< Genèse 36 >

1 Voici l’histoire d’Esaü, qui est Edom.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
2 Esaü prit ses femmes parmi les filles de Chanaan: Ada, fille d’Elon, le Héthéen; Oolibama, fille d’Ana, fille de Sébéon, le Hévéen;
Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
3 et Basemath, fille d’Ismaël, sœur de Nabaïoth.
pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
4 Ada enfanta à Esaü Eliphaz, Basemath enfanta Rahuel,
Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
5 et Oolibama enfanta Jéhus, Ihélon et Coré. Ce sont là les fils d’Esaü, qui lui naquirent au pays de Chanaan.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
6 Esaü prit ses femmes, ses fils et ses filles, et toutes les personnes de sa maison, ses troupeaux, tout son bétail et tous les biens qu’il avait acquis dans le pays de Chanaan, et il s’en alla dans un autre pays, loin de Jacob, son frère.
Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
7 Car leurs biens étaient trop considérables pour qu’ils demeurassent ensemble, et le pays où ils séjournaient ne pouvait leur suffire à cause de leurs troupeaux.
Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
8 Esaü s’établit dans la montagne de Séir; Esaü est Edom.
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
9 Voici la postérité d’Esaü, père d’Edom, dans la montagne de Séir.
Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
10 Voici les noms des fils d’Esaü: Eliphaz, fils d’Ada, femme d’Esaü; Rahuel, fils de Basemath, femme d’Esaü. —
Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
11 Les fils d’Eliphaz furent: Théman, Omar, Sépho, Gatham et Cénez.
Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
12 Thamna fut concubine d’Eliphaz, fils d’Esaü, et elle enfanta Amalech à Eliphaz. Ce sont là les fils d’Ada, femme d’Esaü. —
Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
13 Voici les fils de Rahuel: Nahath, Zara, Samma et Méza. Ce sont là les fils de Basemath, femme d’Esaü. —
Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
14 Voici les fils d’Oolibama, fille d’Ana, fille de Sébéon, femme d’Esaü: elle enfanta à Esaü Jéhus, Ihélon et Coré.
Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
15 Voici les chefs des tribus issues des fils d’Esaü. Fils d’Eliphaz, premier-né d’Esaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Sépho, le chef Cénez,
Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
16 le chef Coré, le chef Gatham, le chef Amalech. Ce sont là les chefs issus d’Eliphaz, au pays d’Edom; ce sont là les fils d’Ada. —
Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
17 Fils de Rahuel, fils d’Esaü: le chef Nahath, le chef Zara, le chef Samma et le chef Méza. Ce sont là les chefs issus de Rahuel, au pays d’Edom; ce sont là les fils de Basemath, femme d’Esaü. —
Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
18 Fils d’Oolibama, femme d’Esaü: le chef Jéhus, le chef Ihélon et le chef Coré. Ce sont là les chefs issus d’Oolibama, fille d’Ana et femme d’Esaü. —
Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
19 Ce sont là les fils d’Esaü, et ce sont là leurs chefs; c’est Edom.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
20 Voici les fils de Séir, le Horréen, qui habitaient le pays: Lotan, Sobal, Sébéon, Ana,
Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
21 Dison, Eser et Disan. Ce sont là les chefs des Horréens, fils de Séir, au pays d’Edom. —
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
22 Les fils de Lotan furent Hori et Héman, et Thamma était sœur de Lotan. —
Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
23 Voici les fils de Sobal: Alvan, Manahat, Ebal, Sépho et Onam. —
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
24 Voici les fils de Sébéon: Aja et Ana. C’est cet Ana qui trouva les sources chaudes dans le désert, en faisant paître les ânes de Sébéon, son père. —
Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
25 Voici les enfants d’Ana: Dison et Oolibama, fille d’Ana. —
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
26 Voici les fils de Dison: Hamdan, Eséban, Jéthram et Charan. —
Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
27 Voici les fils d’Eser: Balan, Zavan et Acan. —
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
28 Voici les fils de Disan: Hus et Aram.
Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
29 Voici les chefs des Horréens: le chef Lotan, le chef Sobal, le chef Sébéon, le chef Ana,
Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
30 le chef Dison, le chef Eser, le chef Disan. Ce sont là les chefs des Horréens, chacun de leurs chefs au pays de Séir.
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
31 Voici les rois qui ont régné dans le pays d’Edom, avant qu’un roi régnât sur les enfants d’Israël:
Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
32 Béla, fils de Béor, régna en Edom, et le nom de sa ville était Denaba. —
Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
33 Béla mourut, et à sa place régna Jobab, fils de Zara, de Bosra. —
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
34 Jobab mourut, et à sa place régna Husam, du pays des Thémanites. —
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
35 Husam mourut, et à sa place régna Adad, fils de Badad, qui défit Madian dans les champs de Moab; le nom de sa ville était Avith. —
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
36 Hadad mourut, et à sa place régna Semla, de Masréca. —
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
37 Semla mourut, et à sa place régna Saül, de Rohoboth sur le fleuve. —
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
38 Saül mourut, et à sa place régna Balanan, fils d’Achor. —
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
39 Balanan, fils d’Achor, mourut, et à sa place régna Hadar; le nom de sa ville était Phaü, et le nom de sa femme Méétabel, fille de Matred, fille de Mézaab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
40 Voici les noms des chefs issus d’Esaü, selon leurs tribus, leurs territoires et d’après leurs noms: le chef Thamma, le chef Alva, le chef Jétheth,
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
41 le chef Oolibama, le chef Ela, le chef Phinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 le chef Cénez, le chef Théman, le chef Mabsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
43 le chef Magdiel, le chef Hiram. Ce sont là les chefs d’Edom, selon leurs demeures dans le pays qu’ils occupent. C’est là Esaü, père d’Edom.
Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.

< Genèse 36 >