< Job 33 >

1 Mais toutefois, Job, je te prie, écoute ce que je dis, et prête l’oreille à toutes mes paroles.
Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
2 Voici, j’ai ouvert ma bouche, ma langue parle dans mon palais.
Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
3 Mes paroles seront selon la droiture de mon cœur, et ce que je sais mes lèvres le diront avec pureté.
Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
4 L’Esprit de Dieu m’a fait, et le souffle du Tout-puissant m’a donné la vie.
Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
5 Si tu le peux, réponds-moi; arrange [des paroles] devant moi, tiens-toi là!
Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
6 Voici, je suis comme toi quant à Dieu, je suis fait d’argile, moi aussi.
Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
7 Voici, ma terreur ne te troublera pas, et mon poids ne t’accablera pas.
Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
8 Certainement tu as dit à mes propres oreilles, et j’ai entendu le son de [tes] discours:
Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
9 Moi, je suis net, sans transgression; je suis pur, et il n’y a pas d’iniquité en moi;
'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
10 Voici, il trouve des occasions d’inimitié contre moi, il me considère comme son ennemi;
Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
11 Il a mis mes pieds dans les ceps, il observe toutes mes voies.
Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
12 Voici, je te répondrai qu’en cela tu n’as pas été juste, car Dieu est plus grand que l’homme.
Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
13 Pourquoi contestes-tu avec lui? car d’aucune de ses actions il ne rend compte.
Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
14 Car Dieu parle une fois, et deux fois – [et] l’on n’y prend pas garde –
Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
15 Dans un songe, dans une vision de nuit, quand un profond sommeil tombe sur les hommes, quand ils dorment sur leurs lits:
Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
16 Alors il ouvre l’oreille aux hommes et scelle l’instruction qu’il leur donne,
basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
17 Pour détourner l’homme de ce qu’il fait; et il cache l’orgueil à l’homme;
kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
18 Il préserve son âme de la fosse, et sa vie de se jeter sur l’épée.
Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
19 Il est châtié aussi sur son lit par la douleur, et la lutte de ses os est continuelle,
Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
20 Et sa vie prend en dégoût le pain, et son âme l’aliment qu’il aimait;
ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
21 Sa chair est consumée et ne se voit plus, et ses os, qu’on ne voyait pas, sont mis à nu;
Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
22 Et son âme s’approche de la fosse, et sa vie, de ceux qui font mourir.
Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
23 S’il y a pour lui un messager, un interprète, un entre mille, pour montrer à l’homme ce qui, pour lui, est la droiture,
Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
24 Il lui fera grâce, et il dira: Délivre-le pour qu’il ne descende pas dans la fosse: j’ai trouvé une propitiation.
na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
25 [Alors] sa chair aura plus de fraîcheur que dans l’enfance; il reviendra aux jours de sa jeunesse;
kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
26 Il suppliera Dieu, et [Dieu] l’aura pour agréable; et il verra sa face avec des chants de triomphe, et [Dieu] rendra à l’homme sa justice.
Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
27 Il chantera devant les hommes, et dira: J’ai péché et j’ai perverti la droiture, et il ne me l’a pas rendu;
Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
28 Il a délivré mon âme pour qu’elle n’aille pas dans la fosse, et ma vie verra la lumière.
Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
29 Voilà, Dieu opère toutes ces choses deux fois, trois fois, avec l’homme,
Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
30 Pour détourner son âme de la fosse, pour qu’il soit illuminé de la lumière des vivants.
kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
31 Sois attentif, Job, écoute-moi; tais-toi, et moi je parlerai.
Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
32 S’il y a quelque chose à dire, réponds-moi; parle, car je désire que tu sois trouvé juste;
Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
33 Sinon, écoute-moi; tais-toi, et je t’enseignerai la sagesse.
Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”

< Job 33 >