< Psaumes 91 >
1 Celui qui habite dans la [demeure] secrète du Très-haut logera à l’ombre du Tout-puissant.
Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
2 J’ai dit de l’Éternel: Il est ma confiance et mon lieu fort; il est mon Dieu, je me confierai en lui.
Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
3 Car il te délivrera du piège de l’oiseleur, de la peste calamiteuse.
Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
4 Il te couvrira de ses plumes, et sous ses ailes tu auras un refuge; sa vérité sera ton bouclier et ta rondache.
Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
5 Tu n’auras pas peur des frayeurs de la nuit, ni de la flèche qui vole de jour,
Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
6 Ni de la peste qui marche dans les ténèbres, ni de la destruction qui dévaste en plein midi.
wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
7 Il en tombera mille à ton côté, et dix mille à ta droite; – toi, tu ne seras pas atteint.
Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
8 Seulement tu contempleras de tes yeux, et tu verras la récompense des méchants.
Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
9 Parce que toi tu as mis l’Éternel, mon refuge, le Très-haut, pour ta demeure,
Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
10 Aucun mal ne t’arrivera, et aucune plaie n’approchera de ta tente;
Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
11 Car il commandera à ses anges à ton sujet, de te garder en toutes tes voies:
Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
12 Ils te porteront sur leurs mains, de peur que tu ne heurtes ton pied contre une pierre.
Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
13 Tu marcheras sur le lion et sur l’aspic, tu fouleras le lionceau et le dragon.
Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
14 Parce qu’il a mis son affection sur moi, je le délivrerai; je le mettrai en une haute retraite, parce qu’il a connu mon nom.
Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
15 Il m’invoquera, et je lui répondrai; dans la détresse je serai avec lui; je le délivrerai et le glorifierai.
Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
16 Je le rassasierai de longs jours, et je lui ferai voir mon salut.
Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.