< Psaumes 136 >
1 Célébrez l’Éternel! Car il est bon; car sa bonté demeure à toujours.
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Célébrez le Dieu des dieux! car sa bonté demeure à toujours.
Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
3 Célébrez le Seigneur des seigneurs! car sa bonté demeure à toujours;
Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
4 Celui qui seul fait de grandes merveilles, car sa bonté demeure à toujours:
Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5 Qui a fait les cieux par [son] intelligence, car sa bonté demeure à toujours;
Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6 Qui a étendu la terre sur les eaux, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7 Qui a fait de grands luminaires, car sa bonté demeure à toujours:
Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
8 Le soleil pour dominer sur le jour, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
9 La lune et les étoiles pour dominer sur la nuit, car sa bonté demeure à toujours;
Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10 Qui a frappé l’Égypte en ses premiers-nés, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
11 Et a fait sortir Israël du milieu d’eux, car sa bonté demeure à toujours, –
Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
12 À main forte et à bras étendu, car sa bonté demeure à toujours;
Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
13 Qui a divisé en deux la mer Rouge, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
14 Et a fait passer Israël au milieu d’elle, car sa bonté demeure à toujours;
Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
15 Et a précipité le Pharaon et son armée dans la mer Rouge, car sa bonté demeure à toujours;
Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
16 Qui a conduit son peuple par le désert, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
17 Qui a frappé de grands rois, car sa bonté demeure à toujours;
Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
18 Et a tué de puissants rois, car sa bonté demeure à toujours:
Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
19 Sihon, roi des Amoréens, car sa bonté demeure à toujours,
Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
20 Et Og, roi de Basan, car sa bonté demeure à toujours;
Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
21 Et a donné leur pays en héritage, car sa bonté demeure à toujours, –
Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
22 En héritage à Israël, son serviteur, car sa bonté demeure à toujours;
Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
23 Qui, dans notre bas état, s’est souvenu de nous, car sa bonté demeure à toujours,
Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
24 Et nous a délivrés de nos ennemis, car sa bonté demeure à toujours;
Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
25 Qui donne du pain à toute chair, car sa bonté demeure à toujours.
Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
26 Célébrez le Dieu des cieux! Car sa bonté demeure à toujours.
Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.