< 1 Chroniques 24 >
1 Et quant aux fils d’Aaron, [voici] leurs classes: Fils d’Aaron: Nadab et Abihu, Éléazar et Ithamar.
Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Et Nadab et Abihu moururent avant leur père, et n’eurent point de fils. Et Éléazar et Ithamar exercèrent la sacrificature.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
3 Et Tsadok, des fils d’Éléazar, et Akhimélec, des fils d’Ithamar, David les distribua en classes, selon leur office dans leur service:
Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
4 et des fils d’Éléazar on trouva un plus grand nombre de chefs de famille que des fils d’Ithamar, et on les distribua en classes: des fils d’Éléazar, 16 chefs de maisons de pères; et des fils d’Ithamar, huit, selon leurs maisons de pères.
Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
5 Et on les distribua en classes par le sort, les uns avec les autres; car les chefs du lieu saint et les chefs de Dieu furent d’entre les fils d’Éléazar et parmi les fils d’Ithamar.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
6 Et Shemahia, fils de Nethaneël, le scribe, d’entre les Lévites, les inscrivit en la présence du roi, et des chefs, et de Tsadok, le sacrificateur, et d’Akhimélec, fils d’Abiathar, et des chefs des pères des sacrificateurs et des Lévites: une maison de père était tirée pour Éléazar, et une était tirée pour Ithamar.
Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
7 Et le premier sort échut à Jehoïarib; le second, à Jedahia;
Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
8 le troisième, à Harim; le quatrième, à Seorim;
ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
9 le cinquième, à Malkija; le sixième, à Mijamin;
ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
10 le septième, à Kots; le huitième, à Abija;
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
11 le neuvième, à Jéshua; le dixième, à Shecania;
ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
12 le onzième, à Éliashib; le douzième, à Jakim;
ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
13 le treizième, à Huppa; le quatorzième, à Jéshébeab;
ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
14 le quinzième, à Bilga; le seizième, à Immer;
ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
15 le dix-septième, à Hézir; le dix-huitième, à Pitsets;
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
16 le dix-neuvième, à Pethakhia; le vingtième, à Ézéchiel;
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
17 le vingt et unième, à Jakin; le vingt-deuxième, à Gamul;
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
18 le vingt-troisième, à Delaïa; le vingt-quatrième, à Maazia.
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
19 Ce fut là leur distribution, pour leur service, pour entrer dans la maison de l’Éternel selon leur ordonnance [donnée] par Aaron, leur père, comme l’Éternel, le Dieu d’Israël, le lui avait commandé.
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
20 Et quant au reste des fils de Lévi, [les voici]: Des fils d’Amram, Shubaël; des fils de Shubaël, Jekhdia.
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
21 De Rekhabia: des fils de Rekhabia, Jishija était le chef.
Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
22 Des Jitseharites, Shelomoth; des fils de Shelomoth, Jakhath.
Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
23 Et les fils de [Hébron]: Jerija; Amaria, le second; Jakhaziel, le troisième; Jekamham, le quatrième.
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
24 Les fils d’Uziel, Michée; des fils de Michée, Shamir;
Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
25 le frère de Michée était Jishija; des fils de Jishija, Zacharie.
Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
26 Les fils de Merari, Makhli et Mushi; les fils de Jaazija, son fils;
Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
27 les fils de Merari, de Jaazija, son fils: Shoham, et Zaccur, et Ibri;
Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
28 de Makhli, Éléazar, et il n’eut point de fils;
Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
29 de Kis, les fils de Kis, Jerakhmeël;
Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
30 et les fils de Mushi: Makhli, et Éder, et Jerimoth. Ce sont là les fils des Lévites, selon leurs maisons de pères.
Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
31 Et eux aussi, comme leurs frères, les fils d’Aaron, tirèrent au sort devant le roi David, et Tsadok, et Akhimélec, et les chefs des pères des sacrificateurs et des Lévites, les chefs des pères comme le plus petit d’entre leurs frères.
Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.