< Jérémie 24 >

1 L’Éternel me fit voir [une vision], et voici deux paniers de figues, posés devant le temple de l’Éternel, après que Nebucadretsar, roi de Babylone, eut transporté de Jérusalem Jéconias, fils de Jehoïakim, roi de Juda, et les princes de Juda, et les charpentiers, et les forgerons, et qu’il les eut emmenés à Babylone.
Bwana alinionyeshea kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.)
2 L’un des paniers avait de très bonnes figues, comme les figues de la première saison; et l’autre panier avait de très mauvaises figues qu’on ne pouvait manger, tant elles étaient mauvaises.
Kikapu kimoja cha tini kilikuwa nzuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa.
3 Et l’Éternel me dit: Que vois-tu, Jérémie? Et je dis: Des figues; les bonnes figues, très bonnes, et les mauvaises, très mauvaises, qui ne peuvent être mangées, tant elles sont mauvaises.
Bwana akaniambia, “Unaona nini Yeremia?” Nikasema, “Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa.”
4 Et la parole de l’Éternel vint à moi, disant:
Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
5 Ainsi dit l’Éternel, le Dieu d’Israël: Comme [tu vois] ces bonnes figues, ainsi je me souviendrai, en bien, des transportés de Juda, que j’ai envoyés hors de ce lieu au pays des Chaldéens;
“Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: nitawaangalia mateka wa Yuda kwa manufaa yao, kama vile tini hizi nzuri, nilipowatoa mateka kutoka hapa mpaka nchi ya Wakaldayo.
6 et je mettrai mes yeux sur eux pour [leur] bien, et je les ferai retourner dans ce pays; et je les bâtirai et je ne les renverserai pas, et je les planterai, et je ne les arracherai pas.
Nitaweka macho yangu kwao wapate mema na kuwarejeshea nchi hii. Nitawajenga, wala sitawaangamiza.
7 Et je leur donnerai un cœur pour me connaître, car moi je suis l’Éternel; et ils seront mon peuple, et moi je serai leur Dieu; car ils retourneront à moi de tout leur cœur.
Nitawapanda, wala sitawang'oa. Ndipo nitawapa moyo wa kunijua; kwa kuwa mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu na mimi nitakuwa Mungu wao, hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
8 Et comme les figues mauvaises qu’on ne peut manger, tant elles sont mauvaises, … oui, ainsi dit l’Éternel, tels je rendrai Sédécias, le roi de Juda, et ses princes, et le reste de Jérusalem, qui sont de reste dans ce pays, et ceux qui habitent dans le pays d’Égypte;
Lakini kama vile tini mbaya ambazo ni hazifai kuliwa - asema Bwana - nitatenda hivi kwa Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wake, na pamoja na wengine wa Yerusalemu ambao wanabaki katika nchi hii au kwenda kukaa katika nchi ya Misri.
9 et je les livrerai pour être chassés çà et là par tous les royaumes de la terre, pour leur malheur, pour être en opprobre et en proverbe, un objet de raillerie et de malédiction, dans tous les lieux où je les chasserai;
Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha, wapate maafa, mbele ya falme zote duniani, aibu na somo kwa mithali, matusi, na laana mahali pote nitakapowafukuza.
10 et j’enverrai contre eux l’épée, la famine, et la peste, jusqu’à ce qu’ils soient consumés de dessus la terre que je leur ai donnée, à eux et à leurs pères.
Nitatuma upanga, njaa, na tauni dhidi yao watapotelea mbali kutoka kwenye nchi niliyowapa wao na baba zao.”

< Jérémie 24 >