< Psaumes 113 >

1 Louez Jah. Louez, vous serviteurs de l’Éternel, louez le nom de l’Éternel.
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Le nom de l’Éternel soit béni, dès maintenant et à toujours!
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 Du soleil levant jusqu’au soleil couchant, le nom de l’Éternel soit loué!
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 L’Éternel est haut élevé par-dessus toutes les nations; sa gloire est au-dessus des cieux.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Qui est comme l’Éternel, notre Dieu? Il a placé sa demeure en haut;
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 Il s’abaisse pour regarder dans les cieux et sur la terre;
atazamaye chini angani na duniani?
7 De la poussière il fait lever le misérable, de dessus le fumier il élève le pauvre,
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 Pour les faire asseoir avec les nobles, avec les nobles de son peuple;
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Il fait habiter la femme stérile dans une maison, joyeuse mère de fils. Louez Jah!
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< Psaumes 113 >