< Osée 9 >

1 Ne te réjouis pas, Israël, jusqu’à l’exultation, comme les peuples; car tu t’es prostitué, abandonnant ton Dieu. Tu as aimé les présents dans toutes les aires à froment.
Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
2 L’aire et la cuve ne les nourriront pas, et le moût les trompera.
Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
3 Ils ne demeureront pas dans le pays de l’Éternel; mais Éphraïm retournera en Égypte, et mangera en Assyrie ce qui est impur.
Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
4 Ils ne feront pas de libations de vin à l’Éternel, et leurs sacrifices ne lui seront pas agréables: ce sera pour eux comme le pain de deuil; tous ceux qui en mangeront se souilleront; car leur pain est pour eux-mêmes; il n’entrera pas dans la maison de l’Éternel.
Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
5 Que ferez-vous au jour de l’assemblée, et au jour de fête de l’Éternel?
Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
6 Car voici, ils s’en sont allés à cause de la dévastation: l’Égypte les rassemblera, Moph les enterrera. Ce qu’ils ont de précieux [en objets] d’argent, l’ortie les héritera; le chardon est dans leurs tentes.
Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
7 Ils arrivent, les jours de la visitation; ils arrivent, les jours de la récompense! Israël le saura. Le prophète est insensé, l’homme inspiré est fou, à cause de la grandeur de ton iniquité et de la grandeur de ton hostilité.
Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
8 Éphraïm est aux aguets, [regardant à d’autres] à côté de mon Dieu. Le prophète est un piège d’oiseleur sur tous ses chemins, une hostilité dans la maison de son Dieu.
Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
9 Ils se sont enfoncés dans la corruption comme aux jours de Guibha. Il se souviendra de leur iniquité, il visitera leurs péchés.
Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
10 J’ai trouvé Israël comme des raisins dans le désert; j’ai vu vos pères au commencement comme le premier fruit du figuier. Ils sont allés à Baal-Péor, et ils se sont voués à cette honteuse [idole], et sont devenus abominables comme leur amant.
Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
11 Quant à Éphraïm, leur gloire s’envolera comme un oiseau; … point d’enfantement, point de grossesse, point de conception!
Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
12 Quand même ils élèveraient leurs fils, je les priverais de fils, en sorte qu’il n’y ait pas d’homme. Car aussi, malheur à eux, lorsque je me serai retiré d’eux!
Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
13 Éphraïm, comme je l’ai vu, a été une Tyr plantée dans une campagne agréable; mais Éphraïm doit mener dehors ses fils au meurtrier.
Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
14 Donne-leur, Éternel! Que donneras-tu? Donne-leur un sein qui avorte et des mamelles desséchées.
Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
15 Toute leur méchanceté est à Guilgal, car là, je les ai haïs; à cause de la méchanceté de leurs actions, je les chasserai de ma maison. Je ne les aimerai plus. Tous leurs princes sont des rebelles.
'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
16 Éphraïm a été frappé: leur racine a séché, ils ne produiront pas de fruit. Si même ils enfantent, je ferai mourir le fruit précieux de leur sein.
Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
17 Mon Dieu les a rejetés, car ils ne l’ont pas écouté, et ils seront errants parmi les nations.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.

< Osée 9 >