impuissants à les secourir au temps de leur malheur.
Miji ya Yuda na wenyeji wa Yerusalemu watakwenda na kuiita miungu ambayo walitoa sadaka, lakini hakika hawatawaokoa wakati wa majanga yao.
13 Car aussi nombreux que tes villes sont tes dieux, ô Juda; aussi nombreux que les rues de Jérusalem sont les autels élevés par vous à un culte honteux, les autels pour encenser Baal!
Kwa kuwa idadi ya miungu yako ewe Yuda imeongezeka sawa na idadi ya miji yako. Na umefanya idadi ya madhabahu ya aibu huko Yerusalemu, madhabahu ya kufukiza uvumba kwa Baali, sawa na idadi ya njia zake.
14 Quant à toi, ne prie pas en faveur de ce peuple; ne m’invoque ni ne me supplie pour lui, car je n’écouterai pas à l’heure où ils s’adresseront à moi à cause de leurs maux.
Kwa hiyo wewe mwenyewe, Yeremia, usiwaombee watu hawa. Lazima usiomboleze au kuomba kwa niaba yao. Kwa maana siwezi kusikiliza wakati wananiita katika majanga yao.
15 Que vient faire mon bien-aimé dans ma maison? Il commet des indignités en nombre! A quoi bon cette chair consacrée qui provient de tes mains? Quand tu fais le mal, alors tu triomphes!
Mpendwa wangu anafanya nini nyumbani kwangu, ikiwa amekuwa na nia mbaya? Nyama za sadaka yako hazitakusaidia. Unafurahi kwa sababu ya matendo yako mabaya.
16 Dieu t’avait dénommé "olivier verdoyant, remarquable par la beauté de son fruit", mais, au bruit d’un terrible fracas, il y a mis le feu et ses rameaux ont volé en éclats.
Katika siku za nyuma Bwana alikuita mti wa mzeituni wenye majani, mzuri wenye matunda mazuri. Lakini atawasha moto juu yake ambayo itaonekana kama sauti ya dhoruba; matawi yake yatavunjika.
17 L’Eternel-Cebaot qui t’avait planté a décrété ta ruine, causée par le mal que se sont fait à elles-mêmes la maison d’Israël et la maison de Juda en m’irritant, en encensant Baal.
Kwa maana Bwana wa majeshi, aliyekua amekusudia maafa juu yako, kwa sababu ya matendo mabaya ambayo nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamefanya-wamenikasirisha kwa kumtolea Baali sadaka.'”
18 L’Eternel m’a instruit; je sais, depuis que tu m’as rendu témoin de leurs oeuvres,
Bwana alinijulisha mambo haya, kwa hiyo nakayajua. Wewe, Bwana, umenifanya nione matendo yao.
19 que j’étais, moi, semblable à une brebis docile qu’on mène à l’abattoir; ce que je ne savais pas, c’est que c’était contre moi qu’ils formaient de mauvais desseins: "Allons, détruisons l’arbre dans sa sève, extirpons-le de la terre des vivants, et que son nom ne soit plus mentionné!"
Nilikuwa kama kondoo mpole unayeongozwa na mchinjaji. Sikujua kwamba walikuwa wameunda mipango dhidi yangu, “Hebu tuangamize mti na matunda yake! Hebu tumkatilie mbali na nchi ya walio hai ili jina lake lisikumbukwe tena.
20 Mais l’Eternel-Cebaot est un Juge intègre, sondant les reins et le coeur: je verrai la vengeance que tu tireras d’eux, car c’est à toi que je confie ma cause.
Lakini Bwana wa majeshi ndiye mwamuzi mwenye haki ambaye huchunguza moyo na akili. Mimi nitashuhudia kisasi chako dhidi yao, kwa kuwa nimekuletea kesi yangu kwako.
21 C’Est pourquoi ainsi parle l’Eternel-Cebaot au sujet des gens d’Anatot qui en veulent à ta vie et te disent: "Ne prophétise plus au nom de l’Eternel, si tu ne veux pas mourir de notre main!"
Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya watu wa Anathothi, wanaotafuta uhai wako, “wanasema, 'Usifanye unabii kwa jina la Bwana, usije utakufa kwa mkono wetu.'
22 Oui, ainsi parle l’Eternel-Cebaot: "Je vais sévir contre eux: les jeunes gens périront par le glaive, leurs fils et leurs filles périront par la famine.
Kwa hiyo Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, nitawaadhibu. Vijana wao wenye nguvu watakufa kwa upanga. Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.
23 Il ne leur demeurera aucun reste, quand je ferai arriver la catastrophe sur les gens d’Anatot, l’année de leur châtiment."
Hakuna hata mmoja atakayeachwa, kwa maana nitaleta maafa dhidi ya watu wa Anathothi, mwaka wa adhabu yao.'”