< 1 Chroniques 7 >
1 Et les fils d’Issacar: Thola, et Pua, Jashub, et Shimron, quatre.
Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
2 Et les fils de Thola: Uzzi, et Rephaïa, et Jeriel, et Jakhmaï, et Jibsam, et Samuel, chefs de leurs maisons de pères, de Thola, hommes forts et vaillants, dans leurs générations; leur nombre, aux jours de David, fut de 22 600.
Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
3 – Et les fils d’Uzzi: Jizrakhia; et les fils de Jizrakhia: Micaël, et Abdias, et Joël, [et] Jishija, cinq, tous des chefs.
Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
4 Et avec eux, suivant leurs générations, selon leurs maisons de pères, il y eut des bandes de guerre pour combattre, 36 000 hommes; car ils avaient beaucoup de femmes et de fils.
Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
5 Et leurs frères de toutes les familles d’Issacar, hommes forts et vaillants, furent en tout 87 000, enregistrés dans les généalogies.
Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
6 [Fils de] Benjamin: Béla, et Béker, et Jediaël, trois.
Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
7 Et les fils de Béla: Etsbon, et Uzzi, et Uziel, et Jerimoth, et Iri, cinq, chefs de maisons de pères, hommes forts et vaillants, et, enregistrés dans les généalogies, 22 034.
Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
8 – Et les fils de Béker: Zemira, et Joash, et Éliézer, et Élioénaï, et Omri, et Jerémoth, et Abija, et Anathoth, et Alémeth; tous ceux-là étaient fils de Béker;
Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
9 et, enregistrés dans les généalogies, selon leurs générations, des chefs de leurs maisons de pères, hommes forts et vaillants, 20 200.
Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
10 – Et les fils de Jediaël: Bilhan; et les fils de Bilhan: Jehush, et Benjamin, et Éhud, et Kenaana, et Zéthan, et Tarsis, et Akhishakhar;
Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
11 tous ceux-là étaient fils de Jediaël, selon les chefs des pères, hommes forts et vaillants, 17 200, formés au service pour la guerre.
Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
12 – Et Shuppim et Huppim, fils d’Ir. – Hushim: les fils d’Akher.
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
13 Les fils de Nephthali: Jahtsiel, et Guni, et Jétser, et Shallum, les fils de Bilha.
Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
14 Les fils de Manassé: Asriel, … qu’elle enfanta. Sa concubine syrienne enfanta Makir, père de Galaad.
Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
15 Et Makir prit une femme, [la sœur] de Huppim et de Shuppim; et le nom de leur sœur était Maaca. Et le nom du second [fils] était Tselophkhad; et Tselophkhad n’eut que des filles.
Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
16 Et Maaca, femme de Makir, enfanta un fils, et l’appela du nom de Péresh; et le nom de son frère, Shéresh; et ses fils: Ulam et Rékem.
Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 Et les fils d’Ulam: Bedan. Ce sont là les fils de Galaad, fils de Makir, fils de Manassé.
Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
18 – Et sa sœur Moléketh enfanta Ishhod, et Abiézer, et Makhla.
Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
19 – Et les fils de Shemida furent Akhian, et Sichem, et Likkhi, et Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
20 Et les fils d’Éphraïm: Shuthélakh; et Béred, son fils; et Thakhath, son fils; et Elhada, son fils; et Thakhath, son fils;
Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
21 et Zabad, son fils; et Shuthélakh, son fils; et Ézer, et Elhad. Et les gens de Gath, qui étaient nés dans le pays, les tuèrent; car ils étaient descendus pour prendre leurs troupeaux.
Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
22 Et Éphraïm, leur père, mena deuil pendant nombre de jours; et ses frères vinrent pour le consoler.
Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
23 Et il vint vers sa femme; et elle conçut, et enfanta un fils; et elle l’appela du nom de Beriha, car [il était né] quand le malheur était dans sa maison.
Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
24 Et sa fille fut Shééra; et elle bâtit Beth-Horon, la basse et la haute, et Uzzen-Shééra.
Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
25 Et son fils fut Réphakh; et Résheph, et Thélakh, son fils; et Thakhan, son fils;
Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
26 Lahdan, son fils; Ammihud, son fils; Élishama, son fils;
Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
27 Nun, son fils; Josué, son fils.
Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
28 Et leur possession et leurs habitations furent Béthel et les villages de son ressort; et au levant, Naaran; et au couchant, Guézer et les villages de son ressort, et Sichem et les villages de son ressort, jusqu’à Gaza et les villages de son ressort.
Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
29 Et aux mains des fils de Manassé étaient: Beth-Shean et les villages de son ressort, Thaanac et les villages de son ressort, Meguiddo et les villages de son ressort, Dor et les villages de son ressort. Les fils de Joseph, fils d’Israël, habitèrent dans ces [villes].
Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
30 Les fils d’Aser: Jimna, et Jishva, et Jishvi, et Beriha, et Sérakh, leur sœur.
Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
31 Et les fils de Beriha: Héber et Malkiel; (il était père de Birzavith).
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32 Et Héber engendra Japhleth, et Shomer, et Hotham, et Shua, leur sœur.
Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
33 Et les fils de Japhleth: Pasac, et Bimhal, et Ashvath; ce sont là les fils de Japhleth.
Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
34 – Et les fils de Shémer: Akhi, et Rohga, et Hubba, et Aram.
Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
35 – Et les fils d’Hélem, son frère: Tsophakh, et Jimnah, et Shélesh, et Amal.
Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 Les fils de Tsophakh: Suakh, et Harnépher, et Shual, et Béri, et Jimra,
Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
37 Bétser, et Hod, et Shamma, et Shilsha, et Jithran, et Beéra.
Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
38 – Et les fils de Jéther: Jephunné, et Pispa, et Ara.
Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
39 – Et les fils d’Ulla: Arakh, et Hanniel, et Ritsia.
Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
40 – Tous ceux-là étaient fils d’Aser, chefs de maisons de pères, hommes d’élite, forts et vaillants hommes, chefs des princes; et, selon leur enregistrement généalogique dans l’armée pour la guerre, leur nombre fut de 26 000 hommes.
Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.