< Psaumes 75 >
1 Au chef de musique. Al-Tashkheth. Psaume d’Asaph. Cantique. Nous te célébrons, ô Dieu! nous te célébrons, et ton nom est proche: tes merveilles le racontent.
Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
2 Quand je recevrai l’assemblée, je jugerai avec droiture.
Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
3 La terre et tous ses habitants se sont fondus; moi, j’affermis ses piliers. (Sélah)
Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
4 J’ai dit à ceux qui se glorifient: Ne vous glorifiez pas; et aux méchants: N’élevez pas [votre] corne;
Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
5 N’élevez pas en haut votre corne, ne parlez pas avec arrogance, d’un cou [roide].
Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
6 Car ce n’est ni du levant, ni du couchant, ni du midi, que vient l’élévation.
Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
7 Car c’est Dieu qui juge; il abaisse l’un, et élève l’autre.
Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
8 Car une coupe est dans la main de l’Éternel, et elle écume de vin; elle est pleine de mixtion, et il en verse: oui, tous les méchants de la terre en suceront la lie, ils la boiront.
Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
9 Mais moi, je raconterai [ces choses] à toujours; je chanterai au Dieu de Jacob.
Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
10 Et toutes les cornes des méchants, je les abattrai; [mais] les cornes des justes seront élevées.
Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”