< Nombres 33 >

1 Ce sont ici les traites des fils d’Israël, qui sortirent du pays d’Égypte, selon leurs armées, sous la main de Moïse et d’Aaron.
Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
2 Et Moïse écrivit leurs départs, selon leurs traites, suivant le commandement de l’Éternel; et ce sont ici leurs traites, selon leurs départs.
Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
3 Ils partirent de Ramsès, le premier mois, le quinzième jour du premier mois: le lendemain de la Pâque, les fils d’Israël sortirent à main levée, aux yeux de tous les Égyptiens;
Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
4 et les Égyptiens enterraient ceux que l’Éternel avait frappés parmi eux, tous les premiers-nés; et l’Éternel avait exécuté des jugements sur leurs dieux.
waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
5 Et les fils d’Israël partirent de Ramsès, et campèrent à Succoth.
Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
6 Et ils partirent de Succoth, et campèrent à Étham, qui est à l’extrémité du désert.
Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
7 Et ils partirent d’Étham et retournèrent à Pi-Hahiroth, qui est vis-à-vis de Baal-Tsephon, et campèrent devant Migdol.
Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
8 Et ils partirent de devant Hahiroth, et passèrent au milieu de la mer, vers le désert, et allèrent le chemin de trois jours dans le désert d’Étham, et campèrent à Mara.
Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
9 Et ils partirent de Mara, et vinrent à Élim; et à Élim, il y avait douze fontaines d’eau et 70 palmiers, et ils campèrent là.
Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
10 Et ils partirent d’Élim, et campèrent près de la mer Rouge.
Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
11 Et ils partirent de la mer Rouge, et campèrent dans le désert de Sin.
Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
12 Et ils partirent du désert de Sin, et campèrent à Dophka.
Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
13 Et ils partirent de Dophka, et campèrent à Alush.
Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
14 Et ils partirent d’Alush, et campèrent à Rephidim, où il n’y avait pas d’eau à boire pour le peuple.
Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
15 Et ils partirent de Rephidim, et campèrent dans le désert de Sinaï.
Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
16 Et ils partirent du désert de Sinaï, et campèrent à Kibroth-Hattaava.
Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
17 Et ils partirent de Kibroth-Hattaava, et campèrent à Hatséroth.
Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
18 Et ils partirent de Hatséroth, et campèrent à Rithma.
Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
19 Et ils partirent de Rithma, et campèrent à Rimmon-Pérets.
Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
20 Et ils partirent de Rimmon-Pérets, et campèrent à Libna.
Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
21 Et ils partirent de Libna, et campèrent à Rissa.
Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
22 Et ils partirent de Rissa, et campèrent à Kehélatha.
Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
23 Et ils partirent de Kehélatha, et campèrent dans la montagne de Shapher.
Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
24 Et ils partirent de la montagne de Shapher, et campèrent à Harada.
Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
25 Et ils partirent de Harada, et campèrent à Makhéloth.
Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
26 Et ils partirent de Makhéloth, et campèrent à Thakhath.
Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
27 Et ils partirent de Thakhath, et campèrent à Thérakh.
Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
28 Et ils partirent de Thérakh, et campèrent à Mithka.
Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
29 Et ils partirent de Mithka, et campèrent à Hashmona.
Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
30 Et ils partirent de Hashmona, et campèrent à Moséroth.
Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
31 Et ils partirent de Moséroth, et campèrent à Bené-Jaakan.
Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
32 Et ils partirent de Bené-Jaakan, et campèrent à Hor-Guidgad.
Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
33 Et ils partirent de Hor-Guidgad, et campèrent à Jotbatha.
Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
34 Et ils partirent de Jotbatha, et campèrent à Abrona.
Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
35 Et ils partirent d’Abrona, et campèrent à Étsion-Guéber.
Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
36 Et ils partirent d’Étsion-Guéber, et campèrent dans le désert de Tsin, qui est Kadès.
Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
37 Et ils partirent de Kadès, et campèrent dans la montagne de Hor, aux confins du pays d’Édom.
Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
38 Et Aaron le sacrificateur monta sur la montagne de Hor, suivant le commandement de l’Éternel, et il y mourut, en la quarantième année après que les fils d’Israël furent sortis du pays d’Égypte, le cinquième mois, le premier [jour] du mois:
Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
39 et Aaron était âgé de 123 ans, quand il mourut sur la montagne de Hor.
Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
40 Et le Cananéen, roi d’Arad, qui habitait le midi, dans le pays de Canaan, apprit que les fils d’Israël venaient.
Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
41 Et ils partirent de la montagne de Hor, et campèrent à Tsalmona.
Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
42 Et ils partirent de Tsalmona, et campèrent à Punon.
Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
43 Et ils partirent de Punon, et campèrent à Oboth.
Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
44 Et ils partirent d’Oboth, et campèrent à Ijim-Abarim, sur la frontière de Moab.
Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
45 Et ils partirent d’Ijim, et campèrent à Dibon-Gad.
Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
46 Et ils partirent de Dibon-Gad, et campèrent à Almon, vers Diblathaïm.
Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
47 Et ils partirent d’Almon vers Diblathaïm, et campèrent dans les montagnes d’Abarim, devant Nebo.
Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
48 Et ils partirent des montagnes d’Abarim, et campèrent dans les plaines de Moab, près du Jourdain de Jéricho;
Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
49 et ils campèrent près du Jourdain, depuis Beth-Jeshimoth jusqu’à Abel-Sittim, dans les plaines de Moab.
Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
50 Et l’Éternel parla à Moïse, dans les plaines de Moab, près du Jourdain de Jéricho, disant:
Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
51 Parle aux fils d’Israël, et dis-leur: Quand vous aurez passé le Jourdain [et que vous serez entrés] dans le pays de Canaan,
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
52 vous déposséderez tous les habitants du pays devant vous, et vous détruirez toutes leurs figures sculptées, et vous détruirez toutes leurs images de fonte, et vous dévasterez tous leurs hauts lieux;
wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
53 et vous prendrez possession du pays, et vous y habiterez, car je vous ai donné le pays pour le posséder.
Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
54 Et vous recevrez le pays en héritage par le sort, selon vos familles: à ceux qui sont nombreux, vous augmenterez l’héritage, et à ceux qui sont peu nombreux, vous diminuerez l’héritage; là où le sort lui sera échu, là sera [l’héritage] de chacun: vous hériterez selon les tribus de vos pères.
Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
55 Et si vous ne dépossédez pas devant vous les habitants du pays, ceux d’entre eux que vous laisserez de reste seront comme des épines à vos yeux et comme des piquants dans vos côtés, et ils vous opprimeront dans le pays que vous habiterez.
“‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
56 Et il arrivera que je vous ferai à vous, comme j’ai pensé de leur faire, à eux.
Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”

< Nombres 33 >