< 1 Samuel 10 >
1 Alors Samuel prit une fiole d’huile, en fit couler sur sa tête, et l’embrassa en disant: "Certes, ceci est l’onction que le Seigneur te confère, comme chef de son héritage.
Ndipo Samweli akachukua chupa ya mafuta, akayamimina juu ya kichwa cha Sauli, na akambusu. Akasema, “Je, Mungu hajakutia mafuta uwe mtawala juu ya urithi wake?
2 Tout à l’heure, après m’avoir quitté, tu rencontreras près du Tombeau de Rachel, à Celçah, près de la frontière de Benjamin, deux hommes qui te diront: "Les ânesses que tu étais allé chercher sont retrouvées; et maintenant ton père n’a plus le souci de ses ânesses, c’est de vous qu’il est inquiet, et il dit: Que ferai-je pour retrouver mon fils?"
Utakapoondoka kwangu leo, utawaona wanaume wawili na kaburi la Raheli, katika nchi ya Benyamini hapo Selsa. Watu hao watakuambia, 'Wale punda mliokuwa mkiwatafuta wamepatikana. Sasa, Baba yako ameacha kuwatunza punda, na ana hofu juu yenu, anasema, “Nitafanya nini kuhusu mwanangu?”
3 Poursuivant ton chemin et parvenu à la plaine de Thabor, tu y rencontreras trois hommes montant à Béthel, vers le Seigneur, et portant, l’un trois chevreaux, l’autre trois miches de pain, le troisième une outre de vin.
Kisha utakwenda mbele kutoka hapo, na utafika katika mwaloni wa Tabori. Utakutana na watu watatu hapo wakienda kwa Mungu huko Betheli, mmoja akibeba wana-mbuzi watatu, mwingine akibeba mikate mitatu, na mwingine akibeba kiriba cha divai.
4 Ils te salueront et t’offriront deux des pains, que tu accepteras.
Watawasalimu na watawapatia mikate miwili, kutoka mikononi mwao.
5 Tu arriveras ensuite à la Colline du Seigneur, où il y a une garnison de Philistins; et en arrivant là, dans la ville, tu rencontreras un chœur de prophètes descendant du haut-lieu, précédés de luths, de tambourins, de flûtes et de harpes, et s’abandonnant à l’inspiration.
Baada ya hayo, utafika katika mlima wa Mungu, mahali ilipo ngome ya Wafilisti. Utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakiteremka chini kutoka mahali pa juu wakiwa na kinanda, tari, kinubi na filimbi mbele yao; na watakuwa wakitabiri.
6 Alors l’esprit divin s’emparera de toi, et tu prophétiseras avec eux, et tu deviendras un autre homme.
Roho ya BWANA itakujaza, nawe utatabiri pamoja nao, na utabadilishwa na kuwa mtu tofauti.
7 Et quand ces signes se seront accomplis à ton égard, agis alors selon l’occasion qui s’offrira, car Dieu est avec toi!
Basi, ishara hizi zikikufikia, fanya lolote ambalo mikono yako itaona ifanye, kwa sababu Mungu yu pamoja nawe.
8 Or, tu iras m’attendre à Ghilgal, où je descendrai te rejoindre pour offrir des holocaustes, pour immoler des victimes rémunératoires. Pendant sept jours tu attendras mon arrivée, et je t’apprendrai alors ce que tu dois faire."
Nenda ushuke mbele yangu hadi Gilgali. Kisha nitakufuata huko nitoe dhabihu za kuteketezwa na kutoa dhabihu za amani. Nisubiri kwa muda wa siku saba hadi nije kwako na nikuoneshe unachopaswa kufanya.”
9 Sitôt que Saül eut tourné le dos et quitté Samuel, Dieu fit naître en lui un esprit nouveau, et tous les signes annoncés s’accomplirent ce jour-là.
Sauli alipotega mgongo amuache Samweli, Mungu akampa moyo mwingine. Ndipo ishara zote hizi zikatimia siku hiyo.
10 Et quand ils arrivèrent à la colline en question, un chœur de prophètes vint à sa rencontre; l’esprit divin s’empara de lui, et il prophétisa au milieu d’eux.
Walipofika mlimani, kundi la manabii lilikutana naye, na Roho ya Mungu ikamjilia kwa nguvu ili atabiri pamoja nao.
11 Et tous ceux qui le connaissaient de longue date, le voyant prophétiser avec ces hommes inspirés, se dirent l’un à l’autre: "Qu’est-il arrivé au fils de Kich? Eh quoi! Saül est-il aussi parmi les prophètes?"
Kila mtu aliyemfahamu kabla hajamwona akitabiri pamoja na manabii, watu waliambizana wao kwa wao:”Kitu gani kimempata mtoto wa Kishi? Hivi Sauli ni mmoja wa manabii siku hizi?”
12 Quelqu’un des assistants répondit: "Et qui donc est leur père?" De là est venue l’expression proverbiale: Est-ce que Saül est aussi parmi les prophètes?
Mtu mmoja kutoka eneo hilo akajibu, “Na ni nani baba yao?” Kwa sababu ya jambo hili, ukawapo msemo, “Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii?”
13 Lorsqu’il eut achevé de prophétiser, il se rendit sur la hauteur.
Alipomaliza kutabiri, akafika mahali pa juu.
14 L’Oncle de Saül, s’adressant à lui et à son serviteur, demanda: "Où êtes-vous allés?" Et il répondit: "Nous avons cherché les ânesses, et ne les trouvant point, nous nous sommes adressés à Samuel."
Ndipo baba yake mdogo na akamuuliza Sauli na mtumishi wake, “Mlienda wapi?” Naye akamjibu, “Kuwatafuta punnda; tulipoona kwamba hatuwezi kuwapata, tukaenda kwa Samweli.”
15 "Apprends-moi donc, reprit l’oncle de Saül, ce que Samuel vous a dit."
Baba yake mdogo akasema, “Tafadhali niambie kile alichosema kwako Samweli,”
16 "Il nous a annoncé, dit Saül à son oncle, que les ânesses étaient retrouvées." Mais quant à l’affaire de la royauté, il ne lui raconta point ce qu’avait dit Samuel.
Sauli akamjibu baba yake mdogo, “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini kuhusu swala la ufalme alilosema Samweli hakumwambia.
17 Samuel convoqua le peuple à Miçpa, en présence de l’Eternel,
Basi Samweli aliwaita watu pamoja huko Mispa.
18 et il dit aux enfants d’Israël: "Ainsi parle l’Eternel, Dieu d’Israël: C’Est moi qui ai tiré Israël de l’Egypte, qui vous ai sauvés de la puissance égyptienne et de la puissance de tous les rois qui vous opprimaient;
Akwaambia watu wa Israeli, “Hivi ndivyo BWANA, Mungu wa Israeli asemavyo: 'Niliwatoa Israeli kutoka Misri, na niliwaokoa kutoka nchi ya Wamisri, na kutoka mkono wa falme zote zilizowaonea.'
19 et vous, aujourd’hui, vous avez rejeté votre Dieu, celui qui vous secourt dans tous vos malheurs, dans toutes vos peines, et vous lui avez dit: "Il faut que tu nous donnes un roi!" Eh bien! Rangez-vous, en présence de l’Eternel, par tribus et par familles."
Lakini leo mmemkataa Mungu wenu, awaokoaye kutoka kwenye majanga na mahangaiko; na mmemwambia, ' Tuwekee mfalme juu yetu; Sasa jihudhurisheni wenyewe mbele za BWANA kwa kabila na jamaa zenu.”
20 Samuel fit donc approcher toutes les tribus d’Israël, et le sort désigna la tribu de Benjamin.
Kisha Samweli akawaleta kabila zote za Isareli karibu, na kulichagua kabila la Benyamini.
21 Puis il fit approcher les familles de la tribu de Benjamin, et le sort se prononça pour la famille de Matri, puis enfin pour Saül, fils de Kich. On le chercha alors, mais on ne le trouva point.
Akawasogeza karibu kabila la Benyamini kwa kufuata jamaa zao; na jamaa ya Wamatri ikachaguliwa; na Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipokwenda kumtafuta, hakuweza kuonekana.
22 On consulta de nouveau le Seigneur: "Est-il encore venu quelqu’un ici?… Oui, répondit le Seigneur, et il se tient caché parmi les bagages."
Kisha watu walitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Bado yupo mtu mwingine ajaye?” BWANA akajibu, “Yeye mwenyewe kajificha kwenye mizigo.”
23 On courut l’y chercher, et alors il apparut debout au milieu du peuple, dépassant tous les autres de l’épaule.
Wakaenda mbio na kumleta Sauli kutoka humo. Aliposimama kati yao, alikuwa mrefu kuliko watu wote kuanzia mabega yake kwenda juu.
24 Et Samuel dit à tout le peuple: "Voyez-vous qui le Seigneur a choisi? Il n’a point son pareil dans le peuple entier." Et tous l’acclamèrent, en criant: "Vive le roi!"
Kisha Samweli akawaambia watu, “Je, mnamuona mtu ambaye BWANA amemchagua? Hakuna mtu kama yeye kati ya watu wote.” Watu wote wakapiga Kelele, “Mfalme na aishi”
25 Samuel exposa au peuple les conditions de la royauté, et les consigna dans un document qu’il déposa devant le Seigneur; puis il renvoya tout le peuple à ses demeures.
Ndipo Samweli akawaambia watu desturi na sheria za ufalme, akaziandika katika kitabu, na kuziweke mbele za BWANA. Baadaye Samweli akawaruhusu watu waondoke kila mtu aende nyumbani kwake.
26 Saül aussi s’en alla chez lui, à Ghibea, accompagné d’un groupe d’hommes dont Dieu avait touché le cœur.
Sauli pia alienda nyumbani kwake huko Gibea, akiwa na baadhi ya watu wenye nguvu, wenye mioyo iliyoguswa na Mungu.
27 Mais il y eut des hommes pervers qui dirent: "Quel bien celui-là peut-il nous faire?" et ils le méprisèrent et ne lui offrirent point de présents. Saül s’y montra indifférent.
Lakini baadhi ya watu wasiofaa walisema, “Huyu mtu atatuokoaje?” Watu hawa walimdharau Sauli na hawakumletea zawadi zozote. Lakini Sauli alinyamaza kimya.