< Esdras 2 >

1 Et voici ceux de la province qui remontèrent de la captivité de ceux qui avaient été transportés, lesquels Nebucadnetsar, roi de Babylone, avait transportés à Babylone, et qui retournèrent à Jérusalem et en Juda, chacun à sa ville,
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 lesquels vinrent avec Zorobabel, Jéshua, Néhémie, Seraïa, Reélaïa, Mardochée, Bilshan, Mispar, Bigvaï, Rehum, [et] Baana. Nombre des hommes du peuple d’Israël:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 Les fils de Parhosh, 2 172;
wazao wa Paroshi 2,172
4 les fils de Shephatia, 372;
wazao wa Shefatia 372
5 les fils d’Arakh, 775;
wazao wa Ara 775
6 les fils de Pakhath-Moab, des fils de Jéshua [et de] Joab, 2 812;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 les fils d’Élam, 1 254;
wazao wa Elamu 1,254
8 les fils de Zatthu, 945;
wazao wa Zatu 945
9 les fils de Zaccaï, 760;
wazao wa Zakai 760
10 les fils de Bani, 642;
wazao wa Bani 642
11 les fils de Bébaï, 623;
wazao wa Bebai 623
12 les fils d’Azgad, 1 222;
wazao wa Azgadi 1,222
13 les fils d’Adonikam, 666;
wazao wa Adonikamu 666
14 les fils de Bigvaï, 2 056;
wazao wa Bigwai 2,056
15 les fils d’Adin, 454;
wazao wa Adini 454
16 les fils d’Ater, [de la famille] d’Ézéchias, 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 les fils de Bétsaï, 323;
wazao wa Besai 323
18 les fils de Jora, 112;
wazao wa Yora 112
19 les fils de Hashum, 223;
wazao wa Hashumu 223
20 les fils de Guibbar, 95;
wazao wa Gibari 95
21 les fils de Bethléhem, 123;
watu wa Bethlehemu 123
22 les hommes de Netopha, 56;
watu wa Netofa 56
23 les hommes d’Anathoth, 128;
watu wa Anathothi 128
24 les fils d’Azmaveth, 42;
watu wa Azmawethi 42
25 les fils de Kiriath-Arim, de Kephira et de Beéroth, 743;
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 les fils de Rama et de Guéba, 621;
wazao wa Rama na Geba 621
27 les hommes de Micmas, 122;
watu wa Mikmashi 122
28 les hommes de Béthel et d’Aï, 223;
watu wa Betheli na Ai 223
29 les fils de Nebo, 52;
wazao wa Nebo 52
30 les fils de Magbish, 156;
wazao wa Magbishi 156
31 les fils de l’autre Élam, 1 254;
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 les fils de Harim, 320;
wazao wa Harimu 320
33 les fils de Lod, de Hadid et d’Ono, 725;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 les fils de Jéricho, 345;
wazao wa Yeriko 345
35 les fils de Senaa, 3 630.
wazao wa Senaa 3,630
36 Sacrificateurs: les fils de Jedahia, de la maison de Jéshua, 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 les fils d’Immer, 1 052;
wazao wa Imeri 1,052
38 les fils de Pashkhur, 1 247;
wazao wa Pashuri 1,247
39 les fils de Harim, 1 017.
wazao wa Harimu 1,017
40 Lévites: les fils de Jéshua et de Kadmiel, d’entre les fils d’Hodavia, 74.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 Chantres: les fils d’Asaph, 128.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 Fils des portiers: les fils de Shallum, les fils d’Ater, les fils de Talmon, les fils d’Akkub, les fils de Hatita, les fils de Shobaï, en tout 139.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Nethiniens: les fils de Tsikha, les fils de Hasupha, les fils de Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 les fils de Kéros, les fils de Siaha, les fils de Padon,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 les fils de Lebana, les fils de Hagaba, les fils d’Akkub,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 les fils de Hagab, les fils de Shamlaï, les fils de Hanan,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 les fils de Guiddel, les fils de Gakhar, les fils de Reaïa,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 les fils de Retsin, les fils de Nekoda, les fils de Gazzam,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 les fils d’Uzza, les fils de Paséakh, les fils de Bésaï,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 les fils d’Asna, les fils de Meünim, les fils de Nephusim,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 les fils de Bakbuk, les fils de Hakupha, les fils de Harkhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 les fils de Batsluth, les fils de Mekhida, les fils de Harsha,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 les fils de Barkos, les fils de Sisera, les fils de Thamakh,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 les fils de Netsiakh, les fils de Hatipha.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Fils des serviteurs de Salomon: les fils de Sotaï, les fils de Sophéreth, les fils de Peruda,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 les fils de Jaala, les fils de Darkon, les fils de Guiddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 les fils de Shephatia, les fils de Hattil, les fils de Pokéreth-Hatsebaïm, les fils d’Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 Tous les Nethiniens et les fils des serviteurs de Salomon, 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Et voici ceux qui montèrent de Thel-Mélakh, de Thel-Harsha, de Kerub-Addan, d’Immer; mais ils ne purent pas montrer leurs maisons de pères et leur descendance, s’ils étaient d’Israël:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 les fils de Delaïa, les fils de Tobija, les fils de Nekoda, 652;
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 et des fils des sacrificateurs, les fils de Hobaïa, les fils d’Hakkots, les fils de Barzillaï, qui prit une femme d’entre les filles de Barzillaï, le Galaadite, et fut appelé de leur nom.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Ceux-ci cherchèrent leur inscription généalogique, mais elle ne se trouva pas; et ils furent exclus, comme profanes, de la sacrificature.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 Et le Thirshatha leur dit qu’ils ne devaient point manger des choses très saintes, jusqu’à ce que soit suscité un sacrificateur avec les urim et les thummim.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 Toute la congrégation réunie était de 42 360 [personnes],
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 sans compter leurs serviteurs et leurs servantes; ceux-ci [étaient au nombre de] 7 337; et parmi eux, il y avait 200 chanteurs et chanteuses.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Ils avaient 736 chevaux, 245 mulets,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 435 chameaux, [et] 6 720 ânes.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Et des chefs des pères, quand ils arrivèrent à la maison de l’Éternel qui est à Jérusalem, donnèrent volontairement pour la maison de Dieu, pour la relever sur son emplacement;
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 ils donnèrent au trésor de l’œuvre, selon leur pouvoir, 61 000 dariques d’or, et 5 000 mines d’argent, et 100 tuniques de sacrificateurs.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Et les sacrificateurs, et les lévites, et ceux du peuple, et les chantres, et les portiers, et les Nethiniens, habitèrent dans leurs villes: tout Israël se trouva dans ses villes.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

< Esdras 2 >