< Osée 10 >

1 Israël est une vigne luxuriante, qui s’est chargée de fruit. Plus ses fruits étaient abondants, plus il a multiplié les autels; plus le pays était beau, plus belles ils ont fait les stèles.
Israeli ni mzabibu mzuri ambao huzaa matunda yake. kwa kadiri matunda yake yanavyoongezeka vivyo hivyo anajenga madhabahu nyingi. Kwa kuwa nchi yake ilizalishwa zaidi, aliboresha nguzo zake.
2 Leur cœur est hypocrite: ils vont en porter la peine. Lui, il renversera leurs autels, il détruira leurs stèles.
Moyo wao ni udanganyifu; sasa wanapaswa kubeba hatia yao. Bwana ataharibu madhabahu zao; ataharibu nguzo zao.
3 Bientôt ils diront: « Nous n’avons plus de roi, parce que nous n’avons pas craint Yahweh; et le roi, que fera-t-il pour nous? »
Kwa maana watasema, “Hatuna mfalme, kwa maana hatukumcha Bwana. Na mfalme-angeweza kutufanyia nini?”
4 Ils diront des paroles, faisant de vains serments, concluant des alliances, et le jugement éclot comme le pavot, dans les sillons des champs.
Wanasema maneno tupu na kufanya maagano kwa kuapa uongo. Kwa hivyo haki inakuja kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba.
5 Pour les génisses de Bethaven, les habitants de Samarie ont peur; car son peuple prend le deuil sur l’ idole, et ses prêtres tremblent à son sujet, pour sa gloire qui a émigré loin de lui.
Wakazi wa Samaria wataogopa kwa sababu ya ndama za Beth Aveni. Watu wake waliomboleza juu yao, kama walivyofanya wale makuhani wa sanamu ambao walikuwa wamefurahi juu yao na utukufu wao, lakini hawako tena.
6 Elle aussi, on la transportera en Assyrie, comme offrande au roi vengeur; la confusion saisira Éphraïm; Israël aura honte de ses desseins.
Wao watachukuliwa kwenda Ashuru kama sadaka kwa mfalme mkuu. Efraimu atakuwa na aibu, na Israeli atakuwa na aibu kwa sanamu yake.
7 Samarie est anéantie; son roi est comme un fétu sur la surface de l’eau.
Mfalme wa Samaria ataangamizwa, kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji.
8 Ils seront détruits les hauts lieux d’Aven, péché d’Israël; l’épine et la ronce monteront sur leurs autels. Ils diront aux montagnes: « Couvrez-nous! » et aux collines: « Tombez sur nous! »
Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa. Hii ndiyo dhambi ya Israeli! Miti na vichaka vitakua juu ya madhabahu zao. Watu wataiambia milima, “Tufunike sisi!” na kwa vilima, “Tuangukieni!”
9 Depuis les jours de Gabaa tu as péché, Israël; ils persévèrent dans le crime; ne les atteindra-t-elle pas à Gabaa, la guerre déclarée aux fils d’iniquité?
Ee Israeli, umetenda dhambi tangu siku za Gibea; huko umebaki. Je, vita vitawapata wana wa uovu huko Gibea?
10 Je les châtierai à mon gré, et les peuples seront rassemblés contre eux, lorsqu’on les liera à leurs deux péchés.
Nitakapotaka, nitawaadhibu. Mataifa wataungana pamoja nao na kuwaweka katika vifungo kwa uovu wao mara mbili.
11 Éphraïm était une génisse bien dressée, qui prenait plaisir à fouler le blé. Et moi, j’ai fait passer le joug sur son beau cou; j’attellerai Éphraïm, Juda labourera, Jacob traînera la herse.
Efraimu ni ndama mwenye mafunzo ambayo anapenda kupura nafaka, hivyo nitaweka jozi juu ya shingo yake nzuri. Efraimu nitauweka jozi; Yuda ataimea; Yakobo atauvuta pigo kwa nafsi yake.
12 Faites vos semences selon la justice, moissonnez selon la miséricorde, défrichez-vous des terres nouvelles; il est temps de chercher Yahweh, jusqu’à ce qu’il vienne répandre sur vous la justice.
Jifanyieni haki, vuneni matunda ya uaminifu wa agano. Chimbueni ardhi yenu isiyopandwa, kwa maana ni wakati wa kumtafuta Bwana, mpaka atakapokuja na kuinua haki juu yenu.
13 Mais vous avez labouré la méchanceté, vous avez moissonné l’iniquité, vous avez mangé le fruit du mensonge. Tu t’es confié dans tes propres voies, dans le grand nombre de tes vaillants.
Mmelima uovu; mmevuna udhalimu. Mmekula matunda ya udanganyifu kwa sababu uliamini katika mipango yako na katika askari wako wengi.
14 Le tumulte s’élève parmi ton peuple, et toutes tes forteresses seront dévastées, comme Salman dévasta Beth-Arbel, au jour de la guerre où la mère fut écrasée sur ses enfants.
Kwa hiyo mlipuko wa vita utafufuka kati ya watu wako, na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa. Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita, wakati mama alivunjika vipande vipande na watoto wake.
15 Voilà ce que vous a fait Béthel, à cause de votre extrême méchanceté. Vienne l’aurore, et c’en est fait du roi d’Israël!
Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa. Wakati wa mchana mfalme wa Israeli atakatwa kabisa.

< Osée 10 >