< 2 Chroniques 26 >

1 Tout le peuple de Juda prit Ouzzia, alors âgé de seize ans, et le proclama roi à la place de son père Amacia.
Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia, ambaye alikuwa na aumri wa mika kumi na sita, na wakamfanya mfalme katika nafasi ya baba yake Amazia.
2 Il rebâtit Elot et la restitua à Juda, après que le roi se fut endormi avec ses aïeux.
Ndiye aliuyeijenga tena Elathi na kuurejesha kwa Yuda. Baada ya hapo mfalme akalala pamoja na babu zake.
3 Agé de seize ans à son avènement, Ouzzia régna cinquante-deux ans à Jérusalem. Le nom de sa mère était Yekholia, de Jérusalem.
Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala. Akatawala miaka ishirini na mabili katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yekolia; alikuwa wa Yerusalemu.
4 Il fit ce qui est droit aux yeux de l’Eternel, suivant en tout l’exemple de son père Amacia.
Akafanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, akiufuata mfano wa baba yake, katika kila jamabo.
5 Il s’appliqua à rechercher Dieu tant que vécut Zekhariahou, qui savait inspirer la crainte de Dieu. Et tant qu’il recherchait le Seigneur, Dieu lui donnait le succès.
Alijitoa kumtafuta Mungu katiaka siku za Zekaria, ambaye alimpa maelekezo kwa ajili ya kumtii Mungu. Kadri alivyomtafuta Yaahwe, Mungu alimfanikisha.
6 Il entra en campagne pour combattre les Philistins, renversa les remparts de Gath, de Jabné, d’Asdod, et fortifia des villes dans le territoire d’Asdod et d’autres régions des Philistins.
Uzia akaenda na kupigana zidi ya Wafilisti. Akaubomoa ukuta wa mji wa Gathi, Yabne, na Ashdodi; akajenga miji katika nchi ya Ashdodi na miongoni mwa Wafilisti.
7 Dieu l’assista contre les Philistins, les Arabes établis à Gour-Baal, et les Meounites.
Mungu aakaamsaidia zidi ya Wafilist, zidi ya Waarabu waliokuwa wakiishi Gur - baali, na zidi ya Wameuni.
8 Les Ammonites aussi offrirent des présents à Ouzzia. Sa renommée se répandit jusqu’au territoire d’Egypte, car il acquit une extrême puissance.
Waamoni wakalipa kodi kwa Uzia, na umaarufu wake ukaenea, hata kufika maingilio ya Misiri, kwa sababu alikuwa ameanza kuwa maarufu.
9 Ouzzia bâtit des tours à Jérusalem, sur la porte de l’Angle, sur la porte de la Vallée et sur l’Encoignure, et les rendit très fortes.
Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara katika Yerusalemu katika kona ya Lango, kwenye Lango la Bonde, na pa kwenye kona ya ukuta, na akavizungushia ngome.
10 Il bâtit aussi des tours dans le désert, fit creuser de nombreuses citernes, car il avait un nombreux bétail dans les terres basses et dans la plaine, des laboureurs et des vignerons dans les montagnes et les champs fertiles, ayant beaucoup de goût pour l’agriculture.
Akajenga minara ya ulinzi katika nyika na akachimba mabwawa, kwa maana alikuwa na ng'ombe wengi, katika visiwa vya chini na katika nchi tambarare. Alikuwa na wakulima na wapandaji wa zabibu katika mwinuko wa nchi na katika mashamba yenye rutuba, kwa maana alipenda kulima.
11 Ouzzia eut une armée de gens de guerre allant en campagne par bandes selon le contingent fixé par les soins de Yeïêl, le secrétaire, et Maassêyahou, le préfet, sous la direction de Hananiahou, l’un des lieutenants royaux.
Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi la wanaume wa kupigana vita ambao walienda vitani katika makundi ambayo idadi yake ilikuwa imehesabiwa na Yeieli, mwandishi. na Maaseya, afisa, chini ya mamlaka ya Hanania, mmoja wa maamri jeshi wa mfalme.
12 Le nombre des chefs de famille parmi ces guerriers était en tout de deux mille six cents.
Jumla ya wakuu wa nyumba za mababu, watu wa kupigana vita, walikuwa 2, 600.
13 Sous leur direction il y avait une armée active de trois cent sept mille cinq cents combattants, vaillants guerriers pour aider le roi contre l’ennemi.
Chini ya mkono wao kulikuwa na jeshi la watu 307, 500 ambao walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidia mfalme idi ya maadui.
14 Ouzzia leur fit préparer, à toute l’armée, des boucliers, des lances, des casques, des cuirasses, des carquois et les pierres de fronde.
Uzia akaandaa kwa ajili yao—kwa ajili ya jeshi lote — ngao, mikuki, chapeo, deraya za majini, nyuta, na mawe ya kurusha.
15 Il fit aussi fabriquer à Jérusalem des engins imaginés par un ingénieur, qui devaient être placés sur les tours et les angles, et lancer des traits et de grosses pierres; aussi sa renommée s’étendit-elle au loin, car il se fit seconder à merveille jusqu’à devenir puissant.
Katka Yerusalemu alijenga mitambo, iliyobuniwa na watu wenye ujuzi, ili iwe juu ya minara na juu ya buruji, kwa ajili ya kurushia mishale na mawe makaubwa. Umaarufu wake ukaenea hadi nchi za mbali, kwa maana alisaidiwa sana hadi alipokuwa na ngavu sana.
16 Mais dans la puissance, son cœur s’enorgueillit jusqu’au crime; il fut rebelle contre l’Eternel, son Dieu, et pénétra dans le sanctuaire de l’Eternel, pour faire des fumigations sur l’autel des parfums.
Lakini Uzia alipokuwa amekuwa na nguvu nyingi, moyo wake ulijiinua akatenda kwa uovu; akafanya makosa zidi ya Yahwe, Mungu wake, kwa maana alienda kwenye nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya kufukizia.
17 Azariahou, le prêtre, entra derrière lui, accompagné des prêtres de l’Eternel, au nombre de quatre-vingts hommes courageux,
Azaria, kuhani, akamfuata, na pamoja naye makuhanai themanini wa Yahwe, ambao walikuwa watu wenye ujasiri.
18 qui s’opposèrent au roi Ouzzia et lui dirent: "Ce n’est pas ton rôle, Ouzzia, d’offrir l’encens à l’Eternel; c’est celui des prêtres, des descendants d’Aaron, consacrés à ce soin; sors du sanctuaire, car tu as péché, et cela ne te fait point honneur devant l’Eternel Dieu.
Walimzuia Uzia, mfalme, na wakasema kwake, “Siyo jukumu lako, Uzia, kumtolea Yahwe uvumba, bali ni kazi ya makuhani, wana wa Haruni, amabao wametengwa kwa ajili ya kutoa sadaka za uvumba. Toka nje ya sehemu takatifu, kwa maana huna uaminifu na hautaheshimiwa na Yahwe Mungu.”
19 Ouzzia se mit en colère, tandis qu’il tenait en main l’encensoir à fumigation, et alors qu’il s’emportait contre les prêtres, la lèpre brilla sur son front, en présence des prêtres, dans le temple de l’Eternel, auprès de l’autel des parfums.
Kisha Uzia akakasirika. Alikuwa ameshikilia chetezo mkononi kwa ajili ya kufukiza uvumba. Wakati alipowaghadhabikia makuhani, ukoma ukatokea juu ya uso wake mbele ya makuhani katika nyumba ya Yahwe, pembeni mwa madhabahu ya uvumba.
20 Azariahou, le prêtre en chef, se tourna vers lui ainsi que tous les prêtres, et voici qu’il était atteint de lèpre au front. Ils le firent sortir en hâte du lieu, et lui-même, d’ailleurs, s’empressa de sortir, car l’Eternel l’avait frappé.
Azaria kuhani mkuu na makuhani wote wakamwanagalia, na, tazama, alikuwa amepatwa ukoma juu ya uso wake. Walimwondoa pale haraka. Kwa hakika, aliharakisha kwenda nje, kwa maana Yahwe alikuwa amempiga.
21 Le roi Ouzzia resta atteint de lèpre jusqu’au jour de sa mort et demeura lépreux dans une maison d’isolement, car il avait été retranché du temple de l’Eternel. Jotham, son fils, préposé au palais du roi, gouvernait les gens du pays.
Uzia, mfalme, alikuwa mwenye ukoma hadi siku ya kufa kwake na aliishi katika nyumba ya kutengwa tangu alipokuwa mwenye ukoma, kwa maan alitengwa na nyumba ya Yahwe. Yothamu, mwanaye, alikuwa mkuu wa anyumba ya mfalme na aliwatawala watu wa nchi.
22 Le reste de l’histoire d’Ouzzia, du commencement à la fin, a été écrit par Isaïe, fils d’Amoç, le prophète.
Mambo mengine kuhusu Uzia, mwanzo na mwisho, yako katika kile ambacho Isaya, mwana wa Amozi, nabii, aliandika.
23 Ouzzia s’endormit avec ses aïeux, et il fut enterré avec eux dans le champ de la sépulture des rois, car on allégua qu’il était lépreux. Son fils Jotham lui succéda.
Kwa hiyo Uzia akalala pamoja na babu zake; walimzka pamoja na babu zake katika uwanja wa maziko wa Mfalme, kwa maana walisema, “Ni mwenye ukoma”. Yothamu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.

< 2 Chroniques 26 >