< Exode 16 >

1 Ils partirent d’Elim, et toute l’assemblée des enfants d’Israël arriva au désert de Sin, qui est entre Elim et le Sinaï, le quinzième jour du second mois après leur sortie du pays d’Égypte.
Watu wakaendelea na safari kutoka Elimu, na jamii yote ya Waisraeli ikaja nyikani mwa Sinu, iliyopo katikati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili walipo toka Misri.
2 Toute l’assemblée des enfants d’Israël murmura dans le désert contre Moïse et Aaron.
Jamii yote ya Waisraeli wali walalamikia Musa na Aruni nyikani.
3 Les enfants d’Israël leur dirent: « Que ne sommes-nous morts par la main de Yahweh dans le pays d’Égypte, quand nous étions assis devant les pots de viande, que nous mangions du pain à satiété? Car vous nous avez amenés dans ce désert pour faire mourir de faim toute cette multitude. »
Waisraeli waliwaambia, “Kama tu tungekufa kwa mkono wa Yahweh nchi ya Misri tulipo kuwa tumeketi kwenye vyombo vya nyama na tulikuwa tunakula mkate kwa tele. Maana umetuleta nyikani uuwe jamii zetu zote kwa njaa.”
4 Yahweh dit à Moïse: « Voici, je vais faire pleuvoir pour vous du pain du haut du ciel. Le peuple sortira et en ramassera jour par jour la provision nécessaire, afin que je le mette à l’épreuve, pour voir s’il marchera, ou non, dans ma loi.
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nitakunyeshea mvua ya mkate. Watu wataenda na kukusanya kiasi cha siku kila siku ili niwajaribu kama wataendelea kushika sheria yangu au hapana.
5 Le sixième jour, ils prépareront ce qu’ils auront rapporté, et il y en aura le double de ce qu’ils en ramassent chaque jour. »
Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba watakusanya mara mbili zaidi ya wanavyo kusanyaga, na watapika wanacholeta.”
6 Moïse et Aaron dirent à tous les enfants d’Israël: « Ce soir, vous reconnaîtrez que c’est Yahweh qui vous a fait sortir du pays d’Égypte;
Kisha Musa na Aruni wakawaambia watu wote wa Israeli, “Jioni mtajua kuwa ni Yahweh aliye waleta kutoka nchi ya Misri.
7 et, au matin, vous verrez la gloire de Yahweh, car il a entendu vos murmures qui sont contre Yahweh; nous, que sommes-nous, pour que vous murmuriez contre nous? »
Asubui utaona utukufu wa Yahweh, kwa maana anasikia mna mlalamikia. Sisi ni nani hadi mtulalamikie?”
8 Moïse dit: « Ce sera quand Yahweh vous donnera ce soir de la viande à manger et, au matin, du pain à satiété; car Yahweh a entendu les murmures que vous avez proférés contre lui. Nous, que sommes-nous? Ce n’est pas contre nous que sont vos murmures, c’est contre Yahweh. »
Musa pia akasema, “Utajua hili pale Yahweh atakapo kupa nyama jioni na mkate asubui kwa tele - kwa kuwa amesikia malalamishi mnayo tamka dhidi yake. Nani ni Aruni na mimi? Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh.”
9 Moïse dit à Aaron: « Dis à toute l’assemblée des enfants d’Israël: Approchez-vous devant Yahweh, car il a entendu vos murmures. »
Musa akamwambia Aruni, “Sema kwa jamii yote ya watu wa Israeli, 'Njoo karibu ya Yahweh, kwa kuwa amesikia malalamishi yenu.'”
10 Pendant qu’Aaron parlait à toute l’assemblée des enfants d’Israël, ils se tournèrent du côté du désert, et voici que la gloire de Yahweh apparut dans la nuée.
Ikawa, Aruni alipo sema na jamii yote ya watu wa Israeli, wakaangalia kuelekea nyikani, na, tazama, utukufu wa Yahweh ukatokea kwenye wingu.
11 Yahweh parla à Moïse en ces termes:
Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
12 « J’ai entendu les murmures des enfants d’Israël. Dis-leur: Entre les deux soirs vous mangerez de la viande, et au matin vous vous rassasierez de pain, et vous saurez que je suis Yahweh, votre Dieu. »
“Nimesikia malalamishi ya watu wa Israeli. Sema nao na useme, 'Jioni utakula nyama, na asubui utashiba mkate. Kisha utajua mimi ni Yahweh Mungu wako.'”
13 Le soir, on vit monter des cailles, qui couvrirent le camp, et le matin il y avait une couche de rosée autour du camp.
Ikaja kuwa kwamba jioni kware wakaja juu na kufunika kambi. Asubui umande ulitanda kambini.
14 Quand cette rosée fut dissipée, voici qu’il y avait à la surface du désert quelque chose de menu, de granuleux, de menu comme le givre sur le sol.
Umande ulipo kwisha, pale juu ya ardhi ya nyikani kulikuwa na kama barafu iliyo ganda kwenye ardhi.
15 Les enfants d’Israël le virent, et ils se dirent les uns aux autres: « Qu’est-ce que cela? » car ils ne savaient pas ce que c’était. Moïse leur dit: « C’est le pain que Yahweh vous donne pour nourriture.
Watu wa Israeli walipo ona, walisema mmoja kwa mwenzake, “Hii ni nini?” Hawakujua ilikuwa ni nini. Musa akawaambia, “Ni mkate Yahweh aliyo wapa mle.
16 Voici ce que Yahweh a ordonné: Que chacun de vous en ramasse ce qu’il faut pour sa nourriture, un gomor par tête, suivant le nombre des personnes; chacun en prendra pour ceux qui sont dans sa tente. »
Hii ni amri Yahweh aliyotoa: 'Lazima ukusanye, kila mmoja wenu, kiasi unacho itaji kula, lita mbili kwa kila mtu. Hivi ndivyo utakavyo kusanya: Kusanya cha kutosha kula cha kila mtu anaye ishi hemani mwako.'”
17 Les enfants d’Israël firent ainsi, et ils recueillirent les uns plus, les autres moins.
Watu wa Israeli wakafanya hivyo. Baadhi wakakusanya zaidi, baadhi wakakusanya kidogo.
18 On mesurait ensuite avec le gomor, et celui qui en avait ramassé beaucoup n’avait rien de trop, et celui qui en avait ramassé peu n’en manquait pas: chacun en recueillait selon sa consommation.
Walipo pima kwa kipimo cha lita, hao walio kusanya zaidi hawakuwa na kilicho salia, na hao walio kusanya kidogo hawakuwa na pungufu. Kila mmoja alikusanya cha kutosha kukidhi maitaji yake.
19 Moïse leur dit: « Que personne n’en laisse jusqu’au lendemain matin ».
Kisha Musa akawaambia, “Hakuna ata mmoja kubakiza hadi asubui.”
20 Ils n’écoutèrent pas Moïse, et des gens en gardèrent jusqu’au matin; mais il s’y mit des vers et tout devint infect. Moïse fut irrité contre eux.
Walakini, hawakumsikiliza Musa. Baadhi yao waliacha baadhi hadi asubui, lakini ilizalisha wadudu na kuwa batili. Kisha Musa akawa na hasira juu yao.
21 Tous les matins, ils ramassaient de la manne, chacun selon sa consommation, et quand le soleil faisait sentir ses ardeurs, le reste se liquéfiait.
Walikusanya asubui kwa asubui. Kila mtu alikusanya cha kutosha kula kwa hiyo siku. Jua lilipo kuwa kali, ili yayuka.
22 Le sixième jour, ils ramassèrent une quantité double de nourriture, deux gomors pour chacun. Tous les principaux du peuple vinrent en informer Moïse,
siku ya sita walikusanya mkate mara mbili zaidi, lita mbili kwa kila mtu. Viongozi wote wa jamii walikuja na kumwambia hili kwa Musa.
23 qui leur dit: « C’est ce que Yahweh a ordonné. Demain est un jour de repos, un sabbat consacré à Yahweh: faites cuire au four ce que vous avez à faire cuire, faites bouillir ce que vous avez à faire bouillir, et tout ce qui restera, mettez-le en réserve pour le lendemain matin. »
Aliwaambia, “Hili ndilo Yahweh alililo lisema: 'Kesho ni mapumziko ya kujiliwaza, sabato takatifu kwa utukufu wa Yahweh. Oka kile unataka kuoka, na chemsha kile unataka kuchemsha. Vyote vitakavyo baki, jihifadhie hadi asubui.”'
24 Ils mirent donc l’excédant en réserve jusqu’au matin, comme Moïse l’avait ordonné, et il ne devint point infect, et les vers ne s’y mirent point.
Hivyo wakaeka pembeni hadi asubui, kama Musa alivyo elekeza. Haikuharibika, wala haikuwa na mdudu yeyote.
25 Moïse dit: « Mangez-le aujourd’hui, car c’est le jour du sabbat en l’honneur de Yahweh; aujourd’hui vous n’en trouveriez point dans la campagne.
Musa alisema, “Kula hicho cha kula leo, kwa kuwa leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh. Leo hamtaikuta mashambani.
26 Vous en recueillerez pendant six jours; mais le septième jour, qui est le sabbat, il n’y en aura point. »
Mtaikusanya ndani ya siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato. Siku ya Sabato hakuta kuwa na manna.”
27 Le septième jour, quelques-uns du peuple sortirent pour en ramasser, mais ils n’en trouvèrent pas.
Ilikuja kuwa siku ya saba ambapo baadhi ya watu walienda kukusanya manna, lakini hawakukuta
28 Alors Yahweh dit à Moïse: « Jusques à quand refuserez-vous d’observer mes commandements, et mes lois?
Kisha Yahweh akamwambia Musa, Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
29 Voyez: c’est parce que Yahweh vous a donné le sabbat qu’il vous donne, le sixième jour, du pain pour deux jours. Que chacun reste à sa place, et que nul ne sorte le septième jour du lieu où il est. »
Tazama, Yahweh amekupa Sabato. Hivyo siku ya sita anakupa mkate wa siku mbili. Kila mmoja wenu lazima akae kwenye sehemu yake; hakuna hata mmoja wa kutoka sehemu yake siku ya saba.”
30 Et le peuple se reposa le septième jour.
Hivyo watu watapumzika siku ya saba.
31 La maison d’Israël donna à cette nourriture le nom de manne. Elle ressemblait à de la graine de coriandre; elle était blanche et avait le goût d’un gâteau de miel.
Watu wa Israeli walikiita chakula kile “manna.” Ilikuwa ni nyeupe kama mbegu ya mgiligani, na ladha yake kama maandazi yaliyo pikwa na asali.
32 Moïse dit: « Voici ce que Yahweh a ordonné: Emplis-en un gomor, pour la conserver pour vos descendants, afin qu’ils voient le pain dont je vous ai nourris dans le désert, lorsque je vous ai fait sortir du pays d’Égypte. »
Musa akasema, “Hili ndilo Yahweh alilo amuru: 'Acha lita mbili ya manna ihifadhiwe kwa ajili vizazi vya watu wako ili kwamba uzao wako uone mkate niliyo kulisha nyikani, baada ya kukutoa kutoka nchi ya Misri.
33 Et Moïse dit à Aaron: « Prends un vase, mets-y de la manne plein un gomor, et dépose-le devant Yahweh, afin qu’il soit conservé pour vos descendants. »
Musa akamwambia Aruni, “Chukuwa jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh i dumu vizazi vyote vya watu.”
34 Comme Yahweh l’avait ordonné à Moïse, Aaron le déposa devant le Témoignage, afin qu’il fût conservé.
Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano.
35 Les enfants d’Israël ont mangé la manne pendant quarante ans, jusqu’à leur arrivée dans un pays habité; ils ont mangé la manne jusqu’à leur arrivée aux frontières du pays de Chanaan.
Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipo kuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipo fika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani.
36 Le gomor est la dixième partie de l’épha.
Lita mbili ni makumi ya efa.

< Exode 16 >