< Psaumes 77 >

1 Au chef de musique. Sur Jeduthun. D’Asaph. Psaume. Ma voix s’adresse à Dieu, et je crierai; ma voix s’adresse à Dieu, et il m’écoutera.
Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
2 Au jour de ma détresse j’ai cherché le Seigneur; ma main était étendue durant la nuit et ne se lassait point; mon âme refusait d’être consolée.
Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
3 Je me souvenais de Dieu, et j’étais agité; je me lamentais, et mon esprit défaillait. (Sélah)
Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
4 Tu tiens ouvertes mes paupières; je suis inquiet, et je ne parle pas.
Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
5 Je pense aux jours d’autrefois, aux années des siècles passés.
Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
6 Je me souviens, de nuit, de mon cantique; je médite en mon cœur, et mon esprit cherche diligemment.
Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
7 Le Seigneur rejettera-t-il pour toujours? et ne montrera-t-il plus sa faveur?
Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
8 Sa bonté a-t-elle cessé pour toujours? Sa parole a-t-elle pris fin de génération en génération?
Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
9 Dieu a-t-il oublié d’user de grâce? A-t-il enfermé ses miséricordes dans la colère? (Sélah)
Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
10 Et je dis: C’est ici mon infirmité; – [je me souviendrai des] années de la droite du Très-haut,
Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
11 Je me souviendrai des œuvres de Jah; car je me souviendrai de tes merveilles d’autrefois,
Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
12 Et je penserai à toute ton œuvre, et je méditerai tes actes.
Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
13 Ô Dieu! ta voie est dans le lieu saint. Où y a-t-il un dieu grand comme Dieu?
Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
14 Toi, tu es le Dieu qui fais des merveilles; tu as fait connaître ta puissance parmi les peuples.
Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
15 Tu as racheté par [ton] bras ton peuple, les fils de Jacob et de Joseph. (Sélah)
Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
16 Les eaux t’ont vu, ô Dieu! les eaux t’ont vu, elles ont tremblé; les abîmes aussi se sont émus.
Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
17 Les nuées ont versé des eaux, les nuages ont fait retentir une voix, et tes flèches se sont promenées.
Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
18 La voix de ton tonnerre était dans le tourbillon, les éclairs ont illuminé le monde; la terre en a été émue et a tremblé.
Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
19 Ta voie est dans la mer, et tes sentiers dans les grandes eaux; et tes traces ne sont pas connues.
Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
20 Tu as conduit ton peuple comme un troupeau, par la main de Moïse et d’Aaron.
Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.

< Psaumes 77 >