< Job 37 >

1 À cause de cela aussi mon cœur tremble, et tressaille comme s’il sortait de sa place.
“Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.
2 Écoutez donc le bruit éclatant de sa voix et le grondement qui sort de sa bouche!
Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake, sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
3 Il le dirige sous tous les cieux, et son éclair, jusqu’aux extrémités de la terre:
Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote na kuupeleka hata miisho ya dunia.
4 Après lui une voix rugit. Il tonne de sa voix majestueuse, et il ne retient pas ses éclairs quand il fait entendre sa voix.
Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake; Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari. Wakati sauti yake ingurumapo tena, huuachilia umeme wake wa radi.
5 Dieu tonne merveilleusement de sa voix, faisant de grandes choses que nous ne comprenons pas.
Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu; yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
6 Car il dit à la neige: Tombe sur la terre! et aussi aux averses de pluie, et aux averses des pluies de sa force.
Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’ nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
7 Il met un sceau sur la main de tout homme, afin que tous les hommes connaissent son œuvre.
Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake, yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
8 Les bêtes sauvages rentrent dans leurs gîtes, et demeurent dans leurs repaires.
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
9 Des chambres [du midi] vient le tourbillon, et des vents du nord, le froid.
Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
10 Au souffle de Dieu se forme la glace, et la largeur des eaux se resserre.
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
11 Il charge d’eau le nuage; sa lumière dissipe les nuées;
Huyasheheneza mawingu kwa maji, naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
12 Et sous sa conduite elles tournoient en tout sens, pour accomplir leur œuvre, tout ce qu’il leur commande sur la face du cercle de la terre,
Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake, juu ya uso wa dunia yote, kufanya lolote ayaamuruyo.
13 Soit qu’il les fasse venir comme verge, ou pour sa terre, ou en bonté.
Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu, au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
14 Écoute ceci, Job; tiens-toi là, et discerne les œuvres merveilleuses de Dieu.
“Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
15 Sais-tu comment Dieu les a disposées et comment il fait briller l’éclair de sa nuée?
Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu, na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
16 Comprends-tu le balancement des nuages, les œuvres merveilleuses de celui qui est parfait en connaissance, –
Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
17 Pourquoi tes vêtements sont chauds quand il donne du repos à la terre par le vent du midi?
Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
18 As-tu étendu avec lui la voûte céleste, aussi ferme qu’un miroir de fonte?
je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga, zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
19 Fais-nous savoir ce que nous lui dirons! Nous ne savons préparer [des paroles], à cause de [nos] ténèbres.
“Tuambieni yatupasayo kumwambia; hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
20 Lui racontera-t-on que je parle? Si quelqu’un lui parle, il sera sûrement englouti.
Je, aambiwe kwamba nataka kuongea? Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
21 Et maintenant on ne voit pas la lumière brillante, elle est [cachée] dans les nues; mais le vent passe et les [chasse, et] produit un ciel clair.
Basi hakuna awezaye kulitazama jua, jinsi linavyongʼaa angani, upepo ukishafagia mawingu.
22 L’or vient du nord; – par-devers Dieu est la majesté terrible.
Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu; Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
23 Le Tout-puissant, nous ne le trouvons pas; grand en force, en jugement et en beaucoup de justice, il n’opprime pas.
Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza; katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
24 C’est pourquoi les hommes le craindront; aucun des sages de cœur ne le contemplera.
Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni, kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”

< Job 37 >