< Psaumes 100 >
1 Psaume d’action de grâces. Poussez des cris de joie vers l’Éternel, toute la terre!
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Servez l’Éternel avec joie, venez devant lui avec des chants de triomphe.
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Sachez que l’Éternel est Dieu. C’est lui qui nous a faits, et ce n’est pas nous; [nous sommes] son peuple, et le troupeau de sa pâture.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Entrez dans ses portes avec des actions de grâces, dans ses parvis avec des louanges. Célébrez-le, bénissez son nom!
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 Car l’Éternel est bon; sa bonté demeure à toujours, et sa fidélité de génération en génération.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.