< Genèse 5 >

1 Ceci est l’histoire des générations de l’humanité. Lorsque Dieu créa l’être humain, il le fit à sa propre ressemblance.
Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
2 Il les créa mâle et femelle, les bénit et les appela l’homme, le jour de leur création.
Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
3 Adam, ayant vécu cent trente ans, produisit un être à son image et selon sa forme, et lui donna pour nom Seth.
Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
4 Après avoir engendré Seth, Adam vécut huit cents ans, engendrant des fils et des filles.
Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
5 Tout le temps qu’Adam vécut fut donc de neuf cent trente ans; et il mourut.
Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
6 Seth, ayant vécu cent cinq ans, engendra Énos.
Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 Après avoir engendré Énos, Seth vécut huit cent sept ans, engendrant des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
8 Tous les jours de Seth furent de neuf cent douze ans, après quoi il mourut.
Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
9 Énos vécut quatre-vingt-dix ans, et engendra Kênân.
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Enos vécut, après avoir engendré Kênân, huit cent quinze ans; et il eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
11 Tous les jours d’Énos furent de neuf cent cinq ans, après quoi il mourut.
Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
12 Kênân, ayant vécu soixante-dix ans, engendra Mahalalêl.
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Kènan vécut, après la naissance, de Mahalalêl, huit cent quarante ans, et eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
14 Toute la vie de Kênân fut de neuf cent dix ans, après quoi il mourut.
Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
15 Mahalalêl, ayant vécu soixante-cinq ans, engendra Yéred.
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
16 Mahalalél, après avoir engendré Yéred, vécut huit cent trente ans, et engendra des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
17 Tous les jours de Mahalalèl furent de huit cent quatre-vingt-quinze ans, puis il mourut.
Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
18 Véred, ayant vécu cent soixante-deux ans, engendra Hénoc.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
19 Yéred vécut, après la naissance d’Hénoc, huit cents ans; il eut des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
20 La vie entière de Yéred fut de neuf cent soixante-deux ans, après quoi il mourut.
Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
21 Hénoc vécut soixante-cinq ans, et engendra Mathusalem.
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22 Hénoc se conduisit selon Dieu, après avoir engendré Mathusalem, durant trois cents ans, et engendra des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
23 Tous les jours d’Hénoc furent de trois cent soixante-cinq ans;
Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
24 Hénoc se conduisait selon Dieu, lorsqu’il disparut, Dieu l’ayant retiré du monde.
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
25 Mathusalem, ayant vécu cent quatre-vingt-sept ans, engendra Lamec.
Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
26 Mathusalem vécut, après avoir engendré Lamec, sept cent quatre-vingt-deux ans; il eut encore des fils et des filles.
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
27 Tous les jours de Mathusalem furent de neuf cent soixante-neuf ans, après quoi il mourut.
Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
28 Lamec, ayant vécu cent quatre-vingt-deux ans, engendra un fils.
Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 Il énonça son nom Noé, en disant: "Puisse-t-il nous soulager de notre tâche et du labeur de nos mains, causé par cette terre qu’a maudite l’Éternel!"
Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
30 Lamec vécut, après avoir engendré Noé, cinq cent quatre-vingt-quinze ans; il engendra des fils et des filles.
Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
31 Toute la vie de Lamec fut de sept cent soixante-dix-sept ans; et il mourut.
Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
32 Noé, étant âgé de cinq cents ans, engendra Sem, puis Cham et Japhet.
Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.

< Genèse 5 >