< Psaumes 34 >

1 De David, quand il dissimula sa raison devant Abimélec, qui le chassa, et il s’en alla. Je bénirai l’Éternel en tout temps; sa louange sera continuellement dans ma bouche.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Mon âme se glorifiera en l’Éternel; les débonnaires l’entendront, et se réjouiront.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Magnifiez l’Éternel avec moi, et exaltons ensemble son nom.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 J’ai cherché l’Éternel; et il m’a répondu, et m’a délivré de toutes mes frayeurs.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Ils ont regardé vers lui, et ils ont été illuminés, et leurs faces n’ont pas été confuses.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Cet affligé a crié; et l’Éternel l’a entendu, et l’a sauvé de toutes ses détresses.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 L’ange de l’Éternel campe autour de ceux qui le craignent, et les délivre.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Goûtez et voyez que l’Éternel est bon! Bienheureux l’homme qui se confie en lui!
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Craignez l’Éternel, vous ses saints; car rien ne manque à ceux qui le craignent.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Les lionceaux souffrent disette, et ont faim; mais ceux qui cherchent l’Éternel ne manquent d’aucun bien.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Venez, fils, écoutez-moi: je vous enseignerai la crainte de l’Éternel.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Qui est l’homme qui prenne plaisir à la vie [et] qui aime les jours pour voir du bien?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Garde ta langue du mal, et tes lèvres de proférer la tromperie;
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Retire-toi du mal, et fais le bien; cherche la paix, et poursuis-la.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Les yeux de l’Éternel [regardent] vers les justes, et ses oreilles sont [ouvertes] à leur cri.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 La face de l’Éternel est contre ceux qui font le mal, pour retrancher de la terre leur mémoire.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 [Les justes] crient, et l’Éternel entend, et il les délivre de toutes leurs détresses.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 L’Éternel est près de ceux qui ont le cœur brisé, et il sauve ceux qui ont l’esprit abattu.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Les maux du juste sont en grand nombre; mais l’Éternel le délivre de tous:
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Il garde tous ses os, pas un d’eux n’est cassé.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Le mal fera mourir le méchant; et ceux qui haïssent le juste en porteront la peine.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 L’Éternel rachète l’âme de ses serviteurs; et aucun de ceux qui se confient en lui ne sera tenu pour coupable.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Psaumes 34 >