< Jérémie 42 >
1 Et tous les chefs des forces, et Jokhanan, fils de Karéakh, et Jezania, fils de Hoshahia, et tout le peuple, depuis le petit jusqu’au grand, s’approchèrent
Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
2 et dirent à Jérémie le prophète: Que notre supplication soit reçue devant toi, et prie l’Éternel, ton Dieu, pour nous, pour tout ce reste; car, de beaucoup [que nous étions], nous sommes restés peu, selon que tes yeux nous voient;
Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
3 et que l’Éternel, ton Dieu, nous montre le chemin par lequel nous devons marcher, et ce que nous devons faire.
Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
4 Et Jérémie le prophète, leur dit: J’ai entendu; voici, je prierai l’Éternel, votre Dieu, selon vos paroles; et il arrivera que, tout ce que l’Éternel vous répondra, je vous le déclarerai: je ne vous cacherai rien.
Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
5 Et ils dirent à Jérémie: L’Éternel soit entre nous un témoin véritable et fidèle, si nous ne faisons selon toute la parole pour laquelle l’Éternel, ton Dieu, t’enverra vers nous!
Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
6 Soit bien, soit mal, nous écouterons la voix de l’Éternel notre Dieu, vers qui nous t’envoyons, afin qu’il nous arrive du bien, quand nous écouterons la voix de l’Éternel, notre Dieu.
Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
7 Et il arriva, au bout de dix jours, que la parole de l’Éternel vint à Jérémie.
Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
8 Et il appela Jokhanan, fils de Karéakh, et tous les chefs des forces qui étaient avec lui, et tout le peuple, depuis le petit jusqu’au grand,
Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
9 et leur dit: Ainsi dit l’Éternel, le Dieu d’Israël, vers qui vous m’avez envoyé pour présenter votre supplication devant lui:
Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
10 Si vous continuez à habiter dans ce pays, je vous bâtirai, et je ne vous renverserai pas, et je vous planterai, et je ne vous arracherai pas; car je me repens du mal que je vous ai fait.
Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
11 Ne craignez point le roi de Babylone, dont vous avez peur; ne le craignez pas, dit l’Éternel; car je suis avec vous pour vous sauver et pour vous délivrer de sa main;
Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
12 et j’userai de miséricorde envers vous, et il aura pitié de vous, et vous fera retourner dans votre terre.
Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
13 Mais si vous dites: Nous n’habiterons pas dans ce pays, et que vous n’écoutiez pas la voix de l’Éternel, votre Dieu,
Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
14 disant: Non, mais nous irons dans le pays d’Égypte, où nous ne verrons pas la guerre, et où nous n’entendrons pas le son de la trompette, et où nous n’aurons pas disette de pain; et nous habiterons là; …
Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
15 et maintenant, à cause de cela, écoutez la parole de l’Éternel, vous, le reste de Juda: Ainsi dit l’Éternel des armées, le Dieu d’Israël: Si vous tournez vos faces pour aller en Égypte, et que vous y alliez pour y demeurer,
Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
16 il arrivera que l’épée dont vous avez peur vous atteindra là, dans le pays d’Égypte, et la famine que vous craignez vous suivra de près, là, en Égypte, et vous y mourrez.
basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
17 Et il arrivera que tous les hommes qui auront tourné leur face pour aller en Égypte afin d’y séjourner, mourront par l’épée, par la famine, et par la peste; et il n’y aura pour eux ni reste ni réchappé de devant le mal que je fais venir sur eux.
Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
18 Car ainsi dit l’Éternel des armées, le Dieu d’Israël: Comme ma colère et ma fureur ont été versées sur les habitants de Jérusalem, ainsi ma fureur sera versée sur vous si vous allez en Égypte; et vous serez une exécration, et une désolation, et une malédiction, et un opprobre; et vous ne verrez plus ce lieu.
Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
19 L’Éternel vous a dit, reste de Juda: N’allez pas en Égypte. Sachez certainement que je vous ai avertis aujourd’hui;
Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
20 car vous vous êtes séduits vous-mêmes dans vos âmes quand vous m’avez envoyé vers l’Éternel, votre Dieu, disant: Prie l’Éternel, notre Dieu, pour nous, et selon tout ce que l’Éternel, notre Dieu, dira, ainsi déclare-nous, et nous le ferons.
Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
21 Et je vous l’ai déclaré aujourd’hui; et vous n’avez pas écouté la voix de l’Éternel, votre Dieu, ni tout ce avec quoi il m’a envoyé vers vous.
Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
22 Et maintenant, sachez certainement que vous mourrez par l’épée, par la famine, et par la peste, dans le lieu où vous avez désiré d’aller pour y séjourner.
Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”