< Ézéchiel 24 >

1 Dans la neuvième année, le dixième jour du dixième mois, la parole de l’Eternel me fut adressée en ces termes:
Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
2 "Fils de l’homme, note-toi le nom de ce jour, du jour même où nous sommes: le roi de Babylone prend le contact de Jérusalem aujourd’hui même.
“Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
3 Imagine aussi une parabole à l’endroit de la maison de rébellion; tu leur diras: Ainsi parle le Seigneur Dieu: Pose la marmite, pose-la, et puis verses-y de l’eau.
Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
4 Rassembles-y les morceaux, rien que de bons morceaux, cuisse et épaule, remplis-la d’os excellents.
Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
5 Prends ce qu’il y a de mieux dans les agneaux, fais aussi cuire les os par dessous; qu’elle bouille à gros bouillons, pour que les os également puissent y cuire.
Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
6 C’Est pourquoi, ainsi parle le Seigneur Dieu: Malheur, ô ville de sang, marmite à laquelle la crasse reste fixée, qui n’a pas été débarrassée de sa crasse! Qu’on la vide morceau par morceau, sans que le sort ait à intervenir à son sujet.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
7 Car le sang qu’elle a versé est demeuré au milieu d’elle; elle l’a jeté sur une roche aride, elle ne l’a pas répandu sur le sol, de façon à le recouvrir de terre.
Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
8 C’Est pour faire éclater la colère, pour en tirer vengeance que j’ai exposé son sang sur une roche aride, où il ne pouvait être recouvert.
hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
9 C’Est pourquoi, ainsi parle le Seigneur Dieu: Malheur, ô ville de sang! Moi aussi j’élèverai un grand bûcher.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
10 Qu’on accumule le bois, qu’on allume le feu, qu’on consume la viande, qu’on brouille la mixture et que les os soient carbonisés!
Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
11 Puis, qu’on la pose à vide sur ses charbons, afin qu’elle s’échauffe, que s’embrase son cuivre, que son impureté fonde au dedans et que sa crasse disparaisse.
Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
12 Elle a coûté de vains efforts, l’abondance de sa crasse n’en sort pas: au feu sa crasse!
Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
13 II y a de l’infamie dans ton impureté: puisque j’ai cherché à t’épurer et que tu n’es pas devenue pure, tu ne te débarrasseras plus de ton impureté, jusqu’à ce que j’aie assouvi ma colère sur toi.
Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
14 Moi, le Seigneur, j’ai parlé; cela arrivera, je l’accomplirai; je ne me raviserai point, je n’aurai ni pitié ni regret. Selon tes voies et selon tes actes, on te jugera, dit le Seigneur Dieu."
Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
15 La parole de l’Eternel me fut adressée en ces termes:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
16 "Fils de l’homme, je vais t’enlever les délices de tes yeux par un coup soudain; mais tu ne te lamenteras pas, tu ne pleureras pas et tes larmes ne couleront pas.
“mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
17 Soupire en silence, ne prends pas le deuil comme pour des morts; attache sur toi ta coiffure, mets tes chaussures à tes pieds. Tu ne t’envelopperas pas jusqu’aux lèvres et tu ne mangeras pas le pain des hommes.
Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
18 Je parlai au peuple le matin, et le soir ma femme mourut; le lendemain matin je fis comme il m’avait été ordonné.
Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
19 Le peuple me dit: "Ne nous expliqueras-tu pas ce que signifie pour nous ta manière d’agir?"
Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
20 Je leur répondis: "La parole de l’Eternel m’a été adressée en ces termes:
Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
21 Dis à la maison d’Israël: Ainsi parle le Seigneur Dieu: Je vais profaner mon sanctuaire, votre orgueil et votre force, les délices de vos yeux, l’objet de votre amour; et vos fils et vos filles que vous avez laissés tomberont sous l’épée.
'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
22 Et vous ferez comme j’ai fait; vous ne vous envelopperez point jusqu’aux lèvres, et vous ne mangerez pas le pain des hommes.
Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
23 Votre coiffure restera sur votre tête et vos chaussures à vos pieds; vous ne vous lamenterez point et ne pleurerez point; mais vous vous consumerez par vos fautes et vous geindrez l’un en présence de l’autre.
Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
24 Et Ézéchiel vous servira de symbole: tout ce qu’il a fait, vous l’imiterez; quand cela arrivera, vous saurez que je suis le Seigneur Dieu."
Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
25 Pour toi, fils de l’homme, certes, le jour où je leur prendrai le boulevard de leur force, la joie de leur parure, les délices de leurs yeux et l’attrait de leur âme, leurs fils et leurs filles,
“Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
26 ce jour-là, il viendra un fuyard auprès de toi pour l’annoncer aux oreilles de tous.
siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
27 Ce jour-là, ta bouche s’ouvrira avec celle du fuyard, tu parleras et ne seras plus réduit au mutisme; tu leur serviras de symbole, et ils sauront que je suis l’Eternel."
Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.

< Ézéchiel 24 >