< Genèse 5 >

1 Ceci est l’histoire des générations de l’humanité. Lorsque Dieu créa l’être humain, il le fit à sa propre ressemblance.
Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
2 Il les créa mâle et femelle, les bénit et les appela l’homme, le jour de leur création.
Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
3 Adam, ayant vécu cent trente ans, produisit un être à son image et selon sa forme, et lui donna pour nom Seth.
Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
4 Après avoir engendré Seth, Adam vécut huit cents ans, engendrant des fils et des filles.
Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
5 Tout le temps qu’Adam vécut fut donc de neuf cent trente ans; et il mourut.
Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
6 Seth, ayant vécu cent cinq ans, engendra Énos.
Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 Après avoir engendré Énos, Seth vécut huit cent sept ans, engendrant des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
8 Tous les jours de Seth furent de neuf cent douze ans, après quoi il mourut.
Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
9 Énos vécut quatre-vingt-dix ans, et engendra Kênân.
Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Enos vécut, après avoir engendré Kênân, huit cent quinze ans; et il eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
11 Tous les jours d’Énos furent de neuf cent cinq ans, après quoi il mourut.
Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
12 Kênân, ayant vécu soixante-dix ans, engendra Mahalalêl.
Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Kènan vécut, après la naissance, de Mahalalêl, huit cent quarante ans, et eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
14 Toute la vie de Kênân fut de neuf cent dix ans, après quoi il mourut.
Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
15 Mahalalêl, ayant vécu soixante-cinq ans, engendra Yéred.
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
16 Mahalalél, après avoir engendré Yéred, vécut huit cent trente ans, et engendra des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
17 Tous les jours de Mahalalèl furent de huit cent quatre-vingt-quinze ans, puis il mourut.
Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
18 Véred, ayant vécu cent soixante-deux ans, engendra Hénoc.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
19 Yéred vécut, après la naissance d’Hénoc, huit cents ans; il eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
20 La vie entière de Yéred fut de neuf cent soixante-deux ans, après quoi il mourut.
Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
21 Hénoc vécut soixante-cinq ans, et engendra Mathusalem.
Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
22 Hénoc se conduisit selon Dieu, après avoir engendré Mathusalem, durant trois cents ans, et engendra des fils et des filles.
Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
23 Tous les jours d’Hénoc furent de trois cent soixante-cinq ans;
Henoko aliishi miaka 365.
24 Hénoc se conduisait selon Dieu, lorsqu’il disparut, Dieu l’ayant retiré du monde.
Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
25 Mathusalem, ayant vécu cent quatre-vingt-sept ans, engendra Lamec.
Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
26 Mathusalem vécut, après avoir engendré Lamec, sept cent quatre-vingt-deux ans; il eut encore des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
27 Tous les jours de Mathusalem furent de neuf cent soixante-neuf ans, après quoi il mourut.
Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
28 Lamec, ayant vécu cent quatre-vingt-deux ans, engendra un fils.
Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 Il énonça son nom Noé, en disant: "Puisse-t-il nous soulager de notre tâche et du labeur de nos mains, causé par cette terre qu’a maudite l’Éternel!"
Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
30 Lamec vécut, après avoir engendré Noé, cinq cent quatre-vingt-quinze ans; il engendra des fils et des filles.
Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
31 Toute la vie de Lamec fut de sept cent soixante-dix-sept ans; et il mourut.
Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
32 Noé, étant âgé de cinq cents ans, engendra Sem, puis Cham et Japhet.
Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.

< Genèse 5 >