< Nombres 17 >

1 Et l’Éternel parla à Moïse, disant:
Bwana akamwambia Mose,
2 Parle aux fils d’Israël, et prends d’eux, de tous leurs princes, selon leurs maisons de pères, une verge par maison de père, douze verges; tu écriras le nom de chacun sur sa verge;
“Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.
3 et tu écriras le nom d’Aaron sur la verge de Lévi; car il y aura une verge pour [chaque] chef de leurs maisons de pères.
Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.
4 Et tu les poseras dans la tente d’assignation, devant le témoignage, où je me rencontre avec vous.
Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.
5 Et il arrivera que la verge de l’homme que j’ai choisi bourgeonnera; et je ferai cesser de devant moi les murmures des fils d’Israël, par lesquels ils murmurent contre vous.
Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”
6 Et Moïse parla aux fils d’Israël; et tous leurs princes lui donnèrent une verge, une verge pour chaque prince, selon leurs maisons de pères: douze verges; et la verge d’Aaron était au milieu de ces verges.
Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.
7 Et Moïse posa les verges devant l’Éternel, dans la tente du témoignage.
Mose akaziweka hizo fimbo mbele za Bwana ndani ya Hema la Ushuhuda.
8 Et il arriva, le lendemain, que Moïse entra dans la tente du témoignage, et voici, la verge d’Aaron, pour la maison de Lévi, avait bourgeonné, et avait poussé des boutons, et avait produit des fleurs et mûri des amandes.
Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.
9 Et Moïse porta toutes les verges de devant l’Éternel à tous les fils d’Israël; et ils les virent, et reprirent chacun sa verge.
Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.
10 Et l’Éternel dit à Moïse: Reporte la verge d’Aaron devant le témoignage, pour être gardée comme un signe aux fils de rébellion; et tu feras cesser leurs murmures de devant moi, et ils ne mourront pas.
Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
11 Et Moïse fit comme l’Éternel lui avait commandé; il fit ainsi.
Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
12 Et les fils d’Israël parlèrent à Moïse, disant: Voici, nous expirons, nous périssons, nous périssons tous!
Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!
13 Quiconque s’approche en aucune manière du tabernacle de l’Éternel, meurt; faut-il donc que nous expirions tous?
Yeyote akaribiaye Maskani ya Bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”

< Nombres 17 >