< Proverbes 6 >
1 Mon fils, si tu t’es porté caution pour ton prochain, si tu as engagé ta main pour un étranger,
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 tu es enlacé dans les paroles de ta bouche, tu es pris dans les paroles de ta bouche.
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 Mon fils, fais donc ceci, et délivre-toi, puisque tu es tombé en la main de ton prochain: va, humilie-toi, et insiste auprès de ton prochain.
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 Ne permets pas à tes yeux de dormir, ni à tes paupières de sommeiller;
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 dégage-toi, comme la gazelle, de la main [du chasseur], et comme l’oiseau, de la main de l’oiseleur.
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 Va vers la fourmi, paresseux; regarde ses voies, et sois sage.
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Elle qui n’a ni chef, ni surveillant, ni gouverneur,
Hana akida, afisa au mtawala,
8 elle prépare en été son pain, elle amasse pendant la moisson sa nourriture.
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Jusques à quand, paresseux, resteras-tu couché? Quand te lèveras-tu de ton sommeil?
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Un peu de sommeil, un peu d’assoupissement, un peu croiser les mains pour dormir…,
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 et ta pauvreté viendra comme un voyageur, et ton dénuement comme un homme armé.
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 Celui qui marche, la perversité dans sa bouche, est un homme de Bélial, un homme inique;
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 il cligne de ses yeux, il parle de ses pieds, il enseigne de ses doigts;
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 il y a des pensées perverses dans son cœur, il machine du mal en tout temps, il sème des querelles.
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 C’est pourquoi sa calamité viendra subitement; il sera tout à coup brisé, et il n’y a pas de remède.
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 L’Éternel hait ces six choses, et il y en a sept qui sont en abomination à son âme:
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
17 les yeux hautains, la langue fausse, et les mains qui versent le sang innocent,
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
18 le cœur qui machine des projets d’iniquité, les pieds qui se hâtent de courir au mal,
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
19 le faux témoin qui profère des mensonges, et celui qui sème des querelles entre des frères.
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 Mon fils, garde le commandement de ton père, et n’abandonne pas l’enseignement de ta mère;
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 tiens-les continuellement liés sur ton cœur, attache-les à ton cou.
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 Quand tu marcheras, il te conduira; quand tu dormiras, il te gardera; et quand tu te réveilleras, il s’entretiendra avec toi.
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 Car le commandement est une lampe et l’enseignement une lumière, et les répréhensions de la discipline sont le chemin de la vie,
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 pour te garder de la mauvaise femme, des flatteries de la langue d’une étrangère.
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 Ne désire pas sa beauté dans ton cœur, et qu’elle ne te prenne pas par ses paupières;
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 car par la femme prostituée [on en vient] jusqu’à un morceau de pain, et la femme d’autrui chasse après l’âme précieuse.
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 Un homme prendra-t-il du feu dans son sein sans que ses vêtements brûlent?
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 Si un homme marche sur des charbons ardents, ses pieds ne seront-ils pas brûlés?
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 Ainsi celui qui entre vers la femme de son prochain…, quiconque la touchera ne sera point innocent.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 On ne méprise pas un voleur s’il vole pour satisfaire son âme quand il a faim;
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 et s’il est trouvé, il rendra le septuple, il donnera tous les biens de sa maison.
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 Celui qui commet adultère avec une femme manque de sens; celui qui le fait détruit son âme:
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 il trouvera plaie et mépris, et son opprobre ne sera pas effacé;
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 car dans l’homme, la jalousie est une fureur, et il n’épargnera pas au jour de la vengeance;
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 il n’acceptera aucune propitiation, et ne se tiendra pas pour satisfait, quand tu multiplierais les présents.
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.