< Josué 19 >

1 Et le deuxième lot échut à Siméon, pour la tribu des fils de Siméon, selon leurs familles; et leur héritage fut au milieu de l’héritage des fils de Juda.
Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
2 Et ils eurent dans leur héritage Beër-Shéba, et Shéba, et Molada,
Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
3 et Hatsar-Shual, et Bala, et Étsem,
Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
4 et Eltholad, et Bethul, et Horma,
Eltoladi, Bethuli, Horma,
5 et Tsiklag, et Beth-Marcaboth, et Hatsar-Susa,
Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
6 et Beth-Lebaoth, et Sharukhen: 13 villes et leurs hameaux;
Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
7 Aïn, Rimmon, et Éther, et Ashan: quatre villes et leurs hameaux;
Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
8 et tous les hameaux qui étaient autour de ces villes, jusqu’à Baalath-Beër, la Rama du midi. Tel fut l’héritage de la tribu des fils de Siméon, selon leurs familles.
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
9 L’héritage des fils de Siméon fut pris du lot des fils de Juda, car la part des fils de Juda était trop grande pour eux; et les fils de Siméon héritèrent au milieu de leur héritage.
Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
10 Et le troisième sort tomba pour les fils de Zabulon, selon leurs familles; et la frontière de leur héritage fut jusqu’à Sarid;
Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
11 et leur frontière montait vers l’occident, et à Marhala, et touchait à Dabbésheth, et touchait au torrent qui est devant Jokneam;
Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
12 et elle tournait de Sarid vers l’orient au soleil levant, sur la frontière de Kisloth-Thabor, et sortait vers Dabrath, et montait à Japhia,
Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
13 et de là passait vers l’orient, au levant, à Gath-Hépher, à Eth-Katsin, et sortait à Rimmon, qui s’étend jusqu’à Néa.
Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
14 Et la frontière en faisait le tour, au nord, vers Hannathon, et aboutissait à la vallée de Jiphtah-El;
Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
15 … et Kattath, et Nahalal, et Shimron, et Jideala, et Bethléhem: douze villes et leurs hameaux.
Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
16 Tel fut l’héritage des fils de Zabulon, selon leurs familles: ces villes-là et leurs hameaux.
Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
17 Le quatrième sort échut à Issacar, pour les fils d’Issacar, selon leurs familles.
Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
18 Et leur territoire fut vers Jizreël, et Kesulloth, et Sunem,
Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
19 et Hapharaïm, et Shion, et Anakharath,
Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
20 et Rabbith, et Kishion, et Ébets,
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
21 et Rémeth, et En-Gannim, et En-Hadda, et Beth-Patsets;
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
22 et la frontière touchait à Thabor, et à Shakhatsim, et à Beth-Shémesh; et leur frontière aboutissait au Jourdain: 16 villes et leurs hameaux.
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23 Tel fut l’héritage de la tribu des fils d’Issacar, selon leurs familles: ces villes et leurs hameaux.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
24 Et le cinquième sort échut à la tribu des fils d’Aser, selon leurs familles.
Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
25 Et leur territoire fut Helkath, et Hali, et Béten, et Acshaph,
Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
26 et Allammélec, et Amhad, et Misheal; et [la frontière] touchait au Carmel, à l’occident, et au Shikhor-Libnath;
Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
27 et elle tournait vers le soleil levant, contre Beth-Dagon, et touchait à Zabulon et à la vallée de Jiphtah-El, au nord de Beth-Émek et de Neïel, et sortait vers Cabul au nord;
Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
28 et vers Ébron, et Rehob, et Hammon, et Kana, jusqu’à Sidon la grande;
Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
29 et la frontière tournait vers Rama et jusqu’à la ville forte de Tyr; et la frontière tournait vers Hosa, et aboutissait à la mer, près de la contrée d’Aczib;
Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
30 … et Umma, et Aphek, et Rehob: 22 villes et leurs hameaux.
Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
31 Tel fut l’héritage de la tribu des fils d’Aser, selon leurs familles: ces villes-là et leurs hameaux.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
32 Le sixième sort échut aux fils de Nephthali, pour les fils de Nephthali, selon leurs familles.
Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
33 Et leur frontière fut depuis Héleph, depuis le chêne de Tsaanannim, et Adami-Nékeb, et Jabneël, jusqu’à Lakkum, et elle aboutissait au Jourdain;
Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
34 et la frontière tournait vers l’occident, contre Aznoth-Thabor, et sortait de là vers Hukkok, et touchait au midi à Zabulon; et à l’occident elle touchait à Aser, et à Juda sur le Jourdain au soleil levant.
Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
35 Et les villes fortes étaient: Tsiddim, Tser, et Hammath, Rakkath, et Kinnéreth,
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
36 et Adama, et Rama, et Hatsor,
Adama, Rama, Hazori,
37 et Kédesh, et Édréhi, et En-Hatsor,
Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
38 et Jireon, et Migdal-El, Horem, et Beth-Anath, et Beth-Shémesh: 19 villes et leurs hameaux.
Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
39 Tel fut l’héritage de la tribu des fils de Nephthali, selon leurs familles: ces villes et leurs hameaux.
Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
40 Le septième sort échut à la tribu des fils de Dan, selon leurs familles.
Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
41 Et le territoire de leur héritage fut: Tsorha, et Eshtaol, et Ir-Shémesh,
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42 et Shaalabbin, et Ajalon, et Jithla,
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43 et Élon, et Thimnatha, et Ékron,
Eloni, Timna, Ekroni,
44 et Eltheké, et Guibbethon, et Baalath,
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45 et Jehud, et Bené-Berak, et Gath-Rimmon,
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46 et Mé-Jarkon, et Rakkon, avec la frontière vis-à-vis de Japho.
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47 Et la frontière des fils de Dan se terminait par elles. Et les fils de Dan montèrent et combattirent contre Léshem, et la prirent, et la frappèrent par le tranchant de l’épée, et en prirent possession et y habitèrent; et ils appelèrent Léshem, Dan, du nom de Dan, leur père.
(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
48 Tel fut l’héritage de la tribu des fils de Dan, selon leurs familles: ces villes-là et leurs hameaux.
Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
49 Et quand on eut achevé de partager le pays selon ses frontières, les fils d’Israël donnèrent un héritage au milieu d’eux à Josué, fils de Nun.
Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
50 Selon le commandement de l’Éternel, ils lui donnèrent la ville qu’il demanda: Thimnath-Sérakh, dans la montagne d’Éphraïm; et il bâtit la ville, et y habita.
kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
51 Ce sont là les héritages qu’Éléazar, le sacrificateur, et Josué, fils de Nun, et les chefs des pères des tribus des fils d’Israël, distribuèrent par le sort, à Silo, devant l’Éternel, à l’entrée de la tente d’assignation; et ils achevèrent le partage du pays.
Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

< Josué 19 >