< 2 Chroniques 1 >
1 Salomon, fils de David, s’affermit sur son trône; l’Eternel, son Dieu, était avec lui et l’éleva à un haut rang.
Selemani mwana wa Daudi, aliimariswa katika utawala wake, na Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye na alimpa nguvu nyingi sana.
2 Salomon s’adressa à tout Israël, aux chiliarques, aux centurions, aux juges, à tous les princes d’Israël, chefs des familles,
Sulemani akasema kwa Israleli wote, na maakida wa maelfu na wa mamia, na kwa waamuzi, na kwa kila mfalme kiongozi katika Israeli yote, wakuu wa kaya.
3 et, accompagné de toute l’assemblée, il se rendit au haut lieu qui était à Gabaon; car là se trouvait la Tente d’assignation de Dieu, construite par Moïse, serviteur de l’Eternel, dans le désert.
Hivyo Sulemani na kusanyiko lote wakaenda pamoja naye sehemu ya juu iliyokuwa Gibeoni, maana ndipo palikuwepo hema ya kukutania ya Mungu, ambayo Musa mtumishi wa Yahwe, alikuwa ameitengeneza jangwani.
4 Toutefois l’arche de Dieu, David l’avait transférée de Kiryat-Yearim dans la résidence qu’il lui avait aménagée: il avait, en effet, dressé pour elle un pavillon à Jérusalem.
Lakini Daudi alikuwa ameleta pale sanduku la Mungu kutoka Kiriath yeriam hadi sehemu ambayo alikuwa ametayarisha, maana alikuwa ameliandalia hema huko katika Yerusalemu.
5 Quant à l’autel de cuivre, qu’avait confectionné Beçalêl, fils d’Ouri, fils de Hour, on l’avait placé devant le Tabernacle du Seigneur; c’est lui, le Seigneur, que Salomon et l’assemblée allèrent rechercher.
Zaidi ya hayo, madhabahu ya shaba iliyotengenezwa na Bezaleli mwana wa uri mwana wa Huri ilikuwepo huko kabla ya mbele ya madhabahu ya Yahwe; Sulemani na kusanyiko wakaenda ilikokuwa. (Maandiko ya zamani yanasema
6 Là, sur cet autel de cuivre, placé devant le Seigneur et faisant partie de la Tente d’assignation, Salomon offrit mille holocaustes.
Selemani akaenda huko kwenye kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutamia, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
7 Cette même nuit, Dieu apparut à Salomon et lui dit: "Demande: que dois-je te donner?"
Mungu akamtokea Selemani usiku huo na akasema kwake, “Omba! Nikupe nini?”
8 Salomon répondit à Dieu: "Tu as témoigné à mon père David une grande faveur, en me permettant de lui succéder.
Selemani akasema kwa Mungu, “Umeonesha agano la uaminifu mkuu kwa Daudi baba yangu, na umenifanya mfalme katika nafasi yaye.
9 Et maintenant, Seigneur Dieu, que se vérifie la promesse faite à mon père David, puisque tu m’as fait régner sur un peuple nombreux comme le sable de la mer.
Sasa, Yahwe Mungu, ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie, maana umenifanya mfalme juu ya watu wengi kama mavumbi ya dunia.
10 Donne-moi donc de la sagesse et du discernement, afin que je puisse aller et venir à la tête de ce peuple; car autrement, qui pourrait gouverner un peuple aussi considérable que celui-ci?"
Sasa nipe hekima na maarifa, ili niweze kuwaongoza watu hawa, maana ni nani anayeweza kuwaamua watu wako, ambao ni wengi sana kwa idadi?”
11 Dieu répondit à Salomon: "Puisque telle a été l’inspiration de ton cœur, que tu n’as demandé ni des richesses, ni des trésors, ni des honneurs, ni la vie de tes ennemis, ni de longs jours, que tu as seulement demandé pour toi de la sagesse et du discernement pour gouverner mon peuple, sur lequel je t’ai fait régner,
Mungu akasema kwa Selemani, “Kwa kuwa hili lilikuwa kwenye moyo wako, na kwa kuwa hujaomba mali, utajiri, au heshima, wala maisha ya wale wanaokuchukia, wala maish marefu kwa jili yako binafsi, lakini umeomba hekima na maarifa kwa ajili yako, ili uwatawale watu wangu, ambao juu yao nimekufanya mfame, na hivi ndivyo nitafanya.
12 la sagesse et le discernement te sont accordés; et je te donnerai par surcroît des richesses, des trésors et de la gloire, tels que n’en ont eus les rois qui t’ont précédé et que n’en aura personne après toi."
Sasa nitakupa hekima na maarifa, pia nitakupa mali na utajiri, na heshima, kuliko wafalme wote waliokuwepo kabla yako walivyokuwa, na baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”
13 Puis, Salomon, s’éloignant du haut lieu de Gabaon, situé devant la Tente d’assignation, revint à Jérusalem et exerça sa royauté sur Israël.
Kwa hiyo Selemani akaenda Yerusalemu kutoka sehemu ya juu iliyokuwepo Gibeoni, kutoka mbele ya hema ya kukutania; akatawala juu ya Israeli.
14 Salomon eut une collection de chars et de cavaliers, quatorze cents chars, douze mille cavaliers, les fit stationner dans les dépôts de chars et en garda près de lui à Jérusalem.
Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu.
15 Le roi rendit l’argent et l’or à Jérusalem aussi communs que les pierres, et les cèdres aussi nombreux que les sycomores dans la Plaine.
Mfalme akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu, na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini.
16 C’Était de l’Egypte que provenaient les chevaux de Salomon; un groupe de marchands, sujets du roi, les acquéraient en masse à prix d’argent.
Selemani katika uagizaji wa farasi kutoka Misiri, wafanya biashara wake walinunua farasi kutoka Misiri kwa bei stahiki.
17 Tout attelage qu’ils exportaient et amenaient d’Egypte revenait à six cents pièces d’argent, et un cheval à cent cinquante. C’Est dans les mêmes conditions qu’ils les exportaient personnellement pour tous les rois des Héthéens et pour les rois d’Aram.
Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.