< Esdras 6 >

1 Alors le roi Darius donna l’ordre de faire des recherches dans le dépôt des livres où l’on mettait les archives, là-bas, en Babylonie,
Na mfalme dario akaamuru uchunguzi ufanyike katika nyumba ya kumbukumbu Babeli.
2 et l’on trouva à Ahmeta, capitale de la province de Médie, un rouleau qui portait la mention suivante:
Na katika mji wa Akmetha huko media chuo kilionekana: Kumbukumbu yake ilisema:
3 "Dans la première année du roi Cyrus, le roi Cyrus rendit ce décret: Le temple de Dieu à Jérusalem, l’édifice où l’on immole des sacrifices, sera reconstruit, et ses fondements solidement établis; il aura soixante coudées de haut, soixante coudées de large.
“Katika mwaka wa kwanza mfalme Koresh, Koreshi alitoa amri kuhusu nyumba ya Mungu Yerusalem:'Na nyumba ijengwe iwe sehemu ya kutoa dhabihu, misingi yake iwekwe, urefu wake uwe sitini,
4 Il y aura trois assises de pierres de taille et une assise de bois. La dépense sera couverte par la maison du roi.
na upana wake uwe sitini, sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu moja ya mbao mpya, na gharama hizo zitalipwa kutoka nyumba ya mfalme.
5 En outre, les ustensiles du temple de Dieu, en or et en argent, que Nabuchodonosor a enlevés du sanctuaire de Jérusalem et transportés à Babylone, qu’ils soient restitués pour être remis à leur place dans le sanctuaire de Jérusalem et déposés dans la maison de Dieu."
Sasa vilirudishwe tena vitu vya dhahabu na fedha vilivyokuwa kwenye nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadineza alivichukua kuvipeleka Babeli kutoka kwenye Hekalu Yerusalem. Na avirudishe tena Yerusalem Hekaluni. Na utaviweka tena kwenye nyumba ya Mungu.
6 "Donc, mandait le roi, vous, Tattenaï, gouverneur des pays de l’autre côté du fleuve, Chetar Bozenaï et consorts, originaires d’Afarsak, résidant de l’autre côté du fleuve, tenez-vous à l’écart.
Sasa Tetanai, mkuu wa jimbo ngambo ya mto, Shethar - Bozenai na wenzao walio katika mji ngambo ya mto, wakajitenga,
7 Laissez se poursuivre les travaux de ce temple; que le gouverneur des Judéens et les anciens parmi eux rebâtissent ce temple sur son emplacement.
wakaacha kazi ya nyumba ya Mungu pekee. Viongozi na wazee wa kiyahudi watajenga nyumba ya Mungu mahali pake.
8 J’Ordonne, en outre, que vous preniez des dispositions à l’égard de ces anciens parmi les Judéens, en vue de la reconstruction de ce temple: sur les recettes royales provenant du tribut des pays de l’autre côté du fleuve, il doit être pourvu aux dépenses de ces hommes, ponctuellement et sans aucun retard.
Ninatoa agizo kwamba lazima lifanyike kwa wazee wa kiyahudi wanaojenga nyumba ya Mungu: Mchango kutoka kwa mfalme ushuru ngambo ya mto, utatumika katika kuwalipa watu hawa ili kwamba kazi yao isiweze kusimama.
9 Et ce qui est nécessaire tant en taureaux, béliers, agneaux pour les holocaustes au Dieu du ciel qu’en froment, sel, vin et huile, que tout soit fourni jour par jour aux prêtres de Jérusalem, suivant leurs indications et sans faute,
Chochote kitakachohitajika, ngombe wachanga, kondoo au kondoo wa sadaka ya kutekezwa kwa ajili ya Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kadri ya maagizo ya makuhani wa Yerusalem - wapatie vitu hivi kila siku bila kikomo.
10 afin qu’ils offrent des sacrifices agréables au Dieu du ciel et prient pour la vie du roi et de ses fils.
fanya hivyo ili kwamba wataleta sadaka kwa Mungu wa mbinguni na wataomba kwa ajili yangu mfalme na watoto wangu.
11 Je décrète encore que, s’il est quelqu’un qui ose transgresser cet ordre, une poutre soit détachée de sa maison pour l’y pendre haut et court, et que sa maison soit changée en cloaque.
Mimi nina agiza kwamba yeyote atakayevunja amri hii, Chuma kitolewe katika nyumba yake. Na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa takataka kwa sababu hii.
12 Que le Dieu qui a choisi ce lieu comme résidence de son nom renverse tout roi et tout peuple qui se permettra de modifier ces instructions au détriment de ce temple de Dieu, à Jérusalem. Moi, Darius, je rends cette ordonnance, qui doit s’exécuter sans retard."
Mungu huyu aliyesababisha jina lake kuwepo atamwondoa mfalme au mtu atakayebadili agizo hili au kuondosha nyumba ya Mungu katika Yerusalem. Mimi Dario nimeagiza hili, lifanyike kwa makini.
13 Aussitôt Tattenaï, gouverneur des pays de l’autre côté du fleuve, Chetar Bozenaï et consorts se conformèrent avec diligence aux instructions envoyées par le roi Darius.
Na kwa sababu ya amri iliyotumwa na mfalme Dario, Tatenai kiongozi mji ngambo ya mto na Sheshthar -Bozenai na wenzao. wakafanya kila kitu kama Mfalme Dario alivyoagiza.
14 Les anciens parmi les Judéens continuèrent avec succès les travaux de construction, encouragés par les prédications du prophète Haggaï et de Zacharie, fils d’Iddo. Ils bâtirent jusqu’à complet achèvement, par la volonté du Dieu d’Israël et celle de Cyrus, de Darius et d’Artahchasta, roi de Perse.
Hivyo wazee wa kiyahudi wakajenga kama Hagai na Zakaria walivyoelekeza kwa kutabiri. Wakajenga kama amri ilivyotolewa na Mungu wa Israel na Koreshi, Dario na Artashasta mfalme wa Uajemi.
15 Le temple fut terminé le troisième jour du mois d’Adar, dans la sixième année du règne du roi Darius.
Nyumba ikakamilika siku ya tatu ya mwezi wa adari, katika mwaka wa sita wa kutawala mfalme Dario.
16 Et les enfants d’Israël, les prêtres, les Lévites, et tous ceux qui étaient revenus de l’exil procédèrent avec allégresse à l’inauguration du temple de Dieu.
watu wa Israel, makuhani, walawi na watu waliobaki wa uhamisho wakasheherekea kuweka wakfu nyumba ya Mungu kwa furaha.
17 Ils offrirent, pour cette inauguration du temple de Dieu, cent taureaux, deux cents béliers, quatre cents agneaux et douze boucs comme sacrifices expiatoires pour tout Israël, selon le nombre des tribus d’Israël.
Wakatoa ngombe mia moja, kondoo mia moja na kondoo wengine mia nne kwa ajili ya kuweka wakfu nyumba ya Mungu. Mbuzi wa kiume kumi na wawili walitolewa kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya waisrael wote kila kabila katika Israel.
18 On préposa au service de Dieu à Jérusalem les prêtres d’après leurs divisions, et les Lévites d’après leur classement, conformément aux prescriptions du livre de Moïse.
Pia wakawapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo wa kazi ya Mungu katika Yerusalem. Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.
19 Les anciens exilés célébrèrent la Pâque le quatorzième jour du premier mois;
Hivyo wale waliokuwa utumwani wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
20 car les prêtres et les Lévites s’étaient purifiés simultanément, ils étaient tous purs. Ils immolèrent donc le sacrifice pascal pour tous les anciens exilés ainsi que pour leurs frères, les prêtres, et pour eux-mêmes.
Makuhani na walawi wakajitakasa wenyewe na wakachinja pasaka ya sadaka kwa ajili ya waliokuwa mateka wakiwemo na wao wenyewe.
21 Les enfants d’Israël revenus de l’exil en mangèrent; de même tous ceux qui s’étaient détachés des souillures des autres populations du pays et ralliés à eux, pour rechercher l’Eternel, Dieu d’Israël.
watu wa Israel ambao walikula nyama ya Pasaka ni wale waliorudi kutoka uhamishoni na walikuwa wamejitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi ile na kumchagua Yahwe, Mungu wa Israel.
22 Ils célébrèrent joyeusement la fête des azymes durant sept jours, car l’Eternel leur avait donné de la joie en disposant, en leur faveur, le cœur du roi d’Assyrie, de façon à les seconder dans les travaux du temple de Dieu, du Dieu d’Israël.
Walifurahi na kushangilia siku kuu ya mikate isiyochacha kwa siku saba, kwa sababu Yahwe amewarejeshea furaha na ameugeuza moyo wa mfalme wa Ashuru, na kuwatia nguvu kwa kazi ya nyumba, nyumba ya Mungu wa Israel.

< Esdras 6 >