< Hébreux 4 >
1 Craignons donc, tandis que la promesse « d’entrer dans son repos » est encore en vigueur, qu’aucun de vous en vienne à être frustré.
Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.
2 Car le joyeux message nous a été adressé aussi bien qu’à eux; mais la parole qui leur fut annoncée ne leur servit à rien, n’étant pas alliée à la foi chez ceux qui l’entendirent.
Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani.
3 Au contraire nous entrerons dans le repos, nous les croyants, selon ce qu’il a dit: « J’ai juré dans ma colère: Ils n’entreront pas dans mon repos! » Il parle ainsi, quoique ses œuvres eussent été achevées, depuis le commencement du monde.
Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: “Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.” Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.
4 Car il est dit quelque part au sujet du septième jour: « Et Dieu se reposa de toutes ses œuvres le septième jour »;
Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.”
5 et ici de nouveau: « Ils n’entreront pas dans mon repos! »
Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.”
6 Puis donc que quelques-uns doivent y entrer, et que ceux qui reçurent d’abord la promesse n’y sont pas entrés à cause de leur désobéissance,
Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata.
7 Dieu fixe de nouveau un jour qu’il appelle « aujourd’hui », en disant dans David si longtemps après, comme on l’a vu plus haut: « Aujourd’hui, si vous entendez sa voix, n’endurcissez pas vos cœurs. »
Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa “Leo”. Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: “Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
8 Car si Josué les eût introduits dans « le repos », David ne parlerait pas après cela d’un autre jour.
Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
9 Il reste donc un jour de repos réservé au peuple de Dieu.
Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.
10 En effet celui qui entre « dans le repos de Dieu « se repose aussi de ses œuvres, comme Dieu s’est reposé des siennes.
Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.
11 Empressons-nous donc d’entrer dans ce repos, afin qu’aucun ne tombe en donnant le même exemple de désobéissance.
Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani.
12 Car elle est vivante la parole de Dieu; elle est efficace, plus acérée qu’aucune épée à deux tranchants; si pénétrante qu’elle va jusqu’à séparer l’âme et l’esprit, les jointures et les moelles; elle démêle les sentiments et les pensées du cœur.
Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
13 Aussi nulle créature n’est cachée devant Dieu, mais tout est à nu et à découvert aux yeux de celui à qui nous devons rendre compte.
Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
14 Ainsi, puisque nous avons en Jésus, le Fils de Dieu, un grand prêtre excellent qui a pénétré les cieux, demeurons fermes dans la profession de notre foi.
Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe—Yesu, Mwana wa Mungu.
15 Car nous n’avons pas un grand prêtre impuissant à compatir à nos infirmités; pour nous ressembler, il les a toutes éprouvées hormis le péché.
Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
16 Approchons-nous donc avec assurance du trône de la grâce, afin d’obtenir miséricorde et de trouver grâce, pour être secourus en temps opportun.
Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.